Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Congo Brazaville

  • Jitihada za serikali ya Kongo Brazaville katika kupambana na ufisadi

    Jitihada za serikali ya Kongo Brazaville katika kupambana na ufisadi

    Jun 05, 2016 03:47

    Serikali ya Jamhuri ya Kongo au Kongo Brazaville imesema kuwa ufisadi wa fedha unaoikabili nchi hiyo unakwamisha ustawi wa kiuchumi na kijamii nchini humo.

  • Wapinzani Brazaville wataka mazungumzo ya kisiasa

    Wapinzani Brazaville wataka mazungumzo ya kisiasa

    May 27, 2016 16:25

    Mratibu wa Muungano Mkuu wa upinzani nchini Kongo Brazaville amesema kuwa muungano huo upo tayari kufanya mazungumzo ili kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Amnesty International: Serikali ya Jamhuri ya Kongo imeshambulia na kuua watu katika maeneo ya raia

    Amnesty International: Serikali ya Jamhuri ya Kongo imeshambulia na kuua watu katika maeneo ya raia

    Apr 18, 2016 14:34

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema, serikali ya Jamhuri ya Kongo ilishambulia kwa makusudi maeneo ya raia kusini mwa nchi hiyo na kuua watu wasiopungua 30.

  • Mpinzani wa Sassou Nguesso akubali kushindwa katika uchaguzi wa rais

    Mpinzani wa Sassou Nguesso akubali kushindwa katika uchaguzi wa rais

    Apr 08, 2016 02:33

    Guy-Brice Parfait Kolelas, mgombea wa chama cha upinzani katika Jamhuri ya Kongo ambaye alishika nafasi ya pili katika uchaguzi wa Rais, hatimaye amekiri kushindwa kwenye uchaguzi huo.

  • Wakazi wa kusini mwa mji mkuu wa Kongo Brazzaville wauhama mji kukimbia machafuko

    Wakazi wa kusini mwa mji mkuu wa Kongo Brazzaville wauhama mji kukimbia machafuko

    Apr 07, 2016 16:13

    Wakazi wa maeneo ya kusini mwa Brazzaville, mji mkuu wa Jamhuri ya Kongo wamekimbia eneo hilo kutokana na mapigano ya hivi karibuni kati ya wanamgambo wa upinzani na askari wa serikali.

  • Machafuko yashtadi Brazaville, maelfu wakimbilia usalama wao

    Machafuko yashtadi Brazaville, maelfu wakimbilia usalama wao

    Apr 05, 2016 07:34

    Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Congo wameukimbia mji mkuu wa nchi hiyo Brazaville kutokana na kushika kasi makabiliano yaliyoripuka jana Jumatatu kati ya maafisa usalama na kundi moja la waasi.

  • Shughuli za kijamii zalemazwa na mgomo Kongo Brazzaville

    Shughuli za kijamii zalemazwa na mgomo Kongo Brazzaville

    Mar 29, 2016 14:42

    Harakati za kila siku za kijamii katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kongo, Brazzaville zimeathiriwa na mgomo uliotishwa na viongozi wa upinzani nchini humo, kulalamikia kuchaguliwa tena Rais Denis Sassou Nguesso.

  • Upinzani Kongo Brazzaville waitisha maandamano dhidi ya Rais Nguesso

    Upinzani Kongo Brazzaville waitisha maandamano dhidi ya Rais Nguesso

    Mar 27, 2016 14:33

    Viongozi wa upinzani nchini Kongo Brazzaville wameitisha maandamano ya nchi nzima kupinga kuchaguliwa tena Rais Denis Sassou Nguesso mwenye umri wa miaka 72.

  • Nguesso apata ushindi uchaguzi wa rais Congo

    Nguesso apata ushindi uchaguzi wa rais Congo

    Mar 23, 2016 07:24

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais huko Jamhuri ya Congo Brazaville yanaonyesha kuwa Rais Denis Sassou Nguesso anaongoza kwa wingi wa kura.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS