Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Umoja wa Mataifa wataka juhudi zaidi kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia Kodivaa

    Umoja wa Mataifa wataka juhudi zaidi kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia Kodivaa

    Jun 02, 2016 04:07

    Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameishukuru serikali ya Ivory Coast kwa juhudi zake za kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia na kutaka juhudi zaidi ziongezwe katika uwanja huo.

  • Mahakama ya Kodivaa yaanza kusikiliza kesi dhidi ya mke wa Gbagbo

    Mahakama ya Kodivaa yaanza kusikiliza kesi dhidi ya mke wa Gbagbo

    Jun 01, 2016 07:38

    Mahakama moja nchini Kodivaa imeanza kusikiliza kesi ya jinai za kivita inayomkabili Simone Gbagbo, mke wa Rais wa zamani wa nchi hiyo, Laurent Gbagbo.

  • Kodivaa yamkamata mshukiwa wa ulipuaji bomu hoteli ya Grand Bassam

    Kodivaa yamkamata mshukiwa wa ulipuaji bomu hoteli ya Grand Bassam

    May 27, 2016 07:54

    Wakuu wa Kodivaa wamesema wamemkamata mtu anayeshukiwa kusafirisha silaha zilizotumika katika hujuma ya kigaidi ilyopelekea watu 19 kuuawa katika hoteli moja ya kifahari ya Grand Bassam nchini humo.

  • Mahakama ya Burkina Faso yasisitizia kutekelezwa hukumu ya kutiwa mbaroni Blaise Compaoré

    Mahakama ya Burkina Faso yasisitizia kutekelezwa hukumu ya kutiwa mbaroni Blaise Compaoré

    May 03, 2016 03:59

    Mahakama ya kijeshi ya Burkina Faso imesema kuwa, hukumu ya kutiwa mbaroni rais wa zamani wa nchi hiyo, Blaise Compaoré na Waziri Mkuu wa zamani wa Ivory Coast, Guillaume Soro, lazima itatekelezwa.

  • Kodivaa yawarejesha nyumbani raia wake kutoka Gabon

    Kodivaa yawarejesha nyumbani raia wake kutoka Gabon

    Apr 30, 2016 04:11

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Ivory Coast imetangaza kuwa, imewarejesha nyumbani zaidi ya raia 100 kutoka Gabon kutokana na kuwa na hali mbaya za kimaisha.

  • Wakimbizi raia wa Ivory Coast watakiwa kurejea nchini kwao

    Wakimbizi raia wa Ivory Coast watakiwa kurejea nchini kwao

    Apr 14, 2016 03:41

    Serikali ya Ivory Coast imewataka raia wa nchi hiyo ambao wamekimbilia katika nchi jirani na kuomba hifadhi ya ukimbizi kurejea nchini kwao.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Ivory Coast

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Ivory Coast

    Mar 15, 2016 15:24

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi ya hivi karibuni iliyosababisha watu 19 kuuawa nchini Ivory Coast.

  • Magaidi wa Al Qaeda walilewa kabla ya kuvamia Kodivaa

    Magaidi wa Al Qaeda walilewa kabla ya kuvamia Kodivaa

    Mar 15, 2016 15:17

    Magaidi wa Al Qaeda waliingia katika baa moja na kunywa pombe kabla ya kuanza kufyatua risasi kiholela katika eneo la kitalii kwenye ufukwe wa bahari nchini Ivory Coast ambapo watu wasiopungua 18 waliuawa katika mji wa Grand-Bassam.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS