-
2019, mwaka wa kushtadi ukatili na hatua za kibeberu na za kujipanua za Israel
Feb 06, 2019 23:25Sera za ukandamizaji za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina, ambazo zimeshtadi na kupamba moto tangu ulipoanza mwaka mpya wa 2019, zimechukua muelekeo mpana na hatari zaidi katika siku za hivi karibuni.
-
Onyo la Iran kwa chokochoko za Israel dhidi ya Syria
Feb 06, 2019 03:34Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendelea kuishambulia Syria.
-
Mtandao wa Kijasusi wa utawala wa Kizayuni wakiri kuhusu uwezo wa kijeshi wa Iran
Feb 03, 2019 21:35Mtandao mmoja wa kijasusi wa utawala wa Kizayuni wa Isarel umeashiria kuzinduliwa kombora jipya la Iran na kukiri kuwa: "Kwa mtazamo wa kijeshi, Iran sasa inaishinda Israel na Marekani."
-
Harakati za Israel za kushadidisha jinai katika maeneo ya Wapalestina
Feb 03, 2019 09:24Baada ya utawala haramu wa Israel kulitimua kutoka katika mji wa al-Khalil huko katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kundi la waangalizi wa kimataifa, Kuwait imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuitisha kikao cha dharura kuhusiana na kadhia hiyo.
-
Jeshi la Israel limeua shahidi Wapalestina 11 mwezi mmoja uliopita
Feb 01, 2019 23:17Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina 11 katika mwezi uliopita wa Januari.
-
Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN
Jan 31, 2019 22:51Jarida la Marekani la Foreign Policy limefichua kwamba, kabla ya kuteuliwa Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Marekani ilifanya jitihada kubwa za kuzuia uteuzi huo lakini jitihada hizo zimeambulia patupu.
-
Malaysia yasisitiza tena kutoruhusu wanamichezo wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi hiyo
Jan 26, 2019 10:43Waziri Mkuu wa Malaysia, amesisitiza tena msimamo wa nchi yake wa kutowaruhusu wanamichezo wa timu ya kuogelea ya utawala wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya Malaysia ili kushiriki mshindano ya dunia ya kuogelea; na akaongeza kwamba: Wanamichezo wa Israel wanatokana na utawala mdanganyifu, na watu wa Malaysia hawawapendi watu wadanganyifu.
-
Jenerali Mzayuni akiri uwezo wa kijeshi wa Syria licha ya vita vya ndani vya miaka mingi
Jan 24, 2019 12:26Jenerali mmoja mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amewataka viongozi wa utawala huo wasidharau tahadhari iliyotolewa na Syria kwamba kama Israel itaendelea kufanya mashambulizi nchini humo, basi Syria nayo itajibu kwa kuushambulia uwanja wa ndege wa Tel Aviv.
-
Utawala haramu wa Israel, mlezi wa ugaidi
Jan 24, 2019 08:56Kamanda wa jeshi la Lebanon ametangaza habari ya kutiwa mbaroni mamluki wa kigeni wa Shirika la Kijasusi la utawala haramu wa Israel (MOSSAD) ambaye alihusika katika jaribio la mauaji lililofeli dhidi ya Muhammad Omar Hamdan, mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika mji wa Saida, Lebanon.
-
Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw
Jan 24, 2019 00:35Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".