Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yalaani mashambulizi ya karibuni ya Israel kusini mwa Lebanon

    Iran yalaani mashambulizi ya karibuni ya Israel kusini mwa Lebanon

    Oct 18, 2025 04:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya karibuni ya anga ya Israel kusini mwa Lebanon, na kuzibebesha dhima nchi zilizodhamini makubaliano ya kusitisha vita yaani Ufaransa na Marekani kwa kutoichukulia hatua Israel.

  • Yazdanian: Iran hurusha satelaiti sita angani kila mwaka

    Yazdanian: Iran hurusha satelaiti sita angani kila mwaka

    Oct 18, 2025 04:18

    Vahid Yazdanian Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Anga cha Iran ametangaza kuwa Iran imefanikiwa kurusha satelaiti sita angani kila mwaka, sambamba na kupiga hatua kubwa katika teknolojia ya kurusha satelaiti.

  • Unyanyuaji Uzani; Muirani avunja rekodi ya dunia, ashinda dhahabu Misri

    Unyanyuaji Uzani; Muirani avunja rekodi ya dunia, ashinda dhahabu Misri

    Oct 17, 2025 03:20

    Ali Akbar Gharibshahi, bingwa wa mchezo wa kunyanyua vitu vizito wa Iran ameweka rekodi mpya ya dunia na kushinda medali ya dhahabu katika kategoria ya kilo wanamichezo wenye 107, kwenye Mashindano ya Dunia ya Kunyanyua Uzani ya 2025 nchini Misri.

  • Pezeshkian: Vijana wa Iran wamebobea katika uzalishaji wa makombora

    Pezeshkian: Vijana wa Iran wamebobea katika uzalishaji wa makombora

    Oct 16, 2025 23:12

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ameashiria uwezo wa kustaajabisha wa vijana wa Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, vijana wa taifa hili ndio ambao wanatengeneza makombora na nishati ya nyuklia kwa kutegemea uwezo wao.

  • Kharrazi: Iran iko tayari kwa mazungumzo, lakini haitakubali kuburuzwa

    Kharrazi: Iran iko tayari kwa mazungumzo, lakini haitakubali kuburuzwa

    Oct 16, 2025 06:12

    Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Mahusiano ya Kigeni ya Iran, Kamal Kharrazi amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kwa mazungumzo, lakini katu haitakubali kutwishwa matakwa ya aina yoyote.

  • Waziri: Mamilioni ya watalii wameitebelea Iran ndani ya miezi 6

    Waziri: Mamilioni ya watalii wameitebelea Iran ndani ya miezi 6

    Oct 16, 2025 02:08

    Zaidi ya watalii milioni 3.5 wa kigeni wameitembelea Iran katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu, Waziri wa Turathi za Utamaduni, Utalii na Sanaa, Reza Salehi Amiri alisema hayo jana Jumatano.

  • Mauzo ya chuma ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 26%

    Mauzo ya chuma ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 26%

    Oct 15, 2025 08:21

    Thamani ya mauzo ya madini ya chuma ya Iran ilipanda hadi karibu dola bilioni 4 katika nusu ya kwanza ya mwaka huu 2025, na kuashiria ongezeko la asilimia 26 ya mauzo hayo kwa mwaka.

  • Iran: Trump hawezi kuwa mtu wa kuleta amani wakati anachochea vita visivyo na mwisho

    Iran: Trump hawezi kuwa mtu wa kuleta amani wakati anachochea vita visivyo na mwisho

    Oct 15, 2025 02:33

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amemkosoa vikali Donald Trump kwa sera yake ya kuchochea vita katika eneo la Asia Magharibi, akisema rais wa Marekani hawezi kudai anapigania kuleta amani katika eneo hili huku akifuata sera za uchokozi na kufungamana na "wahalifu wa kivita."

  • Araghchi kuhudhuria mkutano wa NAM nchini Uganda

    Araghchi kuhudhuria mkutano wa NAM nchini Uganda

    Oct 14, 2025 23:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu, Abbas Araghchi atazuru Uganda karibuni hivi kushiriki Mkutano wa 19 wa Mawaziri wa Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM).

  • Iran: Dunia iwe macho, isikubali Israel ikiuke usitishaji vita Gaza

    Iran: Dunia iwe macho, isikubali Israel ikiuke usitishaji vita Gaza

    Oct 13, 2025 08:47

    Iran imesisitiza uungaji mkono wake usioyumba kwa juhudi zozote zinazolenga kukomesha mauaji na mauaji ya halaiki ya Israel huko Gaza, ikionya kuhusu historia ya utawala unaoikalia kwa mabavu Quds ya kukanyaga mikataba na makubaliano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS