Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Sisitizo la Qatar juu ya udharura wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Iran

    Sisitizo la Qatar juu ya udharura wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Iran

    Mar 01, 2019 04:22

    Muhammad bin Abdulrahman bin Jassim Aal Thani Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amezitaka nchi za Kiarabu za Ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuwa na maelewano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kuwa, nchi hizo zinahitajia kuwa na maelewano na Tehran.

  • Zarif: Amani haiwezi kupatikana kwa kutumia sera za mabavu

    Zarif: Amani haiwezi kupatikana kwa kutumia sera za mabavu

    Feb 28, 2019 12:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa fikra zinazotokana na mitazamo ya kibeberu na utumiaji wa silaha zenye uharibifu zinapaswa kubadilishwa na kuwa fikra ya mazungumzo na maelewano.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na Armenia

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na Armenia

    Feb 28, 2019 11:20

    Katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Armenia Nikol Pashinyan, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia ni majirani wema na wenye uhusiano wa kihistoria.

  • Kamanda Soleimani: Kukutana Rais Assad wa Syria na Kiongozi Muadhamu wa Iran, ilikuwa sherehe ya ushindi

    Kamanda Soleimani: Kukutana Rais Assad wa Syria na Kiongozi Muadhamu wa Iran, ilikuwa sherehe ya ushindi

    Feb 28, 2019 00:58

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, Qasem Soleimani amesema kuwa kukutana Rais Bashar al Assad wa Syria na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ilikuwa sherehe ya ushindi wa vita vya Syria.

  • Wabunge wa Iran wakusanya sahihi kumsihi Zarif asijiuzulu

    Wabunge wa Iran wakusanya sahihi kumsihi Zarif asijiuzulu

    Feb 27, 2019 04:30

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wameanza kukusanya sahihi kwa shabaha ya kumuomba Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran aghairi msimamo wake wa kujiuzulu.

  • Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lifikie mwafaka na Iran

    Qatar: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lifikie mwafaka na Iran

    Feb 26, 2019 11:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani amewataka wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (PGCC) kufikia mwafaka na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rouhani: Iran itasaidia kuijenga upya Syria na kuirejeshea utulivu

    Rouhani: Iran itasaidia kuijenga upya Syria na kuirejeshea utulivu

    Feb 26, 2019 04:19

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kushiriki katika utekelezaji wa mipango itakayoainishwa na serikali ya Syria katika kuijenga upya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Iran kutuma misaada Venezuela

    Iran kutuma misaada Venezuela

    Feb 25, 2019 00:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kutuma msaada wa dawa na vifaa vya kitiba Venezuela, nchi ambayo imekuwa ikikabiliwa na njama za mababeru wakiongozwa na Marekani ambao wanataka kuipindua serikali ya Rais Nicolas Maduro.

  • Iran na Uganda zasisitiza kustawisha uhusiano wao wa pande mbili

    Iran na Uganda zasisitiza kustawisha uhusiano wao wa pande mbili

    Feb 23, 2019 12:17

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uganda na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo wamesisitiza kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbali mbali.

  • Uwezo wa Iran wa kujihami na kumzuia adui; chanzo cha uthabiti na usalama

    Uwezo wa Iran wa kujihami na kumzuia adui; chanzo cha uthabiti na usalama

    Feb 23, 2019 04:11

    Vikosi vya kijeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinadhibiti kikamilifu hali ya mambo na viko tayari kukabiliana na vitisho katika eneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS