-
Rabii: Iran inaendeleza juhudi zake za kuimarisha amani na urafiki katika eneo
Oct 08, 2019 01:05Msemaji wa serikali ya Iran amesisitiza kuwa wale wanaotaka mabaya wafahamu kuwa Iran haitasitisha jitihaa zake za kuendeleza amani na urafiki na majirani zake.
-
Iran kuendelea kupunguza uwajibikaji wake kwa JCPOA
Oct 06, 2019 04:34Msemaji wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran (AEOI) amesema kuwa, awamu ya nne ya kupunguza Iran kutekeleza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA itaanza kutekelezwa mwezi ujao kama ilivyopangwa na kwamba kwa sasa hakuna kituo chochote kilichobadilika.
-
Hamas: Njama ya kuuawa Jenerali Soleimani wa Iran ni kwa maslahi ya Israel
Oct 05, 2019 08:26Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali njama iliyotibuka ya nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutaka kumuua Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH), Meja Jenerali Qassem Soleimani.
-
Iran kuzindua satalaiti tatu mpya za Zafar, Pars 1 na Nahid 1
Oct 05, 2019 04:33Mkuu wa Shirika la Anga za Mbali la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran itakamilisha utengenezaji wa satalaiti tatu mpya katika kipindi cha miezi mitatu ijayo.
-
Ripoti: Muungano wa Marekani-Saudia-Israel dhidi ya Iran unadorora katika mgogoro
Oct 05, 2019 03:15Muungano dhidi ya Iran ambao umeundwa na watawala wa Marekani, Israel na Saudi Arabia unadorora huku kila mmoja wa watawala wa nchi hizo akikumbwa na matatizo makubwa.
-
Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia: Iran imepiga hatua katika njia sahihi
Oct 04, 2019 23:09Mkurugenzi Mkuu wa muda wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ameeleza kuridhishwa kwake na ushirikiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na taasisi hiyo ya kimataifa.
-
Salami: Adui hana ujasiri wa kufyatua risasi hewa dhidi ya Iran
Oct 03, 2019 22:10Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema adui wa taifa hili hana uthubutu wala ujasiri wa kufyatua hata risasi moja hewa ndani ya mipaka ya nchi hii.
-
IRGC yatibua njama ya Waarabu na Wazayuni ya kumuua Jenerali Soleimani
Oct 03, 2019 10:22Kitengo cha Intelijensia cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran kimetibua njama za nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel za kumuua Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la SEPAH, Meja Jenerali Qassem Soleimani.
-
Filamu ya matukio: Bin Salman yuko tayari kuitambua rasmi Israel ikiwa Marekani itamsaidia kuishinda Iran
Oct 02, 2019 00:44Filamu mpya ya matukio ya kweli imefichua kuwa, mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia Mohammed Bin Salman, maarufu kama MbS alimuahidi Rais Donald Trump wa Marekani kuwa nchi yake itautambua rasmi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, ikiwa Marekani itausaidia utawala wa Aal Saud "kuishinda Iran na kuidhibiti Mashariki ya Kati."
-
Nchi nyingine 8 za Ulaya zajiunga na mfumo wa INSTEX
Oct 01, 2019 04:29Afisa msaidizi wa Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema nchi 8 zaidi za Ulaya zimejiunga rasmi na mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya (INSTEX).