-
Admeri Sayyari: Mfumo wa kijeshi wa Iran ni wa kujihami na kutegemea uwezo wa kuzuia hujuma dhidi yake
Jan 27, 2019 04:31Mkuu wa uratibu wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, mfumo wa kijeshi wa Iran ni wa kujihami na unaotegemea uwezo wa kuzuia hujuma dhidi yake na akaongezea kwa kusema, zana zote za kijeshi na kiulinzi za vikosi vya ulinzi zinatengezwa humu humu nchini.
-
Muhadhiri wa Chuo Kikuu China: Iran ndiye mshindi mbele ya Marekani
Jan 26, 2019 10:43Muhadhiri wa Chuo Kikuu cha Xiamen nchini China amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeshinda katika kukabiliana na vikwazo vya upande mmoja vya Marekani.
-
Zarif: Iran inaliunga mkono taifa la Venezuela dhidi ya njama za Marekani
Jan 26, 2019 01:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela, amesema Iran inaliunga mkono taifa hilo la Amerika ya Latini na itasimama nalo dhidi njama ya mapinduzi inayopikwa na Marekani.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran aonya kuhusu hujuma za maadui za kuleta ufisadi na upotovu
Jan 25, 2019 10:51Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran ametahadharisha kuhusiana na hujuma za maadui za kuleta ufisadi na upotovu hapa nchini.
-
Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw
Jan 24, 2019 00:35Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi: Kasi ya harakati ya sayansi nchini isisite wala kupungua kwa namna yoyote ile
Jan 23, 2019 13:29Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuhusu ulazima wa kufanywa juhudi za pande zote usiku na mchana ili kuweza kupigwa hatua zaidi katika elimu na sayansi mbali mbali; na akabainisha kwamba: Kasi ya harakati ya kisayansi nchini haipasi kupunguzwa au kusitishwa.
-
Kutoshiriki Mogherini katika mkutano wa Warsaw, pigo jingine dhidi ya Marekani
Jan 22, 2019 03:41Katika fremu ya siasa zake za kuipiga vita Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Marekani imeanzisha jitihada kubwa za kuitisha mkutano wa kutafuta mwafaka wa kimataifa dhidi ya Iran.
-
Mkuu wa Rossiya Segodnya ataka kuachiwa huru Marzieh Hashemi
Jan 21, 2019 08:59Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la habari la kimataifa la Rossiya Segodnya la Russia amesema kuwa kuna udharura wa vyombo vyote huru vya habari duniani kumtetea na kumuunga mkono mwandishi habari wa televisheni ya Press TV, Marzieh Hashemi anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya Marekani.
-
Salehi: Iran ni nchi huru duniani na ni ufunguo wa dhahabu katika eneo
Jan 20, 2019 22:04Mkuu wa Shirika la Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran ni nchi pekee huru na yenye kijitegemea miongoni mwa nchi zinazostawi na nchi hii pia ni ufunguo wa dhahabu katika eneo.
-
Jebeli: Kutiwa mbaroni Marzieh Hashemi ni vita vya kisiasa vya Marekani dhidi ya Iran
Jan 20, 2019 00:57Mkuu wa Kitengo cha Kimataifa cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kutiwa mbaroni Marzieh Hashemi mtangazaji wa kanali ya televisheni ya Kimataifa ya Press TV ni vita vya kisiasa vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na mashinikizo mapya ya Washington katika kipindi hiki cha kukaribia maadhimisho ya kutimia miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.