-
Afrika Kusini yapongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya ICJ
Oct 07, 2018 04:18Idara ya Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa ya Afrika Kusini imepongeza hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuiagiza Washington isimamishe vikwazo vyake vya upande mmoja dhidi ya Iran haraka iwezekanavyo.
-
Ufaransa: Marekani haina haki ya kuchukua maamuzi kwa niaba ya Ulaya
Oct 06, 2018 03:46Waziri wa Fedha wa Ufaransa amesema kuwa, Marekani haiwezi kuchukua maamuzi kuhusiana na ushirikiano wa kibiashara wa nchi za Ulaya na Iran na kuongeza kuwa, vikwazo vya serikali ya Washington dhidi ya Iran ni fursa kwa Ulaya kwa ajili ya kuanzisha taasisi zinazojitegemea za kifedha.
-
"Makombora, jibu na ujumbe wa Iran kwa waungaji mkono wa ugaidi"
Oct 05, 2018 12:15Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran sanjari na kupongeza mashambulizi ya makombora yaliyofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC dhidi ya ngome za magaidi nchini Syria amesema operesheni hiyo ilikuwa jibu la Iran lililobeba ujumbe mahsusi kwa magaidi, wafadhili na waungaji mkono wao.
-
Uganda na Iran kuimarisha ushirikiano katika uga wa sayansi na teknolojia
Oct 05, 2018 12:08Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu wa Uganda ametoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa sayansi na teknolojia.
-
Kupindisha ukweli Katibu Mkuu wa NATO na hila ya kutaka kuitupia mzigo wa lawama Iran
Oct 05, 2018 11:50Mtazamo wa kizandiki na kindumakuwili wa Magharibi kwa matukio ya eneo la Magharibi ya Asia hautabadilisha ukweli wa mambo wa yale yanayojiri katika eneo hili; na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambayo ni nchi athirifu itaendelea kutoa mchango wake chanya katika uwanja huo.
-
Iran yamjibu Katibu Mkuu wa NATO: Sera hatarishi za Marekani ndizo za kutia wasiwasi zaidi
Oct 04, 2018 03:44Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, inapasa Katibu Mkuu wa NATO awe na wasiwasi zaidi kutokana na siasa na sera hatarishi za Marekani za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja na kutotekeleza mwanachama huyo wa NATO majukumu yake ya kimataifa.
-
Iran na Uganda zasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika elimu na teknolojia
Oct 03, 2018 10:49Makamu wa Rais wa Jamhuuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya elimu na teknolojia na Rais wa Uganda wamesisitiza katika mazungumzo yao leo mjini Kampala juu ya umuhimu wa kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano wa pamoja kati ya pande mbili katika uga wa elimu na teknolojia.
-
Polisi wa Ufaransa wavamia kituo cha Kiislamu cha Zahraa (as) mjini Paris
Oct 02, 2018 23:11Polisi ya Ufaransa imevamia ofisi ya jumuiya ya Waislamu ya Zahraa (as) na nyumba za wanachama wa jumuiya hiyo na kuwatia mbaroni watu 11.
-
Amano ajibu madai ya Netanyahu dhidi ya Iran, asema IAEA inajitegemea
Oct 02, 2018 12:25Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki amekanusha madai yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa, wakala huo unafanya kazi kwa kujitegemea na hautilii maanani madai yanayotolewa na upande mwingine.
-
UN: Kiwango cha matumaini ya kuishi nchini Iran ni sawa na cha nchi zilizoendelea
Oct 02, 2018 11:58Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Idadi ya Watu (UNFPA) umetangaza kuwa kiwango cha matumaini ya kuishi nchini Iran ni sawa na kile cha nchi zilizoendelea.