Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kamanda: Hatutaruhusu hata shibri moja ya ardhi ya Iran itwaliwe

    Kamanda: Hatutaruhusu hata shibri moja ya ardhi ya Iran itwaliwe

    Jul 11, 2025 11:52

    Mkuu wa Jeshi la Iran, Meja Jenerali Amir Hatami, amesisitiza kuwa wanajeshi wa nchi hii hawataruhusu hata shubri moja ya ardhi ya Jamhuri ya Kiislamu kuporwa.

  • Picha za satalaiti zamsuta Trump; Iran ilikiharibu vibaya sana kituo cha US Qatar

    Picha za satalaiti zamsuta Trump; Iran ilikiharibu vibaya sana kituo cha US Qatar

    Jul 11, 2025 11:14

    Picha mpya za satelaiti zimefichua uharibifu mkubwa uliotokea katika kituo cha anga cha Marekani cha Al Udeid kilichoko nchini Qatar baada ya mashambulizi ya kulipiza kisasi yaliyofanywa na Iran mwezi uliopita, na hivyo kusuta madai ya Rais wa Marekani Donald Trump kwamba kambi hiyo kubwa zaidi ya kijeshi ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi haikudhurika.

  • Qalibaf: Waisraeli wasiopungua 500 waliangamizwa katika vita na Iran

    Qalibaf: Waisraeli wasiopungua 500 waliangamizwa katika vita na Iran

    Jul 10, 2025 23:41

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf amesema kusitishwa kwa uvamizi wa kijeshi wa hivi karibuni wa Israel dhidi ya Iran kulitokana na kushindwa kwa utawala huo, na wala sio kutokana na kujizuia kwa upande wake.

  • Zarif aikosoa US kwa kumwekea vikwazo ripota wa UN

    Zarif aikosoa US kwa kumwekea vikwazo ripota wa UN

    Jul 10, 2025 16:54

    Aliyekuwa Makamu wa Rais katika Masuala ya Kistratajia wa Iran, Mohammad-Javad Zarif amekosoa hatua ya Marekani ya kumuwekea vikwazo Francesca Albanese, Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Rais wa Iran: Uchokozi wowote utakaorudiwa utakabiliwa na jibu kali zaidi na la kujutisha zaidi

    Rais wa Iran: Uchokozi wowote utakaorudiwa utakabiliwa na jibu kali zaidi na la kujutisha zaidi

    Jul 10, 2025 11:33

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, uchokozi wowote utakaorudiwa kufanywa dhidi ya ardhi ya Iran utakabiliwa na jibu kali zaidi na la kujutisha zaidi.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiweka tayari kujibu chokochoko zozote za Israel

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiweka tayari kujibu chokochoko zozote za Israel

    Jul 10, 2025 10:14

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesema Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu vimejipanga kikamilifu kutoa jibu kali kwa chokochoko zozote zitakazofanywa na utawala mtendaji jinai wa kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake wa Magharibi.

  • 'Umoja kati ya dini za Ibrahim ndilo jibu pekee kwa dhulma duniani'

    'Umoja kati ya dini za Ibrahim ndilo jibu pekee kwa dhulma duniani'

    Jul 09, 2025 15:14

    Umoja miongoni mwa dini za Nabii Ibrahim AS ndilo jibu pekee la ufanisi mkabala wa kuongezeka kwa dhulma na ukosefu wa haki na uadilifu duniani.

  • Bunge la Ujerumani latilia shaka uhalali wa mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Bunge la Ujerumani latilia shaka uhalali wa mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Jul 09, 2025 14:56

    Huenda mashambulio ya Israel na Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran mwezi uliopita yalikiuka sheria za kimataifa, kwa mujibu wa ripoti ya wataalamu wa bunge la Ujerumani iliyonukuliwa na shirika la habari la dpa.

  • Grossi: Uwezo wa nyuklia wa Iran hauwezi kuzimwa kwa mabavu

    Grossi: Uwezo wa nyuklia wa Iran hauwezi kuzimwa kwa mabavu

    Jul 09, 2025 12:26

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati wa Atomiki IAEA amesema kuwa, mpango wa nyuklia wa Iran, nchi yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiviwanda na kiteknolojia hauwezi kuzimwa kwa hatua za kijeshi wala hatua zozote za mabavu.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wafanya mazungumzo mjini Makka

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Saudia wafanya mazungumzo mjini Makka

    Jul 09, 2025 04:47

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia wamekutana na kufanya mazungumzo katika mji mtukufu wa Makka nchini Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS