Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Indonesia yaeleza hamu yake ya kuwa mwanachama wa Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

    Indonesia yaeleza hamu yake ya kuwa mwanachama wa Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu

    Oct 25, 2024 23:33

    Mkurugenzi Mkuu wa Miongozo ya Jamii ya Kiislamu wa Wizara ya Dini ya Indonesia ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kujiunga na Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja

    Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja

    Oct 24, 2024 23:11

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jumuiya ya BRICS ikiwa na malengo yake makubwa imeweza kuwa kielelezo cha mafanikio cha ushirikiano kati ya nchi katika uga wa kimataifa.

  • Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao ya Shirika la Anga la Uturuki

    Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao ya Shirika la Anga la Uturuki

    Oct 24, 2024 03:58

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao makuu ya Shirika la Anga la Uturuki (TOSASH) mjini Ankara.

  • Iran na Misri zataka Israel ilazimishwe kukomesha jinai zake Gaza, Lebanon

    Iran na Misri zataka Israel ilazimishwe kukomesha jinai zake Gaza, Lebanon

    Oct 24, 2024 02:48

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian na mwenzake wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi wamesisitiza kuwa uchokozi wa Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon ni lazima usitishwe, na kutoa wito wa kuwepo juhudi za kuzuia kuenea kwa mzozo katika maeneo mengine ya eneo la Asia Magharibi.

  • Pezeshkian: Uhusiano wa Iran na Russia ni wa kimkakati, wenye manufaa makubwa

    Pezeshkian: Uhusiano wa Iran na Russia ni wa kimkakati, wenye manufaa makubwa

    Oct 23, 2024 23:13

    Rais Masoud Pezeshkian amesema uhusiano wa Iran na Russia ni "wa kimkakati na wenye manufaa makubwa."

  • IRIB yashinda tuzo maalumu ya Uhandisi wa Utangazaji ya ABU 2024

    IRIB yashinda tuzo maalumu ya Uhandisi wa Utangazaji ya ABU 2024

    Oct 23, 2024 22:48

    Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran IRIB limeshinda tuzo maalumu ya "Uhandisi wa Utangazaji" ya Umoja wa Redio na Televisheni za nchi za Asia na Pasifiki (ABU) ya mwaka 2024.

  • Iran, Ethiopia zajadili BRICS, uhusiano wao na masuala ya kieneo

    Iran, Ethiopia zajadili BRICS, uhusiano wao na masuala ya kieneo

    Oct 23, 2024 06:54

    Katika mkutano muhimu wa kidiplomasia, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekutana na Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia, ambapo wamejadili masuala muhimu ya pande mbili na kikanda.

  • Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilaani chokochoko za US

    Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilaani chokochoko za US

    Oct 22, 2024 03:46

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Rais Joe Biden wa Marekani kuhusiana na njama ovu ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Tehran na kusisitiza kuwa, matamshi hayo "yanatia wasiwasi sana na ni ya kichochezi."

  • IRGC: Vikosi vya Ulinzi vya Iran viko tayari kujibu tishio lolote dhidi ya Iran

    IRGC: Vikosi vya Ulinzi vya Iran viko tayari kujibu tishio lolote dhidi ya Iran

    Oct 21, 2024 08:09

    Naibu Kamanda wa Uratibu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesisitiza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hii vimejiandaa kikamilifu kujibu tishio lolote dhidi ya nchi hii kufuatia kupamba moto mivutano katika eneo.

  • Rais wa Iran akosoa unafiki na undumakuwili wa Wamagharibi

    Rais wa Iran akosoa unafiki na undumakuwili wa Wamagharibi

    Oct 20, 2024 23:25

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekosoa vikali undumakuwili wa utawala haramu wa Israel na Marekani akisisitiza kuwa, Wamagharibi wakiongozwa na Tel Aviv na Washington wanaongoza kwa unafiki licha ya madai yao ya kupigania demokrasia, haki za binadamu na uhuru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS