-
Salami: Mhimili wa Muqawama upo katika 'kilele cha nguvu zake"
Jan 06, 2025 10:11Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesema kuwa Mhimili wa Muqawama katika eneo la Magharibi mwa Asia upo katika kilele cha nguvu zake.
-
Iran yalaani kuendelea mashambulizi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen
Jan 05, 2025 07:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi mapya ya anga ya Marekani na Uingereza kwenye miundombinu ya mkoa wa Sa'ada wa kaskazini mwa Yemen.
-
Askofu Mkuu wa Ghana: Taswira ya Iran inaheshimiwa miongoni mwa Wakristo
Jan 05, 2025 04:23John Bonaventure Kwofie, Askofu Mkuu wa Ghana na Kiongozi wa Wakatoliki wa nchi hiyo ameeleza kuwa taswira ya Iran inaheshimiika na kuaminika miongoni mwa waumini wa Kikristo.
-
Rais wa Iran kufanya safari nchini Tajikistan
Jan 05, 2025 00:07Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi karibuni anatarajiwa kufanya safari ya kikazi nchini Tajikistan.
-
Araqchi: Tupo tayari kwa mazungumzo yenye tija kuhusu mpango wetu wa nyuklia
Jan 04, 2025 04:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Tehran iko tayari kufanya mazungumzo yenye tija na bila ya kuchelewa kuhusu mpango wake wa nyuklia.
-
Balozi wa Saudia aitwa Wizara ya Mambo ya Nje baada ya Riyadh kuwanyonga raia 6 wa Iran
Jan 02, 2025 04:17Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kibalozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Balozi wa Saudi Arabia mjini Tehran ameitwa wizarani hapo na kukabidhiwa malalamiko ya kimmandishi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa hatua ya Saudia ya kuwanyonga raia sita wa Iran waliokuwa wamefungwa jela nchini humo, hatua ambayo imeelezwa kuwa inapingana na mwenendo wa mashirikiano ya vyombo vya mahakama yaliyopo baina ya nchi mbili.
-
Gharib Abadi: Iran ni mhanga na iko mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ugaidi
Jan 01, 2025 09:10Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisheria na kimataifa amesema kuwa ugaidi ni tatizo linalotishia amani na utulivu wa jamii na kwamba Iran ni mhanga wa uovu huu, na daima iko mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Pezeshkian: Hatua za kivitendo za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuimarisha amani na usalama katika eneo
Dec 30, 2024 09:11Rais Masoud Pezeshkian ameeleza kuwa mtazamo na hatua za kivitendo za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni za kueneza amani na kudumisha usalama katika ukanda huu na baina ya nchi zote za Kiislamu; na ametaka kuwepo ushirikiano mkubwa zaidi kati ya Iran na Oman katika uwanja huo.
-
Araghchi asisitiza kuundwa serikali jumuishi nchini Syria
Dec 30, 2024 09:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitizia wajibu wa kuundwa serikali jumuishi nchini Syria. Sayyid Abbas Araqchi ameeleza haya leo katika kikao na waandishi wa habari hapa Tehran akiwa na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman, Sayyid Badr Albusaidi.
-
Mcheza chess wa Iran akataa kushindana na mpinzani wa Israel akiwaunga mkono Wapalestina
Dec 30, 2024 00:15Katika kuwaunga mkono watu wa Palestina, mchezaji wa chess wa Iran amekataa kushindana na mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya World Rapid Chess Championship 2024 huko New York.