Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Wataalamu wa UN: Kuipelekea silaha Israel kukomeshwe mara moja!

    Wataalamu wa UN: Kuipelekea silaha Israel kukomeshwe mara moja!

    Feb 24, 2024 23:05

    Kundi la wataalamu wa Umoja wa Mataifa limeonya kwamba upelekaji wowote wa silaha au risasi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ambazo zitatumika katika mashambulizi ya ardhini na angani dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghazza uliozingirwa unaweza ukawa unakiuka sheria za kimataifa za kibinadamu, na lazima ukomeshwe mara moja.

  • Idhini mpya ya Uingereza kwa Israel ya kuendeleza mauaji ya umati dhidi ya wananchi wa Palestina

    Idhini mpya ya Uingereza kwa Israel ya kuendeleza mauaji ya umati dhidi ya wananchi wa Palestina

    Feb 23, 2024 04:57

    Uingereza ambayo ni moja ya waungaji mkono wakuu wa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina sambamba na Ujerumani na Marekani, hivi sasa imetoa idhini mpya kwa Israel ya kuendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina hasa wa Ghazza. Madola hayo matatu ya Magharibi ndiyo yaliyoko mstari wa mbele katika kuusheheneza silaha hatari utawala wa Kizayuni ili uzidi kuua raia wa Palestina hasa wanawake na watoto wadogo.

  • Rais wa Brazil afananisha jinai za Israel na zile za Hitler wa Ujerumani

    Rais wa Brazil afananisha jinai za Israel na zile za Hitler wa Ujerumani

    Feb 21, 2024 23:09

    Jinai zinazofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza zinahesabiwa kuwa kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa katika miongo ya karibuni na aghalabu ya jinai hizo zimetajwa kuwa ni maangamizi ya kizazi huku zikilinganishwa na uhalifu ulizofanywa na Adolf Hitler, kiongozi Manazi wa Ujerumani, katika Vita vya Pili vya Dunia.

  • Afrika Kusini yaiasa ICJ iseme ukaliaji wa ardhi za Palestina ni kinyume cha sheria

    Afrika Kusini yaiasa ICJ iseme ukaliaji wa ardhi za Palestina ni kinyume cha sheria

    Feb 20, 2024 09:24

    Afrika Kusini imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) itoe ushauri wa kisheria unaosema kuwa hatua ya Israel ya kukalia kwa mabavu ardhi za Palestina ni kinyume cha sheria.

  • Brazil yamuita nyumbani balozi wake wa Israel, mzozo watokota

    Brazil yamuita nyumbani balozi wake wa Israel, mzozo watokota

    Feb 20, 2024 09:22

    Serikali ya Brazil imemrejesha nyumbani balozi wake wa Israel, huku mzozo wa kidiplomasia ukiendelea kutokota baina ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini na Tel Aviv.

  • Iran: Kuipatia Israel dola bilioni 14 ni sawa na Marekani kutoa bakhshishi kwa mauaji ya Wapalestina

    Iran: Kuipatia Israel dola bilioni 14 ni sawa na Marekani kutoa bakhshishi kwa mauaji ya Wapalestina

    Feb 19, 2024 07:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, kuidhinishwa na Baraza la Seneti la Marekani msaada wa dola bilioni 14 kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kunaonyesha kuwa Washington inautuza na kuupa bakhshishi utawala huo kwa kuwaua kwa halaiki raia wasio na hatia wa Palestina katika vita visivyo na mlingano vya Gaza.

  • ICJ yaanza kusikiliza shauri la kihistoria kuhusu uhalali wa Israel kukalia ardhi za Palestina kwa miaka 57

    ICJ yaanza kusikiliza shauri la kihistoria kuhusu uhalali wa Israel kukalia ardhi za Palestina kwa miaka 57

    Feb 19, 2024 07:40

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ, ambayo ndiyo mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa leo imeanza kusikiliza shauri la kihistoria la kuamua kuhusu uhalali wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wa kuzivamia na kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina kwa muda wa miaka 57.

  • Anadolu yataja orodha ya silaha zilizofanyiwa majaribio na Israel katika vita vya Gaza

    Anadolu yataja orodha ya silaha zilizofanyiwa majaribio na Israel katika vita vya Gaza

    Feb 18, 2024 23:37

    Shirika la habari la Anadolu la Uturuki limeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel ambao unakabiliwa na kesi ya mashtaka ya mauaji ya halaiki katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ huko Hague Uholanzi umezifanyia majaribio silaha nyingi kwa mara ya kwanza katika mashambulizi yake ya kikatili dhidi ya Gaza tangu Oktoba 7 mwaka jana.

  • Mashirika yaitaka AU isiipe Israel uanachama kwenye umoja huo

    Mashirika yaitaka AU isiipe Israel uanachama kwenye umoja huo

    Feb 17, 2024 08:55

    Kundi moja la asasi za kiraia limeutaka Umoja wa Afrika utupilie mbali ombi la utawala wa Kizayuni wa Israel la kuwa mwanachama mtazamaji wa AU, na kufufua mjadala uliodumu kwa miaka miwili kuhusu kadhia hiyo.

  • Marekani kuitumia Israel mamia ya mabomu aina ya MK-82

    Marekani kuitumia Israel mamia ya mabomu aina ya MK-82

    Feb 17, 2024 08:04

    Serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani inapanga kutuma shehena za mabomu na silaha nyingine zenye thamani ya makumi ya mamilioni ya dola kwa utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kumwaga damu za Wapalestina wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS