Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yasisitiza kuwa bila shaka itajibu uchokozi wa Israel

    Iran yasisitiza kuwa bila shaka itajibu uchokozi wa Israel

    Nov 04, 2024 23:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baghaei amesema bila ya shaka utawala wa Kizayuni wa Israel utapokea jibu kali kutokana na uchokozi wake wa hivi karibuni dhidi Iran.

  • Mazungumzo ya Waziri wa Mawasiliano wa Iran na Naibu Waziri Mkuu wa Cuba

    Mazungumzo ya Waziri wa Mawasiliano wa Iran na Naibu Waziri Mkuu wa Cuba

    Nov 04, 2024 08:13

    Katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Cuba, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa nchi hii katika masuala ya sayansi na teknolojia na kuzungumzia nyanja za maendeleo ya ushirikiano wa kisayansi, kiteknolojia na mawasiliano.

  • Wairani waadhimisha Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari

    Wairani waadhimisha Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari

    Nov 03, 2024 03:58

    Sherehe za kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Uistikbari wa Dunia ambayo huadhimishwa tarehe 13 Aban (Novemba 3 au 4) kila mwaka hapa Iran, zinaendelea mjini Tehran na katika miji mingine kote Iran.

  • Kuendelea hatua na misimamo ya undumakuwili ya Marekani dhidi ya Iran

    Kuendelea hatua na misimamo ya undumakuwili ya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 02, 2024 07:45

    Rais Joe Biden wa Marekani jana Ijumaa aliwatumia barua wakuu wa bunge la wawakilishi na seneti ambapo amerefusha kwa mwaka mmoja mwingine muda wa hali ya hatari kitaifa kuhusu Iran. Biden amechukua hatua hii katika miezi yake ya mwisho akiwa White House na kabla ya kufanyika uchaguzi wa Rais wa Marekani tarehe 5 mwezi huu wa Novemba.

  • Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake

    Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake

    Nov 02, 2024 04:11

    Kamal Kharrazi, Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Mahusiano ya Nje la Iran amesema, kuna muelekeo wa Jamhuri ya Kiislamu kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake, akionya kuwa Tehran inaweza kubadilisha mwongozo wake wa kijeshi iwapo itakabiliwa na kitisho cha kuhatarisha uwepo wake.

  • Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

    Nov 01, 2024 23:30

    Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameipongeza Algeria kwa kuadhimisha miaka 70 ya mapinduzi yake, akielezea utayarifu wa Iran wa kuimarisha uhusiano na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyuga mbali mbali.

  • Qaani: Kikosi cha Quds cha IRGC kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi kuangamizwa Uzayuni

    Qaani: Kikosi cha Quds cha IRGC kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi kuangamizwa Uzayuni

    Nov 01, 2024 03:41

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amempongeza Sheikh Naim Qassim kwa kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kusema: Kikosi cha Quds kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi utakapotokomezwa mti habithi wa Uzayuni na kukombolewa Palestina na Quds Tukufu.

  • Lavrov: Mkataba wa ushirikiano wa ulinzi kati ya Russia na Iran utatiwa saini hivi karibuni

    Lavrov: Mkataba wa ushirikiano wa ulinzi kati ya Russia na Iran utatiwa saini hivi karibuni

    Nov 01, 2024 03:39

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia ametangaza kuwa makubaliano ya ushirikiano wa pamoja wa ulinzi kati ya Moscow na Tehran yatatiwa saini hivi karibuni.

  • Rais Pezeshkian: Umoja utawafanya Waislamu kuwa na nguvu kubwa

    Rais Pezeshkian: Umoja utawafanya Waislamu kuwa na nguvu kubwa

    Oct 31, 2024 22:57

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umoja baina ya nchi za Kiislamu na kusema: Iwapo tutaweza kufikia umoja katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kijamii, tunaweza kuwa nguvu kubwa katika eneo la Asia Magharibi, na katika hali hii Marekani haiwezi kutuwekea vikwazo.

  • Iran yaendelea na jitihada za kusimamishwa vita Ghaza na Lebanon

    Iran yaendelea na jitihada za kusimamishwa vita Ghaza na Lebanon

    Oct 31, 2024 03:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Misri, Indonesia na Qatar na kujadiliana nao masuala ya kikanda na uhusiano wa pande mbili ikiwa ni muondelezo wa jitihada za Iran za kuhakikisha vita vinakomeshwa huko Ghaza na Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS