Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel

    Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel

    Nov 16, 2024 09:03

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za lazima ili kukomesha jinai za utawala ghasibu wa Israel.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza na Lebanon ni vita vya ukafiri dhidi ya kambi ya haki

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza na Lebanon ni vita vya ukafiri dhidi ya kambi ya haki

    Nov 15, 2024 10:11

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amevitaja vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Gaza na Lebanon kuwa ni vita kati ya haki na batili.

  • Iran na Angola zalaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Iran na Angola zalaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 15, 2024 04:18

    Balozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Angola na rais wa nchi hiyo wamelaani vitendo vya jinai vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Araghchi: Iran haitafanya mazungumzo chini ya mashinikizo

    Araghchi: Iran haitafanya mazungumzo chini ya mashinikizo

    Nov 15, 2024 00:27

    Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Tehran iko tayari kuketi katika meza ya mazungumzo ya nyuklia na Troika ya Umoja wa Ulaya kulingana na maslahi na haki za Iran na si chini ya mashinikizo na vitisho.

  • Msisitizo wa kupanuliwa ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya Iran na Sudan

    Msisitizo wa kupanuliwa ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya Iran na Sudan

    Nov 15, 2024 00:25

    Imesisitizwa katika kikao cha balozi wa Sudan nchini Iran na Mkuu wa kitengo cha matangazo ya nje cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) nia ya dhati ya nchi hizo mbili ya kuendeleza ushirikiano wa vyombo vya habari.

  • Magaidi 11 wenye mfungamano na Israel waangamizwa na kutiwa nguvuni mashariki ya Iran

    Magaidi 11 wenye mfungamano na Israel waangamizwa na kutiwa nguvuni mashariki ya Iran

    Nov 13, 2024 08:35

    Msemaji wa mazoezi ya kijeshi ya "Mashahidi wa Usalama" katika Kamandi ya Quds ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametangaza magaidi saba wameangamizwa na wengine saba wametiwa mbaroni kwa kuhusika na hujuma za kigaidi mkoani Sistan na Baluchistan, kusini mashariki mwa Iran.

  • Iran, Russia na Uturuki zalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    Iran, Russia na Uturuki zalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    Nov 12, 2024 22:50

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki zimetoa taarifa ya pamoja zikilaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na mashambulizi ya utawala huo ghasibu dhidi ya Lebanon na Syria.

  • Wakuu wa majeshi ya Iran na Saudi Arabia wajadili diplomasia ya ulinzi mjini Tehran

    Wakuu wa majeshi ya Iran na Saudi Arabia wajadili diplomasia ya ulinzi mjini Tehran

    Nov 11, 2024 04:26

    Viongozi wa ngazi ya juu wa majeshi ya Iran na Saudi Arabia wamejadili njia za kuboresha diplomasia ya ulinzi kati ya nchi mbili huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendelea kuzidisha mivutano na wasiwasi katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina lengo la kumiliki silaha za nyuklia

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina lengo la kumiliki silaha za nyuklia

    Nov 10, 2024 23:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza suala la kujenga hali ya kuaminiana kimataifa na kusema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kutaka kumiliki silaha za nyuklia na haina lengo hilo.

  • Ghalibaf : Kuuawa shahidi Sayyid Nasrullah kumeonyesha ubatili wa kufanya mapatano na Israel

    Ghalibaf : Kuuawa shahidi Sayyid Nasrullah kumeonyesha ubatili wa kufanya mapatano na Israel

    Nov 09, 2024 08:55

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Ghalibaf amesema kuuawa shahidi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah kulifichua namna utawala wa Kizayuni usivyoheshimu mapatano ya aina yoyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS