-
Benki ya HSBC yajiunga na harakati ya kuisusia Israel
Dec 28, 2018 21:39Benki mashuhuri ya HSBC ambayo ni ya saba kwa ukubwa duniani imesitisha ushirikiano wake na kampuni ya kuzalisha silaha ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya Elbit Systems, kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Marekani imeshatumia dola bilioni 130 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel tangu kuundwa kwake
Dec 28, 2018 21:38Takwimu rasmi zinaonyesha kuwa katika kipindi cha miongo saba iliyopita tangu ulipoasisiwa utawala wa Kizayuni wa Israel, serikali ya Marekani imegharimika na kutumia dola bilioni 170 kwa ajili ya kuuhami na kuulinda utawala huo bandia.
-
Sababu za kuvunjwa bunge la Israel
Dec 27, 2018 23:28Wabunge wa bunge la Israel (Knesset) wamepasisha muswada wa kulivunja bunge hilo na kuitisha uchaguzi wa kabla ya wakati wake katika ardhi hizo za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Kuendelea kutapatapa Israel na kuzidi kugonga mwamba hujuma zake tasa dhidi ya Syria
Dec 26, 2018 22:54Vyombo vya habari vya Syria vimetangaza kuwa ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel, Jumanne usiku zilishambulia mji mkuu wa nchi hiyo, Damascus, lakini zikakabiliwa na jibu kali la jeshi la nchi hiyo.
-
Zarif amshangaa Netanyahu kwa kusifia makombora mapya ya Israel
Dec 18, 2018 12:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali kitendo cha Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel cha kuonesha majivuno na kusifia makombora mapya ya utawala huo wa Kizayuni.
-
Uingereza yailaumu Israel kwa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Dec 16, 2018 04:12Msemaji wa serikali ya Uingereza ameilaumu Israel kwa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi inazowapora Wapalestina.
-
Australia yafuata mkumbo, yaitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel
Dec 15, 2018 03:23Australia imesema inautambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.
-
Wazayuni wakiri: Jeshi la Israel halina ubavu wa kuingia katika vita vipya
Dec 14, 2018 23:10Afisa mmoja mwandamizi wa jeshi la utawala wa Kizayuni amekiri kuwa Israel haina uwezo wa kuingia kwenye vita vyengine vipya.
-
Trump kuwa mwenyeji wa Bin Salman na Netanyahu katika 'Camp David ya 2'
Dec 14, 2018 12:22Gazeti la Middle East Eye limeripoti kuwa, Mohammad Bin Salman Aal Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia anatafakari sana juu ya kufanya mkutano na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu chini ya upatanishi na uenyeji wa Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Hamas yalipiza kisasi baada ya wanachama wake 2 kuuawa na jeshi la Israel
Dec 13, 2018 10:24Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imewaangamiza Wazayuni wawili kwa kuwafyatulia risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, chini ya masaa 24 baada ya jeshi katili la Israel kuwaua shahidi Wapalestina watatu, wakiwamo wanachama wawili wa harakati hiyo ya Muqawama.