Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Pezeshkian wa Iran kuitembelea Iraq katika ziara ya kwanza nje ya nchi

    Rais Pezeshkian wa Iran kuitembelea Iraq katika ziara ya kwanza nje ya nchi

    Sep 08, 2024 08:05

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian anatazamiwa kuitembelea Iraq siku ya Jumatano katika safari yake ya kwanza ya nje tangu aingie madarakani.

  • Araghchi asisitiza kuimarishwa uhusiano wa Iran na Serbia

    Araghchi asisitiza kuimarishwa uhusiano wa Iran na Serbia

    Sep 07, 2024 03:49

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesitiza umuhimu wa kutumia rasilimali zote zilizopo ili kuimarisha uhusiano kati ya Iran na Serbia, hasa katika sekta ya uchumi.

  • Maghala ya nyuklia ya Israel tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia

    Maghala ya nyuklia ya Israel tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia

    Sep 06, 2024 23:00

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kubwa kwa amani na usalama wa kikanda na wa ulimwengu mzima.

  • Sera ya kuunga mkono Palestina, kipaumbele cha serikali ya 14

    Sera ya kuunga mkono Palestina, kipaumbele cha serikali ya 14

    Sep 06, 2024 09:13

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuunga mkono muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel ni moja ya vipaumbele vya serikali ya 14 na sehemu muhimu ya nguzo za siasa za nje za Iran.

  • Naibu Kamanda wa IRGC: Jibu la Iran kwa mauaji ya Haniyeh litakuwa 'tofauti, la kushangaza' na la wakati muafaka'

    Naibu Kamanda wa IRGC: Jibu la Iran kwa mauaji ya Haniyeh litakuwa 'tofauti, la kushangaza' na la wakati muafaka'

    Sep 04, 2024 23:03

    Naibu Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ameonya kuwa jibu la Tehran kwa mauaji ya Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Hamas aliyeuawa kigaidi mjini Tehran, litakuwa tofauti na la kushangaza.

  • Wairan waghariki katika kumbukizi ya kuuawa shahidi Imam Ridha AS

    Wairan waghariki katika kumbukizi ya kuuawa shahidi Imam Ridha AS

    Sep 04, 2024 03:32

    Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tokea jana usiku wamezama katika maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Ali Ridha (AS), mjukuu wa Mtume Mtukufu (SAW) miaka 1242 iliyopita.

  • Iran yawaita mabalozi wa UK, Australia mjini Tehran

    Iran yawaita mabalozi wa UK, Australia mjini Tehran

    Sep 04, 2024 03:30

    Balozi wa Uingereza mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na kukabidhiwa malalamiko ya Jamhuri ya Kiislamu, baada ya serikali ya London kuwawekea vikwazo shakhsia watatu Wairan na taasisi moja ya Iran.

  • Pezeshkian: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Pezeshkian: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Sep 03, 2024 23:34

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa, serikali yake iko tayari kutoa uungaji mkono usiotetereka kwa ajili ya mapambano ya mataifa yote yanayodhulumiwa duniani kote, hususan Muqawama wa Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Richard Nephew, mbunifu wa vikwazo dhidi ya Iran akiri kutokuwa na athari wenzo wa vikwazo

    Richard Nephew, mbunifu wa vikwazo dhidi ya Iran akiri kutokuwa na athari wenzo wa vikwazo

    Sep 03, 2024 08:19

    Richard Nephew, mbunifu wa vikwazo dhidi ya Iran katika Wizara ya Mambo ya Nje na ya Fedha ya Marekani amekiri kutokuwa na taathira na kushindwa kwa mifumo ya vikwazo dhidi ya nchi nyingine.

  • Iran yahimiza kuchukuliwa hatua za ‘haraka na madhubuti’ za kukomesha jinai za Israel Ghaza

    Iran yahimiza kuchukuliwa hatua za ‘haraka na madhubuti’ za kukomesha jinai za Israel Ghaza

    Sep 03, 2024 03:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi anasema kuwa, jamii ya kimataifa lazima ichukue hatua za "haraka na madhubuti" za kukomesha jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS