Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani kuuliwa kigaidi na Israel mwanamama Muirani huko Beirut

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani kuuliwa kigaidi na Israel mwanamama Muirani huko Beirut

    Oct 20, 2024 23:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali kitendo cha Israel cha kumuuwa kikatili mwanamke wa Kiirani na mumewe raia wa Lebanon huko Beirut.

  • Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu chokochoko tarajiwa ya Israel

    Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu chokochoko tarajiwa ya Israel

    Oct 20, 2024 22:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya shambulio lolote tarajiwa la Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Reuters: BRICS kujadili mpango mpya wa kimataifa wa mabadilishano ya fedha

    Reuters: BRICS kujadili mpango mpya wa kimataifa wa mabadilishano ya fedha

    Oct 20, 2024 03:11

    Russia itawasilisha pendekezo lake la mfumo mpya wa fedha wa kimataifa kwa mataifa mengine wanachama wa jumuiya ya kiuchumi ya BRICS katika mkutano wa kilele wa kundi hilo utakaofanyika wiki ijayo nchini humo.

  • UN: Uhuru wa maoni na kujieleza umekandamizwa vikali katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza

    UN: Uhuru wa maoni na kujieleza umekandamizwa vikali katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza

    Oct 19, 2024 23:14

    Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa kuchunguza haki ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza amesema, uhuru wa maoni na kujieleza umehatarishwa vibaya zaidi huko Ghaza kuliko ilivyotokea katika mzozo wowote ule wa hivi karibuni, huku waandishi wa habari wakilengwa katika eneo hilo lenye vita na waungaji mkono wa Palestina wakikandamizwa katika nchi nyingi duniani.

  • Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya nchi za Bahari ya Hindi yaanza Iran

    Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya nchi za Bahari ya Hindi yaanza Iran

    Oct 19, 2024 08:13

    Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya  Majeshi ya Majini ya nchi za Kandokando ya Bahari ya Hindi (IONS) ), "IMEX 2024," yameanza katika eneo la maji ya Iran katika Ghuba ya Uajemi kwa kuvishirikisha vitengo mbalimbali kutoka nchi kadhaa wanachama na waangalizi.

  • "Kuuawa viongozi wa Muqawama hakutadhoofisha mapambano dhidi ya Wazayuni"

    Oct 19, 2024 03:50

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema mauaji ya kigaidi ya viongozi na makamanda wa kambi ya Muqawama hayatadhoofisha mapambano ya taifa hili la Kiislamu dhidi ya dhulma na uvamizi.

  • Iran: US itabeba dhima ya shambulio lolote la Israel dhidi yetu

    Iran: US itabeba dhima ya shambulio lolote la Israel dhidi yetu

    Oct 19, 2024 03:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya shambulio lolote tarajiwa la Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran

    Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran

    Oct 18, 2024 23:34

    Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran amekosoa uingiliaji kati wa Umoja wa Ulaya (EU) kwa malengo yasiyofaa na kuunga mkono madai ya Imarati kuhusu visiwa vitatu vya Iran, na amewatahadharisha viongozi wa Imarati kwamba waache uadui wao na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran na Misri zajadili masuala ya kikanda na kimataifa

    Iran na Misri zajadili masuala ya kikanda na kimataifa

    Oct 17, 2024 23:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Misri Abdel Fattah el-Sisi; ambapo wamejadili masuala muhimu ya kikanda na uhusiano wa pande mbili.

  • Onyo la Russia kwa Israel: Msithubutu kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran

    Onyo la Russia kwa Israel: Msithubutu kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran

    Oct 17, 2024 23:22

    Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel na kuutaka usijaribu hata kufikiria kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS