Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Lebanon: Hatua yoyote ya kichokozi ya Israel itapata jibu kali

    Lebanon: Hatua yoyote ya kichokozi ya Israel itapata jibu kali

    Feb 19, 2017 03:05

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ameonya kuwa, iwapo utawala haramu wa Israel utachukua hatua yoyote ya kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu, basi ujiandae kwa jibu kali.

  • Abbas afanya mazungumzo na spika wa zamani wa Knesset

    Abbas afanya mazungumzo na spika wa zamani wa Knesset

    Feb 18, 2017 04:49

    Rais wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekutana na kufanya mazungumzo na spika wa zamani wa Bunge la Israel, Knesset katika mji wa Ramallah siku chache tu baada ya Waziri wa Utamaduni wa utawala huo haramu kutoa wito wa kufutwa kikamilifu Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika Ukanda wa Gaza.

  • Ismail Hania: Vita vya Palestina na Israel ni kuhusu Masjidul Aqswa

    Ismail Hania: Vita vya Palestina na Israel ni kuhusu Masjidul Aqswa

    Feb 18, 2017 04:14

    Naibu wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, vita vya Palestina na utawala wa Kizayuni vinahusiana na Msikiti wa al Aqsa na utambulisho wa Palestina.

  • Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Hatutotekeleza sheria ya marufuku ya Adhana

    Imam wa msikiti wa Al-Aqsa: Hatutotekeleza sheria ya marufuku ya Adhana

    Feb 14, 2017 04:13

    Sheikh Ikrima Sabri, Khatibu na Imam wa msikiti wa Al-Aqsa amesema sheria ya kupiga marufuku sauti ya adhana katika misikiti ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni ya kidhalimu na kusisitiza kwa kusema: Sitatekeleza uamuzi huo.

  • Tahadhari kuhusu njama za Marekani na Israel za kuibua mifarakano baina ya Waislamu

    Tahadhari kuhusu njama za Marekani na Israel za kuibua mifarakano baina ya Waislamu

    Feb 13, 2017 23:44

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesema: "Maadui wa Uislamu hasa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel wanatumia uwezo wao wote kuibua mifarakano katika ulimwengu wa Kiislamu."

  • Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Spika wa Bunge la Kuwait ataka Israel ifukuzwe kwenye Umoja wa Mabunge

    Feb 13, 2017 00:50

    Kuwait imelaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kutoa wito wa kutaka utawala huo ufukuzwe katika Umoja wa Kimataifa wa Mabunge.

  • Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Avigdor Lieberman: Wapalestina wote waondoke Israel!

    Feb 12, 2017 04:01

    Waziri wa Vita wa utawala haramu wa Israel amewataka Wapalestina wote waondoke mara moja katika ardhi zao zilizoghusubiwa na utawala huo bandia.

  • Palestina yaendelea kutambuliwa kimataifa, Marekani yashindwa kuitetea Israel

    Palestina yaendelea kutambuliwa kimataifa, Marekani yashindwa kuitetea Israel

    Feb 12, 2017 03:56

    Pamoja na kuwa Marekani inaendelea kuunga mkono kikamilifu utawala wa Kizayuni wa Israel, gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limeandika kuwa, balozi za Palestina zinaendelea kuongezeka duniani na hata kuzishinda zile za Israel.

  • Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Misri iliwasiliana na Israel kabla ya kuikabidhi Saudia visiwa vya Tiran na Sanafir

    Feb 12, 2017 03:41

    Rekodi iliyovuja ya mazungumzo ya simu imefichua kuwa Misri iliwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel ili kupata baraka na uungaji mkono wake kabla ya kusaini muafaka wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa vyake viwili vya Sanafir na Tiran.

  • Kushtadi jinai za Israel na mashtaka yanayoongezeka dhidi ya Netanyahu

    Kushtadi jinai za Israel na mashtaka yanayoongezeka dhidi ya Netanyahu

    Feb 09, 2017 03:39

    Jumanne ya wiki hii, Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel alisisitiza kuwa, kuitambua rasmi Israel kama “Dola la Kiyahudi” utakuwa mwanzo mpya wa amani na Wapalestina na hatua moja mbele kuelekea katika kupatikana amani katika Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS