Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Muqtada Sadr aitisha maandamano nje ya ubalozi wa Bahrain, Baghdad

    Muqtada Sadr aitisha maandamano nje ya ubalozi wa Bahrain, Baghdad

    May 24, 2017 03:23

    Sayyid Muqtada Sadr, Kiongozi wa Harakati ya Sadr ya Iraq amewataka wananchi wa taifa hilo la Kiarabu wakusanyike nje ya ubalozi wa Bahrain mjini Baghdad, kulalamikia ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na viongozi wao nchini humo.

  • Onyo la Waziri Mkuu wa Iraq juu ya njama za kimataifa dhidi ya taifa hilo

    Onyo la Waziri Mkuu wa Iraq juu ya njama za kimataifa dhidi ya taifa hilo

    May 20, 2017 23:25

    Akizungumza mbele ya waandishi wa habari mjini Baghdad hapo siku ya Ijumaa Haider al-Abad, Waziri Mkuu wa lraq alikosoa vikali hatua ya kufanyika mwezi mmoja uliopita vikao vya eti kujadili mustakbali wa lraq huko mjini Geneva Uswisi kwa ubunifu wa Marekani na vilevile mjini lstanbul kwa ubunifu wa Uturuki.

  • Vita laini nchini Iraq baada ya kukombolewa mji wa Mosul kutoka kwa magaidi wa ISIS

    Vita laini nchini Iraq baada ya kukombolewa mji wa Mosul kutoka kwa magaidi wa ISIS

    May 18, 2017 02:40

    Sayyid Ammar al-Hakim, Mkuu wa Muungano wa Kitaifa nchini Iraq, amesema kuwa, baada ya kukombolewa mji wa Mosul, sasa maadui wanakusudia kuanzisha vita laini vyenye lengo la kuibua tofauti baina ya taifa la Iraq.

  • 90% ya mji wa Mosul wakombolewa, Magaidi 170 wauawa Iraq

    90% ya mji wa Mosul wakombolewa, Magaidi 170 wauawa Iraq

    May 16, 2017 09:56

    Kamanda wa Operesheni ya Jeshi la Iraq ametangaza habari ya kukombolewa asilimia 90 ya maeneo ya magharibi mwa mji wa Mosul yaliyokuwa yakishikiliwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Magaidi zaidi ya 140 wa Daesh waangamizwa Mosul, Iraq

    Magaidi zaidi ya 140 wa Daesh waangamizwa Mosul, Iraq

    May 15, 2017 01:10

    Kamanda wa Polisi Kuu ya Iraq ametangaza kuwa zaidi ya magaid 140 wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wameangamizwa katika eneo la Al-Haramat magharibi mwa mji wa Mosul.

  • Independent : Daesh (ISIS) linawatesa kwa njaa watoto wa Kiiraqi ili kuwashajiisha wajiripue

    Independent : Daesh (ISIS) linawatesa kwa njaa watoto wa Kiiraqi ili kuwashajiisha wajiripue

    May 12, 2017 11:44

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linawatesa kwa njaa watoto wadogo wa Iraq kwa ajili ya kuwalazimisha watekeleze vitendo vya kigaidi vya kujiripua katika maeneo ya raia wa kawaida.

  • Human Rights Watch: Marekani ni mshirika wa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    Human Rights Watch: Marekani ni mshirika wa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    May 06, 2017 08:52

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai za Saudi Arabia dhidi ya raia wa Yemen.

  • Gange la Daesh laua raia 10 nchini Iraq kwa kosa la kukataa kushirikiana nalo

    Gange la Daesh laua raia 10 nchini Iraq kwa kosa la kukataa kushirikiana nalo

    May 02, 2017 03:19

    Wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh, wamewaua raia 10 katika mkoa wa Nainawa (Nineveh) nchini Iraq.

  • Marekani: Mashambulizi yetu yameua mamia ya raia Iraq na Syria

    Marekani: Mashambulizi yetu yameua mamia ya raia Iraq na Syria

    May 01, 2017 03:02

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imetoa taarifa na kukiri kwamba mashambulizi ya muungano unaodaiwa kupambana na magaidi wa Daesh hadi sasa yameshaua raia 352 katika nchi za Iraq na Syria tangu mwaka 2014.

  • Matukio ya hivi karibuni Mosul na udharura wa kuwa macho Wairaki

    Matukio ya hivi karibuni Mosul na udharura wa kuwa macho Wairaki

    Apr 30, 2017 07:32

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa, siku ya kukombolewa kikamilifu mji wa Mosul kutoka mikononi mwa magaidi wa Daesh (ISIS) imekaribia na wakati huo huo kutahadharisha juu ya changamoto za baada ya kukombolewa mji huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS