-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan aitaka Marekani iache uroho na uchu wa mali
Aug 23, 2021 03:31Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Japan amesema ili kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani inapaswa kuachana na tabia yake ya uroho, uchu na hamu kubwa ya kukusanya na kurundika mali.
-
Takwimu rasmi: Wajapan wanaojiua ni wengi zaidi kuliko wanaofariki kwa corona!
Dec 03, 2020 07:24Takiwmu zilizotolewa na serikali ya Japan zinaonyesha kuwa, katika mwezi wa Oktoba pekee, watu 2,215 walijiua nchini humo, idadi ambayo ni kubwa zaidi kulinganisha na ya watu wote walioaga dunia hadi sasa nchini humo kwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.
-
Mazoezi ya Kijeshi ya Japan, Marekani na Australia katika Bahari ya China Kusini
Oct 23, 2020 02:52Kikosi cha Tano cha Jeshi la Majini la Marekani kimetangaza habari ya kuanza mazoezi ya kijeshi ya nchi hiyo na majeshi ya Japan na Australia katika maji ya Bahari ya China Kusini. Haya ni mazoezi ya tano ya kijeshi ya pamoja ya nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini katika mwaka huu wa 2020.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima
Aug 09, 2020 07:14Mwezi Agosti mwaka 1945 Marekani ilishambulia mji wa Hiroshima kwa bomu la nyuklia na kuua watu zaidi ya laki moja; hii ndio hulka ya kibeberu ya jeshi la Marekani, kutokuwa na dini, kutomwamini Mwenyezi Mungu na utovu wa maadili wa Marekani.
-
Meli za kivita za Marekani, Australia na Japan zashiriki mazoezi ya kijeshi, China yaonya kuhusu taharuki
Jul 23, 2020 07:00Meli tano za kivita za Australia zimejiunga na manowari za majeshi ya majini ya Japan na Marekani kwa ajili ya mazoezi ya pamoja katika Bahari ya Ufilipino eneo la Bahari ya Pasifiki.
-
Rais Rouhani: Iwapo Marekani ni mkweli kuhusu madai yake, isitishe vikwazo dhidi ya Iran
May 06, 2020 04:15Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai ya Marekani kuwa iko tayari kuisadia Iran kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 (corona) na kusema: "Iwapo Wamarekani ni wakweli, njia pekee ni kuondoa vikwazo vilivyo kinyume cha sheria dhidi ya Iran."
-
Amir Hatami: Marekani inapaswa kuhitimisha haraka uvamizi wake Asia Magharibi
Jan 11, 2020 04:50Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ili kukabiliana na mizozo na uzushaji wa migogoro na ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi, kuna ulazima wa uvamizi na uangiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya eneo hili kuhitimishwa haraka iwezekanavyo.
-
Wajapani waandamana kupinga ubeberu wa Marekani
Jan 10, 2020 12:05Raia wa Japan wamefanya maandamano makubwa mjini Tokyo kupinga siasa za kutaka vita za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ombi la China, Japan na Korea Kusini kwa Korea Kaskazini
Dec 26, 2019 01:10Viongozi wa China, Japan na Korea Kusini waliokutana kwa kikao maalumu cha pamoja kilichofanyika kusini mwa China, wametoa mwito mwishoni mwa kikao chao hicho wa kuitaka Korea Kaskazini iache kikamilifu kufanya majaribio ya makombora.
-
Rouhani: Kumefikiwa mapatano mazuri sana huko Malaysia na Japan
Dec 22, 2019 07:12Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye alielekea Malaysia na Japan kufuatia mwaliko rasmi wa Mawaziri Waku wa nchi hizo jana alasiri alirejea Tehran.