-
Kuzifungia tovuti za kimataifa za vyombo vya habari vya Iran, njama za Marekani zilizoshindwa zamani
Apr 27, 2020 05:39Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za vikwazo vya kiwango cha juu kabisa, serikali ya Donald Trump huko Marekani si tu imeiwekea Iran vikwazo vikubwa ambavyo havijawahi kushuhudiwa, lakini pia imekuwa ikifanya njama kubwa za kuibana Tehran katika kila upande, ikiwa ni pamoja na upande wa vyombo vya habari, ili kuzuia sauti ya haki ya Jamhuri ya Kiislamu isiwafikie walimwengu.
-
Rouhani: Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani
Apr 25, 2020 06:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inafuatilia kwa karibu sana nyendo za Marekani na kuongeza kuwa: "Iran katu haitakuwa muanzishaji wa taharuki na mapigano katika eneo."
-
Seneta wa Marekani akiri juu ya uwezo mkubwa wa Iran na udhaifu wa Marekani
Apr 25, 2020 00:57Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akitekeleza hatua za uhasama na mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa lengo la kuidhoofisha na hatimaye kuilazimisha ikubali matakwa yake.
-
Setilaiti ya Nour; mdhamini wa maslahi ya amani ya Iran katika anga za mbali
Apr 24, 2020 23:33Kurushwa kwa mafanikio katika anga za mbali setilaiti ya Nour-1 kupitia kombora la kurushia setilaiti la Qased, na setilaiti hiyo kuanza kufanya kazi zake huko, ni suala ambalo limekabiliwa na radiamali ya kisiasa na madai ya kukaririwa na yasiyo na msingi ya Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya.
-
Idadi ya waliopona baada ya kuugua COVID-19 nchini Iran wapindukia 66,000
Apr 24, 2020 10:43Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran imetangaza kuwa, hadi kufikia mchana wa leo Ijumaa watu 66,596 miongoni mwa walioambukizwa virusi vya corona wamepata afueni na kuruhusiwa kutoka hospitali.
-
Iran yalaani chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi, yamuita balozi wa Uswisi
Apr 23, 2020 22:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya wanajeshi wa baharini wa Iran katika Ghuba ya Uajemi, sambamba na kukosoa bwabwaja na vitisho vya Rais Donald Trump dhidi ya askari hao wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH).
-
Karibu asilimia 65 ya waathiriwa wa corona wapata uzima nchini Iran
Apr 23, 2020 07:06Wizara ya Afya, Matibabu na Mafunzo ya Tiba ya Iran imetangaza kuwa, hadi hivi sasa waathiriwa 64 elfu na 843 wa ugonjwa wa corona humu nchini wamepata uzima na wameruhusiwa kurejea nyumbani kutoka mahospitalini.
-
Marais Rouhani na Museveni wataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na Uganda
Apr 22, 2020 08:38Rais Hassan Rouhani ameutaja uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda kuwa mzuri na uliojengeka katika misingi ya heshima, na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuboresha uhusiano wa pande mbili na nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika nyuga zote.
-
Iran yaboresha uwezo na kasi ya makombora yake ya baharini
Apr 21, 2020 03:41Kamanda wa Kikosi cha Baharini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC amesema kikosi hicho kimeunda makombora yenye uwezo mkubwa zaidi, yanayoweza kupiga umbali wa kilomita 700.
-
Ombi la Trump kwa UN la kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kinyume na JCPOA
Apr 20, 2020 01:34Kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA yenye baraka kamili za Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, vikwazo vya kidhulma vya silaha ilivyowekewa Iran, vinapaswa viondolewe kikamilifu tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020.