Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS, imesisitiza kuwa, jukumu la kutetea haki zote za kisiasa na kifedha za wakimbizi Wapalestina ni la jamii ya kimataifa na hasa Umoja wa Mataifa.
Umoja wa Mataifa umeitaka jamii ya kimataifa kuongeza misaada ya kibinadamu kwa Sudan kutokana na hali ya kimaisha kuzidi kuwa mbaya nchini humo.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imetoa taarifa na kuitaka jamii ya kimatiafa itafute mbinu mpya ya kukabiliana na namna Marekani inavyotumia vibaya kura yake ya turufu au veto katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mtaifa kwa ajili ya kuutetea utawala wa Kizyauni wa Israel unaotenda jinai dhidi ya Wapalestina.
Mwandishi na mtaalamu mmoja wa masuala ya kisasa wa nchini Marekani amesema kuwa nchi hiyo inafanya juhudi kubwa za kuuhadaa ulimwengu kuhusiana na suala la Syria.
Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka jamii ya kimataifa kufanya juhudi za kurejesha amani na utulivu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiilslamu ya Iran amesema kuwa, jamii ya kimataifa itaendelea kushirikiana na Iran bila ya kujali mchezo wa kuigiza wa vikwazo vya Marekani.
Rais wa eneo lililojitangazia uhuru la Puntland la kaskazini mashariki mwa Somalia ameitaka jamii ya kimataifa iisaidie Somalia katika kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab.
Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa njia pekee ya kupambana vyema na vikali na ugaidi na vitendo vya uchupaji mipaka ni kwa jamii ya kimataifa kuwa na ufahamu wa pamoja na hivyo kuweza kulipatia ufumbuzi tatizo hilo kubwa.
Chama kikuu cha upinzani nchini Bahrain kimekosoa kimya cha jamii ya kimataifa juu ya mzingiro dhidi ya eneo la Diraz na ukandamizaji wanaofanyiwa wakazi wa eneo hilo kwa zaidi ya nusu mwaka sasa.
Umoja wa Mataifa umeitolea wito jamii ya kimataifa kutoa misaada zaidi kwa mamilioni ya watu katika eneo la Pembe ya Afrika wanaosumbuliwa na njaa.