Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu

    UN: Israel imevuka mstari mwekundu kwa kuidhinisha ujenzi haramu

    Feb 08, 2017 00:04

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel imekanyaga mstari mwekundu kwa kupasisha sheria ya kuhalalisha ujenzi mpya wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo wa Kizayuni.

  • Mogherini: Ujenzi wa vitongoji vya Israel ni kinyume cha sheria

    Mogherini: Ujenzi wa vitongoji vya Israel ni kinyume cha sheria

    Feb 07, 2017 03:35

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya alisisitiza jana huko Brussels kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala wa Kizayuni ni kinyume cha sheria na kwamba Umoja wa Ulaya hauafiki ujenzi huo wa vitongoji.

  • Nicaragua yakosoa kufumbiwa macho jinai za utawala wa Israel

    Nicaragua yakosoa kufumbiwa macho jinai za utawala wa Israel

    Feb 05, 2017 11:21

    Serikali ya Nicaragua imekosoa vikali hatua ya kuendelea kukingiwa kifua na kutowajibishwa utawala wa Kizayuni wa Israel licha ya jinai zake za kila uchao dhidi ya Wapalestina.

  • Sisitizo la wapinzani wa Netanyahu la kujiuzulu Waziri Mkuu huyo wa Israel

    Sisitizo la wapinzani wa Netanyahu la kujiuzulu Waziri Mkuu huyo wa Israel

    Feb 05, 2017 03:50

    Upinzani dhidi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka sana hivi sasa. Mamia ya wakazi wa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu wanaendelea kuandamana wakimshikinikiza Netanyahu ajiuzulu.

  • PLO yasisitizia kupandishwa kizimbani viongozi wa utawala wa Kizayuni

    PLO yasisitizia kupandishwa kizimbani viongozi wa utawala wa Kizayuni

    Feb 04, 2017 04:07

    Katibu Mkuu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina ametaka viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wapandishwe kizimbani kwa jinai walizofanya ikiwemo ya ujenzi wa vitongoji katika ardhi za Palestina.

  • Kuendelea ukandamizaji wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina

    Kuendelea ukandamizaji wa Israel dhidi ya mateka wa Kipalestina

    Feb 04, 2017 00:26

    Qadura Fares, Mkuu wa Klabu ya Mateka wa Kipalestina amesema kuwa, vitendo viovu wanavyofanyiwa Wapalestina hao kwa madai tofauti na kuongezeka sana jinai hizo dhidi ya mateka waKipalestina, ni mambo yanayofanyika kwa amri ya moja kwa moja ya Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Lebanon yafanikiwa kuangamiza mtandao wa kijasusi wa Israel

    Lebanon yafanikiwa kuangamiza mtandao wa kijasusi wa Israel

    Jan 28, 2017 04:12

    Lebanon imefanikiwa kuangamiza mtandao wa kigaidi wa shirika la kijasusi la Mossad la utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wakimbizi wa Afrika huko Israel walalamikia unyanyasaji

    Wakimbizi wa Afrika huko Israel walalamikia unyanyasaji

    Jan 27, 2017 10:21

    Mamia ya wakimbizi wa Kiafrika wamefanya maandamano nje ya Bunge la utawala haramu wa Israel (Knesset), kukosoa sera za kikatili na kibaguzi za Tel Aviv dhidi yao.

  • Dunia yaendelea kupinga sera za kupenda kujipanua za Israel

    Dunia yaendelea kupinga sera za kupenda kujipanua za Israel

    Jan 26, 2017 00:10

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu zimetoa taarifa tofauti zikilaani hatua ya Israel ya kupasisha ujenzi wa nyumba mpya 2500 za walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina.

  • Glenn: Huenda Israel itafanya njama za kuuawa Trump wa US

    Glenn: Huenda Israel itafanya njama za kuuawa Trump wa US

    Jan 24, 2017 04:45

    Mark Glenn, mchambuzi mashuhuri wa kisiasa nchini Marekani amesema yumkini serikali ya Washington ikapanga njama za kuuawa Rais mpya wa Marekani Donald Trump, iwapo hatasimamia maslahi ya Wazayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS