-
Mswada wa ubaguzi wa rangi wapasishwa katika bunge la Israel
May 11, 2017 21:57Bunge la utawala wa ubaguzi wa rangi wa Israel Knasset, limepasisha kwa haraka katika hatua ya kwanza, mswada wa kibaguzi unaojulikana kama 'Taifa la Kiyahudi.'
-
Kukiri Saudi Arabia kushirikiana na Israel katika mauaji ya watu wa Yemen
May 09, 2017 01:56Duru za habari zinadokeza kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeshirikiana wazi wazi na jeshi la Saudia katika kuhujumu eneo la Ta'izz nchini Yemen jambo linaloashiria kukiri wazi wazi Saudi kuwa inahitaji msaada wa utawala huo haramu katika kuwakandamiza wanamapinduzi wa Yemen.
-
Saudia yakiri kushirikiana na Israel katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Yemen
May 08, 2017 10:51Vyombo mbalimbali vya habari sambamba na kuripoti ushiriki wa wazi wa jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Saudia dhidi ya Yemen ikiwemo hujuma za ndege za utawala huo katika mkoa wa Taiz, vimetangaza habari ya kukiri serikali ya Riyadh kuwa inahitaji msaada wa Tel-Aviv katika vita hivyo.
-
Waislamu na wanaharakati waandamana London, Uingereza dhidi ya Israel
May 07, 2017 08:52Mamia ya Waislamu nchini Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London kulaani ukaliaji wa mabavu na upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Kuongezeka ushirikiano wa kijeshi wa Marekani na Israel wakati wa Donald Trump
May 06, 2017 01:55Takwimu zinaonesha kuwa, ushirikiano wa kijeshi baina ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka katika kipindi hiki ambapo Donald Trump anatarajiwa kutembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni. Rais Donald Trump wa Marekani anatarajiwa kutembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel mwisho mwa mwezi huu wa Mei.
-
UNESCO yakosoa sera za Israel za kukalia kwa mabavu Palestina
May 03, 2017 07:10Kamati ya Utendaji ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Utamaduni na Sayansi UNESCO Jumanne ilipitisha azimio ambalo liliulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kukiuka sheria za kimataifa katika mji wa Quds (Jerusalem) na Ukanda wa Ghaza.
-
Kushadidi vitendo vya utumiaji mabavu vya Israel katika kivuli cha himaya ya Marekani
May 02, 2017 08:23Ripoti kutoka Palestina zinaonyesha juu ya kuchukua wigo mpana zaidi vitendo vilivyo dhidi ya ubinadamu vinavyofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Israel yaanza tena ujenzi wa ukuta wa kibaguzi Ukingo wa Magharibi
Apr 30, 2017 03:08Utawala haramu wa Israel umeanza tena ujenzi tata wa ukuta wa kibaguzi unaotenganisha Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Beit Lahm.
-
Korea Kaskazini yasema itaiadhibu vikali Israel
Apr 30, 2017 02:51Korea Kaskazini imesema itauadhibu vikali utawala haramu wa Israel kwa kuthubutu kuuvunjia heshima uongozi wa nchi hiyo.
-
Iran: Marekani, Israel na Uingereza haziutakii kheri umma wa Kiislamu
Apr 29, 2017 22:03Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuwepo kijeshi Marekani na nchi za Magharibi katika eneo la Mashariki ya Kati kuna madhara makubwa kwa mataifa ya eneo hili kwani licha ya kuja na kaulimbiu ya kuimarisha usalama na amani, lakini madola hayo ya kibeberu ndiyo sababu kuu ya kutoweka amani na usalama katika eneo hili.