Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Wakuu wa majeshi ya Iran na Saudi Arabia wajadili diplomasia ya ulinzi mjini Tehran

    Wakuu wa majeshi ya Iran na Saudi Arabia wajadili diplomasia ya ulinzi mjini Tehran

    Nov 11, 2024 04:26

    Viongozi wa ngazi ya juu wa majeshi ya Iran na Saudi Arabia wamejadili njia za kuboresha diplomasia ya ulinzi kati ya nchi mbili huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendelea kuzidisha mivutano na wasiwasi katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina lengo la kumiliki silaha za nyuklia

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina lengo la kumiliki silaha za nyuklia

    Nov 10, 2024 23:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza suala la kujenga hali ya kuaminiana kimataifa na kusema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kutaka kumiliki silaha za nyuklia na haina lengo hilo.

  • Ghalibaf : Kuuawa shahidi Sayyid Nasrullah kumeonyesha ubatili wa kufanya mapatano na Israel

    Ghalibaf : Kuuawa shahidi Sayyid Nasrullah kumeonyesha ubatili wa kufanya mapatano na Israel

    Nov 09, 2024 08:55

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Ghalibaf amesema kuuawa shahidi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah kulifichua namna utawala wa Kizayuni usivyoheshimu mapatano ya aina yoyote.

  • Iran na Sudan zasisitiza kupanua ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara

    Iran na Sudan zasisitiza kupanua ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara

    Nov 07, 2024 23:07

    Waziri wa Uchumi na Fedha wa Iran na Waziri wa Fedha na Mipango ya Kiuchumi wa Sudan wamekutana na kujadili upanuzi wa uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa kiuchumi na kibiashara.

  • Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege

    Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege

    Nov 07, 2024 06:25

    Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa kwa vile uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuimarisha siku baada ya siku.

  • Aragchi: Kuna uhusiano wa karibu kati ya kijikundi cha kigaidi cha Jaysh al-Dhulm  na utawala wa Kizayuni

    Aragchi: Kuna uhusiano wa karibu kati ya kijikundi cha kigaidi cha Jaysh al-Dhulm na utawala wa Kizayuni

    Nov 06, 2024 10:03

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran na Pakistan zinaamini kuna uhusiano wa karibu kati ya kundi kijikundi cha kigaidi cha Jaish al Dhulm na utawala wa Kizayuni na zinasisitiza juu ya kupigana na kukabiliana nalo.

  • Mafanikio mapya ya anga za mbali ya Iran:  Kurushwa angani satelaiti mbili za Kowsar na Hod'hod

    Mafanikio mapya ya anga za mbali ya Iran: Kurushwa angani satelaiti mbili za Kowsar na Hod'hod

    Nov 06, 2024 07:23

    Watafiti wa moja ya mashirika ya anga za juu ya Iran kwa kubuni na kutengeneza satelaiti mbili za Kowsar na Hod'hod wameweza kuziingiza kwa mafanikio satelaiti hizo mbili kwenye mzingo wa dunia wenye umbali wa kilomita 500 kwa kutumia roketi ya Soyuz kutokea kituo cha Vostochny nchini Russia, hapo siku ya Jumanne tarehe 5 Novemba.

  • Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

    Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

    Nov 05, 2024 22:44

    Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), imelaani uovu wa utawala wa Kizayuni na hujuma yake ya makusudi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutangaza kuwa, shambulio hilo ni ukiukaji mkubwa wa mamlaka na umoja wa ardhi ya Iran.

  • Waziri wa Croatia: Iran ni mfano kwetu wa kuiga wa watu wa dini mbalimbali kuishi kwa amani

    Waziri wa Croatia: Iran ni mfano kwetu wa kuiga wa watu wa dini mbalimbali kuishi kwa amani

    Nov 05, 2024 09:02

    Waziri wa Utamaduni wa Croatia ametoa wito wa kuitumia tajiriba na uzoefu wa wafuasi wa dini tofauti nchini Iran katika kustawisha utamaduni wa kuishi pamoja kwa amani na masikilizano watu wa dini mbalimbali.

  • Iran yasisitiza kuwa bila shaka itajibu uchokozi wa Israel

    Iran yasisitiza kuwa bila shaka itajibu uchokozi wa Israel

    Nov 04, 2024 23:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baghaei amesema bila ya shaka utawala wa Kizayuni wa Israel utapokea jibu kali kutokana na uchokozi wake wa hivi karibuni dhidi Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS