Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Wanaakademia wataka Vyuo Vikuu duniani visimame dhidi ya Israel

    Wanaakademia wataka Vyuo Vikuu duniani visimame dhidi ya Israel

    Mar 23, 2022 07:17

    Makumi ya wasomi na wanaakademia wa Uingereza wametoa mwito kwa Vyuo Vikuu na taasisi zote za elimu ya juu kote duniani kusimama kidete mkabala wa kitendo cha utawala ghasibu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Waziri Mkuu wa Israel aitembelea Misri, akutana na Rais Sisi

    Waziri Mkuu wa Israel aitembelea Misri, akutana na Rais Sisi

    Mar 22, 2022 22:12

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameripotiwa kuitembelea Misri katika ziara ya siri na kificho, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na ngazi za juu wa nchi hiyo, akiwemo Rais Abdel Fattah al-Sisi.

  • Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard yalaani uvamizi na uhalifu wa ubaguzi wa rangi wa Israel huko Palestina

    Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard yalaani uvamizi na uhalifu wa ubaguzi wa rangi wa Israel huko Palestina

    Mar 22, 2022 08:23

    Ripoti ya Kituo cha Haki za Binadamu cha Harvard imeibua hasira miongoni mwa maafisa wa utawala haramu wa Israel na duru zinazoiunga mkono Tel Aviv, baada kulaani uvamizi wa utawala huo huko Palestina ikiutaja kuwa ni "uhalifu wa ubaguzi wa rangi, apartheid."

  • Wapalestina wamkumbuka Rachel Corrie, nembo ya mapambano dhidi ya Israel

    Wapalestina wamkumbuka Rachel Corrie, nembo ya mapambano dhidi ya Israel

    Mar 17, 2022 05:25

    Wapalestina wanaadhimisha kumbukumbu ya mauaji ya mwanaharakati na mwanamapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel, Rachel Corrie, aliyeuawa na wanajeshi wa utawala huo ghasibu, kwa kufanya matamasha ya aina mbalimbali na matukio ya michezo.

  • Kambi za kijeshi za Marekani na MOSSAD nchini Iraq zashambuliwa kwa makombora + Video

    Kambi za kijeshi za Marekani na MOSSAD nchini Iraq zashambuliwa kwa makombora + Video

    Mar 13, 2022 04:38

    Vyombo vya habari vya Iraq na duru za kijeshi nchini humo zimeripoti kuwa, kambi ya kijeshi ya Marekani katika mji wa Erbil, makao makuu ya eneo la Kurdistan la Iraq imeshambuliwa kwa makombora ya balestiki.

  • Jihadul Islami: Israel ni 'mwanaharamu' wa ukoloni wa Magharibi

    Jihadul Islami: Israel ni 'mwanaharamu' wa ukoloni wa Magharibi

    Mar 12, 2022 22:51

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imeutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kama mwanaharamu wa ubeberu na ukoloni wa nchi za Magharibi.

  • Waturuki wabeba picha za Shahidi Soleimani wakiandamana dhidi ya Israel

    Waturuki wabeba picha za Shahidi Soleimani wakiandamana dhidi ya Israel

    Mar 12, 2022 09:54

    Wananchi wa Uturuki jana Ijumaa, kwa mara nyingine tena walimiminika mabarabarani katika maandamano ya kulaani ziara tata ya rais wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini mwao.

  • Wabahrain waandamana kulaani safari ya mkuu wa majeshi ya Israel

    Wabahrain waandamana kulaani safari ya mkuu wa majeshi ya Israel

    Mar 11, 2022 04:38

    Wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kulaani safari ya Luteni Jenerali Aviv Kochavi, Mkuu wa Majeshi ya Israel nchini humo, sanjari na kulaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaitaka ICC kufuatilia uhalifu wa kivita wa Israel

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaitaka ICC kufuatilia uhalifu wa kivita wa Israel

    Mar 11, 2022 01:11

    Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuendeleza uchunguzi wake kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina.

  • Waturuki wachoma moto bendera za Wazayuni kulaani safari ya Rais wa Israel

    Waturuki wachoma moto bendera za Wazayuni kulaani safari ya Rais wa Israel

    Mar 10, 2022 00:40

    Wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano makubwa ya kupinga na kulaani safari ya Isaac Herzog, rais wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS