-
Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin
Jul 03, 2018 23:21Ndege za kijeshi za Iraq zimefanya mashambulizi ya anga na kufanikiwa kuangamiza wanachama wasiopungua 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, katika mkoa wa Salahuddin.
-
Muqtada Sadr na al-Abadi watangaza muungano wa vyama vyao vya siasa Iraq
Jun 24, 2018 02:50Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al-Abadi na mwanachuoni Moqtada al-Sadr wametangaza juu ya kuunda muungano unaovileta pamoja vyama vyao vya kisiasa.
-
Jeshi la Iraq laangamiza magaidi 45 wa Daesh Syria
Jun 24, 2018 02:37Shambulizi la anga lililotekelezwa na jeshi la Iraq limeangamiza wananchama 45 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.
-
Polisi wa Iraq wagundua mahandaki mawili ya magaidi wa Daesh (ISIS)
Jun 20, 2018 11:49Polisi wa Federali ya Iraq imetangaza leo kuwa, imefanikiwa kugundua mahandaki mawili ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Khuwaja na kutegua zaidi ya mabomu 10 yaliyokuwa yametegwa kwenye mahandaki hayo.
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Waliochoma moto masanduku ya kura wamelenga moja kwa moja usalama na demokrasia yetu
Jun 11, 2018 09:36Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, moto uliotokea katika kituo kimoja kikuu cha kuhifadhia masanduku ya kura mjini Baghdad, ni njama zenye lengo la kutoa pigo kwa usalama na demokrasia ya nchi hiyo.
-
Kituo cha kuhifadhia masanduku ya kura za uchaguzi wa bunge la Iraq chateketea kwa moto
Jun 10, 2018 22:12Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kuwa kituo cha kuhifadhia masanduku ya kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni nchini humo kimeteketezwa na moto.
-
Harakati ya Nujabaa: Daesh ni mradi wa Marekani kwa ajili ya kufikia malengo yake
Jun 10, 2018 12:18Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Nujaba ya nchini Iraq amesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ni njia nzuri ya Marekani kwa ajili ya kufikia malengo yake ya kikoloni na kiuchumi kupitia kisingizio cha kupambana na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Iraq yamtimua mwanadiplomasia wa Saudia
Jun 07, 2018 03:26Serikali ya Iraq imemtimua mwanadiplomasia mmoja wa Saudia kwa tuhuma za kuingilia uchaguzi wa bunge uliopita nchini humo.
-
Kufichuliwa njama ya Marekani ya kuingiza tena magaidi nchini Iraq
Jun 07, 2018 02:21Matukio ya mwaka mmoja uliopita nchini Iraq ambapo magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh wamesambaratishwa na kutumiliwa kikamilifu kutoka maeneo yote waliyokuwa wameyateka kufuatia jitihada za jeshi na makundi ya kujitolea ya wananchi, yameiandaa Iraq kuingia duru mpya ya baada ya Daesh na kuandaa mazingira ya uchaguzi wa bunge uliofanyika mwezi uliopita.
-
Bunge la Iraq lataka zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi lirudiwe tena
Jun 06, 2018 22:47Bunge la Iraq limeamua katika kikao cha dharura kilichofanyika hapo jana kuwa kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni zihesabiwe tena kwa mkono.