Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Kuvunjiwa heshima Qurani; Wairaq waushambulia ubalozi wa Sweden

    Kuvunjiwa heshima Qurani; Wairaq waushambulia ubalozi wa Sweden

    Jul 20, 2023 07:33

    Wananchi wa Iraq waliokuwa na ghadhabu wameuvamia ubalozi wa Sweden mjini Baghdad na kuchoma moto sehemu moja ya ofisi za ubalozi huo, kulalamikia kibali cha pili kilichotolewa na serikali ya Stockholm cha kuruhusu kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Wairaqi walaani njama za Marekani za kutaka kuwaua viongozi wa muqawama

    Wairaqi walaani njama za Marekani za kutaka kuwaua viongozi wa muqawama

    Jul 15, 2023 06:48

    Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano katika mji mkuu Baghdad, kupinga na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo, na vile vile njama za Washington za kutaka kuwaua kigaidi viongozi wa kambi ya muqawama nchini humo.

  • Viongozi 6 hatari wa Daesh watiwa nguvuni Iraq

    Viongozi 6 hatari wa Daesh watiwa nguvuni Iraq

    Jul 04, 2023 04:22

    Idara ya Intelijinsia ya Iraq imetangaza kuwatia mbaroni watu sita wanaotajwa kuwa magaidi hatari sana wa kundi la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Nineveh nchini humo.

  • Ayatullah Sistani ataka Umoja wa Mataifa uzuie kukaririwa vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani

    Ayatullah Sistani ataka Umoja wa Mataifa uzuie kukaririwa vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani

    Jun 30, 2023 07:41

    Ayatullah Sayyid Ali Sistani, Marjaa wa Waislamu wa Kishia ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kuzuia kukaririwa vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu cha Waislamu cha Qur'ani Tukufu.

  • Al Hashdu Shaabi ya Iraq yawatia mbaroni viongozi 3 wa Daesh

    Al Hashdu Shaabi ya Iraq yawatia mbaroni viongozi 3 wa Daesh

    Jun 24, 2023 11:18

    Harakati ya wapiganaji wa kujitolea ya wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashdu al Shaabi (PMU) imetangaza kuwatia mbaroni viongozi watatu wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Kirkuk nchini humo.

  • Mwaka wa tisa wa kuasisiwa Hashd al Shaabi, sisitizo la viongozi wa Iraq la kuimarishwa harakati hiyo ya ukombozi

    Mwaka wa tisa wa kuasisiwa Hashd al Shaabi, sisitizo la viongozi wa Iraq la kuimarishwa harakati hiyo ya ukombozi

    Jun 17, 2023 08:16

    Rais Abdul Latif Rashid wa Iraq pamoja na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mohammed Shayya’ Sabbar al-Sudani wametuma ujumbe mbalimbali kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa tisa wa kuasisiwa harakati ya ukombozi ya wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la Hashd al Shaabi na wametilia mkazo wajibu wa kuimarishwa zaidi harakati hiyo.

  • Iraq yavunja mtandao wa mabaki ya ISIS mkoani Al-Anbar

    Iraq yavunja mtandao wa mabaki ya ISIS mkoani Al-Anbar

    Jun 06, 2023 05:32

    Vyombo vya usalama nchini Iraq vimefanikiwa kusambaratisha mtandao wa mabaki ya wanachama wa kundi la kigaidi la ISIS katika mkoa wa Al-Anbar, wa magharibi mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Iraq: Jordan imegeuzwa maficho ya Waba'athi zaidi ya elfu tano waliotoroka nchi

    Iraq: Jordan imegeuzwa maficho ya Waba'athi zaidi ya elfu tano waliotoroka nchi

    May 29, 2023 01:32

    Kiongozi mmoja wa Muungano wa al-Fat'h ya Iraq amesema, Jordan sasa hivi imegeuzwa maficho ya Maba'athi zaidi ya elfu tano waliotoroka nchi.

  • "Waliomzatiti kwa silaha Saddam wanatiwa kiwewe na uwezo wa kiulinzi wa Iran"

    May 27, 2023 01:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu kile kilichotajwa kuwa 'wasiwasi' wa nchi za Magharibi juu ya ustawi na mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu katika uga wa ulinzi na kusisitiza kuwa, madola hayo yanayotiwa kiwewe na uwezo mkubwa wa kiulinzi wa Iran ndiyo yaliyomshajiisha na kumzatiti kwa silaha dikteta wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein ili awashambulie Wairani.

  • Nujabaa ya Iraq: Tutapambana mpaka tuhakikishe hata askari mmoja wa Marekani habakii Iraq

    Nujabaa ya Iraq: Tutapambana mpaka tuhakikishe hata askari mmoja wa Marekani habakii Iraq

    May 02, 2023 02:14

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Nujabaa amesisitiza kuwa vita dhidi ya wavamizi wa Kimarekani vitaendelea hadi itakapohakikishwa hakuna hata mwanajeshi mmoja wa Marekani aliyesalia katika ardhi ya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS