Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Marekani

  • Iran: Tumeieleza wazi Marekani, hatuwezi kufumbia macho mistari yetu myekundu

    Iran: Tumeieleza wazi Marekani, hatuwezi kufumbia macho mistari yetu myekundu

    Mar 24, 2022 02:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran imeieleza wazi Marekani kuwa kamwe haiwezi kuvuka mistari yake myakundu.

  • Amir-Abdollahian: Iran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani

    Amir-Abdollahian: Iran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani

    Jan 28, 2022 23:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani.

  • Meja Salami: Marekani imedhoofika

    Meja Salami: Marekani imedhoofika

    Nov 23, 2021 23:33

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: "Nguvu za Marekani zimedhoofika."

  • Wasiwasi wa taathira mbaya za vikwazo vya Marekani kwa afya ya wagonjwa wa Iran

    Wasiwasi wa taathira mbaya za vikwazo vya Marekani kwa afya ya wagonjwa wa Iran

    Oct 21, 2021 06:26

    Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran si tu kwamba vimeathiri uchumi wa nchi bali pia vimeathiri vibaya mfumo wa usambazaji dawa na vifaa vya tiba na afya nchini na hasa katika kipindi hiki kigumu cha kuenea duniani virusi hatari vya corona.

  • Khatibzadeh: Viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia iliyofeli ya serikali iliyopita

    Khatibzadeh: Viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia iliyofeli ya serikali iliyopita

    Sep 04, 2021 03:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia ileile iliyofeli na kugonga mwamba ya serikali iliyopita ya nchi hiyo.

  • Robert Malley: Mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran yameshindwa vibaya

    Robert Malley: Mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran yameshindwa vibaya

    Jul 26, 2021 03:32

    Mjumbe Maalumu wa Marekani katika Masuala ya Iran amekiri kuwa vikwazo vya kidhulma na mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya nchi hiyo dhidi ya Iran yamefeli vibaya na amekariri madai ya kila siku ya serikali ya Joe Biden kuwa eti Washington iko tayari kurejea katika mapatano ya JCPOA iwapo Iran itatekeleza majukumu yake.

  • Khatibzadeh: Iran iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa

    Khatibzadeh: Iran iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa

    Jul 18, 2021 03:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai ya viongozi wa Marekani akisisitiza kuwa: Iran leo iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa.

  • Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu yakosoa undumakuwili wa Marekani

    Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu yakosoa undumakuwili wa Marekani

    Jun 24, 2021 23:00

    Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu imelaani hatua ya Wizara ya Sheria ya Marekani ya kufunga tovuti za baadhi ya taasisii za habari wanachama wa jumuiya hiyo.

  • Redio ya China: Marekani ndiyo inayofanya chokochoko dhidi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi

    Redio ya China: Marekani ndiyo inayofanya chokochoko dhidi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi

    May 01, 2021 21:53

    Redio ya serikali na kimataifa ya China imeashiria harakati za jeshi la Marekani katika Ghuba ya Uajemi na kueleza kwamba, kinyume na madai ya Washington, Marekani ndiyo inayoendelea kufanya chokochoko hivi sasa dhidi ya Iran.

  • Rais Rouhani: Iran imesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Rais Rouhani: Iran imesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Apr 19, 2021 20:32

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa la Iran limesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS