Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Tutajibu iwapo Israel itarusha hata mshale jangwani

    Iran: Tutajibu iwapo Israel itarusha hata mshale jangwani

    Oct 30, 2024 23:07

    Vyombo vya ulinzi vya Iran vimesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo ya uchokozi wowote wa Israel dhidi ya ardhi yake, hata kama hatua hiyo ni ndogo na isiyo na tija, kama kurusha mshale kuelekea kwenye jangwa moja la nchi hii.

  • Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa 'darzeni' za operesheni sawa na

    Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa 'darzeni' za operesheni sawa na "Ahadi ya Kweli"

    Oct 30, 2024 10:04

    Waziri wa Ulinzi Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesema Iran inao uwezo wa kuteketeza 'darzeni' za operesheni za kulipiza kisasi sawa na "Operesheni ya Ahadi ya Kweli" iliyotekeleza mwezi Aprili kulenga maeneo ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Palestina unayoikalia kwa mabavu.

  • Malalamiko ya wajumbe wa Baraza la Usalama dhidi ya ushirikiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni

    Malalamiko ya wajumbe wa Baraza la Usalama dhidi ya ushirikiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni

    Oct 30, 2024 06:35

    Katika kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika karibuni kwa ajili ya kijadili suala la hujuma ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, nchi nyingi zikiwemo Algeria, China, Russia, Iraq na Syria zimelaani vikali kitendo hicho cha uchokozi na kutaka uchokozi huo ukomeshwe mara moja.

  • Iran: Tuna haki halali ya kujilinda na kujihami

    Iran: Tuna haki halali ya kujilinda na kujihami

    Oct 30, 2024 00:00

    Msemaji wa serikali ya Iran, Fatemeh Mohajerani amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kujilinda na kusisitiza kuwa, nchi hii itatekeleza haki hiyo "halali" kwa "wakati na mahali mwafaka."

  • Araghchi: Baraza la Usalama linapasa kuiwekea vikwazo Israel

    Araghchi: Baraza la Usalama linapasa kuiwekea vikwazo Israel

    Oct 30, 2024 00:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lina jukumu la kuuwekea vikwazo utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na tabia ya utawala huo kuendelea kushupalia vita na umwagaji damu huko Gaza na Lebanon.

  • Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa Israel dhidi yake

    Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa Israel dhidi yake

    Oct 28, 2024 03:25

    Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipendi vita lakini iko imara katika kujihami na kulinda usalama wa wananchi wake na itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa utawala wa Kizayuni dhidi yake.

  • Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama kuhusu shambulio la kigaidi kusini mashariki mwa nchi

    Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama kuhusu shambulio la kigaidi kusini mashariki mwa nchi

    Oct 27, 2024 23:28

    Balozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja huo na kulitaka litoe azimio la kulaani shambulio la kigaidi la genge linalojiita "Jeysh al Adl" katika mkoa wa Sistan na Baluchistan wa kusini mashariki mwa Iran.

  • Rais Pezeshkian: Wairani watajibu chokochoko za maadui dhidi ya nchi yao

    Rais Pezeshkian: Wairani watajibu chokochoko za maadui dhidi ya nchi yao

    Oct 26, 2024 23:40

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametoa rambirambi zake kufuatia kuuawa shahidi maafisa usalama wa nchi hii katika mashambulizi ya kichokozi ya jana Jumamosi ya utawala wa Kizayuni na kundi la kigaidi linaloungwa mkono na maajinabi.

  • Tehran: Tuna haki halali ya kujihami mkabala wa uvamizi wa Wazayuni

    Tehran: Tuna haki halali ya kujihami mkabala wa uvamizi wa Wazayuni

    Oct 26, 2024 07:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni ya kushambulia baadhi ya vituo vya kijeshi hapa nchini, na kuitaja kuwa ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.

  • Iran yasema iko tayari kujibu uchokozi na uvamizi wa Israel

    Iran yasema iko tayari kujibu uchokozi na uvamizi wa Israel

    Oct 26, 2024 06:32

    Duru za kuaminiki zimeliambia shirika la habari la Tasnim kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ipo tayari na imejiandaa kujibu chokochoko za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS