-
Iran iko tayari kuisaidia Marekani kudhibiti ugonjwa wa Covid-19
Mar 20, 2020 10:01Naibu Waziri wa Afya wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuisaidia Marekani kudhibiti mripuko wa ugonjwa wa COVID-19, kutokana na udhaifu wa mfumo wa afya wa nchi hiyo ambao umeshindwa kuzuia wimbi la maambukizi ya kirusi cha corona nchini humo.
-
Kuendelea vikwazo vya Marekani na mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya mfumo wa tiba wa Iran
Mar 20, 2020 08:18Katika siku za hivi karibuni Marekani imeendelea mtawalia kuiwekea vikwazo vipya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais Rouhani: Mwaka uliopita ulijaa hamasa kubwa ya wananchi wa Iran
Mar 20, 2020 04:53Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake wa mwaka mpya wa 1399 Hijria Shamsia kwamba: Mwaka uliopita ulikuwa mwaka wa matukio na hamasa nyingi, na kwamba matukio makubwa zaidi katika historia ya nchi hii na hamasa zenye fahari kubwa zimetengenezwa na wananchi mashujaa wa Iran katika mwaka huo.
-
Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na miito inayoongezeka ya kuondolewa vikwazo hivyo
Mar 19, 2020 10:03Licha ya kuibuka virusi angamizi vya Corona ulimwenguni ikiwemo Iran na kuweko ulazima wa walimwengu wote kukabiliana navyo, lakini Marekani ingali inang’ang’ania kuendeleza utendaji wake wa kivikwazo katika fremu ya sera za vikwazo vya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na imekuwa ikitangaza mtawalia vikwazo vipya dhidi ya Tehran.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa
Mar 19, 2020 04:27Serikali ya Trump imeamua kutekeleza sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran; na ili kufanikisha lengo hilo baada ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei 2018, ilianza kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu vikwazo vikali zaidi kuwahi kushuhudiwa. Lakini licha ya kushindwa kufikia lengo ililokusudia, Washington ingali inang'ang'ania kuongeza vikwazo dhidi ya Tehran.
-
Iran yazikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzuia taarifa ya NAM ya kulaani vikwazo vya US
Mar 19, 2020 04:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali hatua ya baadhi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote NAM, kwa kuzuia kutolewa taarifa ya jumuiya hiyo ya kulaani vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran.
-
Sanders autaka utawala wa Trump uiondolee Iran vikwazo
Mar 19, 2020 04:21Bernie Sanders, Seneta wa jimbo la Vermont anayewania kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka huu kwa tiketi ya chama cha Democrat ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya utawala wa Donald Trump ya kushadidishi vikwazo dhidi ya Iran wakati huu ambapo taifa hili linakabiliana na mripuko wa ugonjwa wa Corona.
-
Kuzinduliwa miradi ya kiuchumi na miundo msingi; ishara ya uwezo mkubwa wa Iran
Mar 18, 2020 04:15Tukiwa katika siku za mwisho za mwaka wa Kiirani wa 1398 Hijria Shamshia ambao unamalizika 20 Machi 2020, vyombo vya habari vinajishughulisha kuakisi habari zinazohusu kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
-
Takwa la Russia la kuondolewa vikwazo visivyo vya kiutu vya Marekani dhidi ya Iran
Mar 17, 2020 23:39Kuendelea vikwazo vya Marekani vyenye wigo mpana na ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran ambavyo vilianza kutekelezwa baada ya Washington kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA Mei 2018, ni hatua ambayo ilikabiliwa na malalamiko na ukosoaji mkubwa katika uga wa kimataifa ambapo hata washirika wa Ulaya wa Washington nao waliikosoa hatua hiyo isiyo ya kibinadamu.
-
Zarif aitaka dunia izuie ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya Iran
Mar 15, 2020 23:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaandikia barua mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa nchi mbali mbali duniani, akiwaomba wazuie na kukomesha ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya taifa hili.