Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yazindua meli mpya zilizoundwa na wazawa kwa ajili ya ulinzi wa pwani

    Iran yazindua meli mpya zilizoundwa na wazawa kwa ajili ya ulinzi wa pwani

    Feb 13, 2025 07:51

    Iran imezindua meli 10 za walinzi wa pwani na meli za uongozaji wakati wa ziara ya Rais Masoud Pezeshkian katika mji wa bandari wa Ghuba ya Uajemi wa Bushehr hapa nchini.

  • Iravani: Iran inaunga mkono kuundwa serikali jumuishi nchini Syria

    Iravani: Iran inaunga mkono kuundwa serikali jumuishi nchini Syria

    Feb 13, 2025 03:22

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: Iran inaunga mkono uundwaji wa serikali shirikishi kupitia uchaguzi huru na mazungumzo jumuishi ya kitaifa nchini Syria.

  • Mkutano wa dharura wa OIC kuhusu Gaza kufanyika kwa pendekezo la Iran

    Mkutano wa dharura wa OIC kuhusu Gaza kufanyika kwa pendekezo la Iran

    Feb 12, 2025 23:22

    Kikao kisicho cha kawaida cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ch kuchunguza njama ya Marekani na Israel ya kuwaondoa kwa nguvu watu wa Gaza, kitafanyikandani ya wiki zijazo kutokana na pendekezo la Iran.

  • Mwangwi wa maandamano ya Bahman 22 katika vyombo vya habari vya Marekani

    Mwangwi wa maandamano ya Bahman 22 katika vyombo vya habari vya Marekani

    Feb 10, 2025 23:16

    Vyombo vya habari vya lugha ya Kiingereza vimeyapa kipaumbele maalumu maadhimisho ya miaka 46 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran yaliyofanyika jana kote nchini.

  • Rais Pezeshkian: Iran itazima njama zote za maadui

    Rais Pezeshkian: Iran itazima njama zote za maadui

    Feb 10, 2025 07:57

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anasema Jamhuri ya Kiislamu itafanya juu chini kuzima njama zote zinazopangwa na maadui dhidi ya taifa hili.

  • Iran yataka kufanyika kikao cha dharura cha OIC kujadili kadhia ya Palestina

    Iran yataka kufanyika kikao cha dharura cha OIC kujadili kadhia ya Palestina

    Feb 10, 2025 11:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza na kubadilishana mawazo na mwenzake wa Gambia, Mamadou Tangara, ambaye nchi yake ndiye mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), kuhusu matukio ya sasa huko Palestina hususan Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano ya Bahman 22 ya kuadhimisha ushindi ya Mapinduzi ya Kiislamu yaanza nchini kote

    Maandamano ya Bahman 22 ya kuadhimisha ushindi ya Mapinduzi ya Kiislamu yaanza nchini kote

    Feb 10, 2025 04:12

    Maandamano ya Bahman 22 ya kuadhimisha miaka 46 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu yameanza kote nchini Iran ikiwa ni pamoja na katika Jiji kuu la Tehran.

  • Iran ina nafasi muhimu katika soko la kimataifa la teknolojia ya nano

    Iran ina nafasi muhimu katika soko la kimataifa la teknolojia ya nano

    Feb 09, 2025 07:11

    Katibu wa Taasisi ya Tekenolojia ya Nano ya Iran amesema kuwa, Tehran imekuwa na nafasi muhimu katika soko la kimataifa la teknolojia ya nano kwa kusafirisha bidhaa za nano zenye thamani ya zaidi ya dola milioni moja kwa nchi sita zilizoendelea.

  • Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yaungane kuijenga upya Gaza

    Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yaungane kuijenga upya Gaza

    Feb 09, 2025 03:44

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuungana na kushirikiana ili kulijenga upya eneo la Ukanda la Gaza ambalo limeharibiwa kikamilifu na mabomu ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kamanda Salami wa IRGC : Hatutasalimu amri mbele ya tishio lolote

    Kamanda Salami wa IRGC : Hatutasalimu amri mbele ya tishio lolote

    Feb 07, 2025 04:26

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC amesema nguvu za Iran na historia yake pana inaifanya isiweze kutetereshwa na mashinikizo ya nje.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS