Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Corbyn: Uingereza iache kuiuzia silaha Israel, inaua raia Palestina

    Corbyn: Uingereza iache kuiuzia silaha Israel, inaua raia Palestina

    Mar 03, 2019 12:02

    Kiongozi wa chama Leba nchini Uingereza amekosoa vikali mauaji yanayoendelea kufanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na ameitaka serikali ya nchi hiyo kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Kizayuni.

  • Ilhan Omar: Misimamo yangu dhidi ya Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi

    Ilhan Omar: Misimamo yangu dhidi ya Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi

    Mar 02, 2019 12:29

    Mbunge Muislamu katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema, anasikitika kuona misimamo yake dhidi ya utawala wa Israel inatafsiriwa kuwa ni chuki dhidi ya Mayahudi.

  • Middle East Eye: Salah Gosh amefanya mazungumzo ya siri na Israel

    Middle East Eye: Salah Gosh amefanya mazungumzo ya siri na Israel

    Mar 02, 2019 04:36

    Idara ya Ujasusi ya Sudan imekanusha habari iliyotangazwa na Middle East Eye kwamba mkuu wa idara hiyo, Salah Abdallah Gosh amekutana kwa siri na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Israel MOSSAD, Yossi Cohen.

  • Ripoti: Israel imeficha nyaraka laki 3 kuhusu mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina

    Ripoti: Israel imeficha nyaraka laki 3 kuhusu mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina

    Feb 26, 2019 04:29

    Mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayeishi jimboni California nchini Marekani amefichua kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeficha nyaraka laki tatu zinazohusu jinai za kutisha za utawala huo haramu yakiwemo mauaji ya Wapalestina.

  • Kushadidi ukatili wa utawala haramu wa Israel dhidi ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea'

    Kushadidi ukatili wa utawala haramu wa Israel dhidi ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea'

    Feb 25, 2019 04:13

    Jumapili usiku kituo cha haki za binaadamu cha 'Al-Mizan' cha Palestina kilitangaza kwamba tangu yalipoanza maandamano ya 'Haki ya Kurejea' katika Ukanda wa Gaza, hadi sasa jumla ya Wapalestina 267 wameuawa shahidi na askari wa utawala haramu wa Israel.

  • Wazayuni wawatia nguvuni wasimamizi wa Matukufu ya Kiislamu Quds

    Wazayuni wawatia nguvuni wasimamizi wa Matukufu ya Kiislamu Quds

    Feb 24, 2019 10:49

    Polisi ya utawala haramu wa Israel imewakamata wasimamizi wa ngazi za juu wa Matukufu ya Kiislamu katika mji mtukufu wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Israel 'yavuna' kwa kuwapa mafunzo ya kijeshi mamluki katika kambi za Imarati

    Israel 'yavuna' kwa kuwapa mafunzo ya kijeshi mamluki katika kambi za Imarati

    Feb 17, 2019 01:06

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa, utawala haramu wa Israel ni mshirika mkubwa katika vita vya Saudi Arabia na waitifaki wake dhidi ya taifa la Yemen, na kwamba Tel Aviv inapata faida kubwa kwa kuwapa mafunzo ya kijeshi mamluki wa kigeni katika kambi za Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • Israel yakerwa na Uholanzi kutambua Gaza, Quds kuwa asili ya Wapalestina

    Israel yakerwa na Uholanzi kutambua Gaza, Quds kuwa asili ya Wapalestina

    Feb 11, 2019 04:12

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa na hatua ya Uholanzi ya kuwapa Wapalestina wanaoishi nchini humo haki ya kuorodhesha Gaza, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Mashariki mwa Quds (Jerusalem) kama maeneo walikozaliwa.

  • Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Utawala katili wa Israel waendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Feb 09, 2019 04:17

    Vijana wawili wa Kipalestina wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' ambayo yalifanyika jana katika mpaka wa Ukanda wa Gaza.

  • Avigdor Lieberman ataka kuanzishwa tena siasa za kuwaua Wapalestina

    Avigdor Lieberman ataka kuanzishwa tena siasa za kuwaua Wapalestina

    Feb 08, 2019 11:30

    Waziri wa zamani wa Vita wa utawala haramu wa Israel ametoa wito wa kuanzishwa tena siasa za mauaji dhidi ya viongozi na wanamapambano wa Kipalestina huko katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS