Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rouhani: Taifa la Iran limeibuka na unshindi katika vita ya kiuchumi

    Rouhani: Taifa la Iran limeibuka na unshindi katika vita ya kiuchumi

    May 23, 2021 06:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran limeibuka na ushindi katika vita ya kiuchumi.

  • Maandamano yafanyika Tehran kulaani jinai za utawala wa Israel huko Ghaza

    Maandamano yafanyika Tehran kulaani jinai za utawala wa Israel huko Ghaza

    May 19, 2021 22:04

    Maandamano yamefanyika mjini Tehran kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia katika Ukanda wa Ghaza.

  • Waziri wa Saudi Arabia: Tuna matumaiani na mwenendo wa mazungumzo na Iran

    Waziri wa Saudi Arabia: Tuna matumaiani na mwenendo wa mazungumzo na Iran

    May 19, 2021 06:54

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Saudi Arabia amesema kuwa, nchi yake ina matumaini na mwenendo wa mazungumzo kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Rouhani: Usalama na Uthabiti  nchini Iraq ni usalama Iran

    Rais Rouhani: Usalama na Uthabiti nchini Iraq ni usalama Iran

    May 17, 2021 08:34

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema usalama na uthabiti nchini Iraq ni sawa na usamala nchini Iran na amesisitiza kuhusu ushirikiano wa nchi mbili katika kukabiliana na taharui za makundi ya wakufurishaji na magaidi.

  • Zarif afuta safari yake Austria akipinga kuwekwa bendera za Israeli kwenye majengo ya serikal

    Zarif afuta safari yake Austria akipinga kuwekwa bendera za Israeli kwenye majengo ya serikal

    May 16, 2021 00:02

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amefuta safari yake rasmi nchini Austria akipinga hatua ya nchi hiyo ya kupeperusha bendera za utawala haramu wa Israel juu ya majengo ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Vienna, huku Israel ikiendelea kuwaua kinyama raia wa Palestina.

  • Safari ya Zarif mjini Damascus; uungaji mkono wa Iran kwa uchaguzi wa Syria

    Safari ya Zarif mjini Damascus; uungaji mkono wa Iran kwa uchaguzi wa Syria

    May 13, 2021 23:01

    Muhammad Jawad Zarif Waiziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonana na kuzungumza mjini Damascus na Rais Bashar Asad wa Syria kuhusu uhusiano wa pande mbili, matukio ya Asia Magharibi na uchaguzi mkuu wa rais wa nchi hiyo.

  • Zarif: Tunakaribisha kufanya kazi pamoja na Saudi Arabia

    Zarif: Tunakaribisha kufanya kazi pamoja na Saudi Arabia

    May 12, 2021 21:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha ushirikiano na Saudi Arabia na ulimwengu mzima wa Kiarabu.

  • Iran yaanza kuwasajili wagombea wa uchaguzi wa rais leo

    Iran yaanza kuwasajili wagombea wa uchaguzi wa rais leo

    May 10, 2021 22:21

    Usajili wa wagombea wa awamu ya 13 ya uchaguzi wa rais katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umeanza leo Jumanne.

  • Mustafa al-Kadhimi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaiunga mkono serikali ya Iraq

    Mustafa al-Kadhimi: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaiunga mkono serikali ya Iraq

    May 10, 2021 03:19

    Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, Wairani ni watu wa kutazama mambo kwa uhalisia wake na kwamba, juhudi zao zinalenga kuiunga mkono serikali ya Baghdad na wala hazina nia ya kuidhoofisha.

  • Mwaka wa tatu wa Marekani kujitoa katika mapatano ya JCPOA, juhudi nyingi zisizo na maana

    Mwaka wa tatu wa Marekani kujitoa katika mapatano ya JCPOA, juhudi nyingi zisizo na maana

    May 09, 2021 21:04

    Miaka mitatu iliyopita, Mei 8 2018, Donald Trump rais wa zamani wa Marekani aliiondoa rasmi nchi hiyo katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA, kwa madai kwamba yalikuwa mapatano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa katika historia ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS