-
Saudia yaendelea kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 03, 2016 23:16Kufuatia kuongezeka wasiwasi kuhusu kuimarika ushawishi wa Iran katika eneo baada ya kutiwa saini mapatano ya nyuklia, Israel na Saudia zimezidi kukurubiana ili kukabiliana na hali hiyo.
-
Mbunge wa Misri atimuliwa kwa kufanya kikao cha siri na balozi wa Israel
Mar 03, 2016 10:01Bunge la Misri limemtimua mjumbe wake mmoja anayedaiwa kukutana na kufanya mazungumzo na balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu usalama wa taifa la nchi hiyo ya Kiarabu mjini Cairo.
-
Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati
Mar 01, 2016 23:20Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinachochea fitna na mizozo ya kimadhehebu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.
-
Kukithiri vitendo vya ngono na ubadhirifu wa fedha katika jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel
Feb 29, 2016 22:07Mahakama ya Kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israekl imeafiki kutoleta taarifa zaidi kuhusiana na faili la vitendo vya ngono na ufisadi wa fedha katika jeshi la utawala huo ghasibu.
-
Waziri wa Saudia atembelea Israel kwa siri kupanga njama dhidi ya Syria
Feb 29, 2016 04:01Saudi Arabia inashirikiana kikamilifu na utawala haramu wa Israel katika njama ya kuomuondoa marakani Rais Bashar al-Asad wa Syria pamoja na kuwepo mapatano ya usitishwaji vita nchini humo.
-
Hamas yaionya Israel kuhusu vita
Feb 26, 2016 23:33Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kuibuka tetesi kuwa utawala huo unapanga kuanzisha vita vipya dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
Wapalestina wamkosoa Kenyatta kwa kutembelea Israel
Feb 26, 2016 12:45Maafisa wa serikali ya Palestina wamemkosoa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kutembelea vitongoji haramu huko Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Sheikh Ikrima Sabri: Israel imeanzisha vita angamizi dhidi ya turathi za Kiislamu, Palestina
Feb 25, 2016 11:58Mufti Mkuu wa msikiti mtukufu wa Al-Aqsa na mkuu wa Kamati Kuu ya Kiislamu ya Baitul Muqaddas ametangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeanzisha vita angamizi dhidi ya turathi na athari za Kiislamu za Palestina.
-
HAMAS: Iran ndiye muungaji mkono wa kweli wa muqawama na taifa la Palestina
Feb 13, 2016 04:42Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, hakuna nchi yoyote ya Kiarabu au ya Kiislamu ambayo hadi hivi sasa imeweza kuifikia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuunga mkono muqawama na taifa linalodhulumiwa la Palestina.
-
Kuenea ufisadi kati ya maafisa wa ngazi za juu wa jeshi la Israel
Feb 11, 2016 23:22Jumatano ya tarehe 10 Februari, mahakama moja huko Baytul Muqaddas ilitoa hukumu dhidi ya Ehud Olmert, Waziri Mkuu wa zamani wa Israel kwa kuharibu mchakato wa kusikiliza kesi yake. Inatarajiwa kuwa, Jumatatu ijayo, Olmert atapelekwa jela rasmi. Kabla ya hapo pia, waziri mkuu huyo wa zamani wa utawala wa Kizayuni alikuwa amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya ufisadi mkubwa wa fedha na kutumia vibaya madaraka yake.