Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan aitaka Marekani iache uroho na uchu wa mali

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan aitaka Marekani iache uroho na uchu wa mali

    Aug 23, 2021 03:31

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Japan amesema ili kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani inapaswa kuachana na tabia yake ya uroho, uchu na hamu kubwa ya kukusanya na kurundika mali.

  • Takwimu rasmi: Wajapan wanaojiua ni wengi zaidi kuliko wanaofariki kwa corona!

    Takwimu rasmi: Wajapan wanaojiua ni wengi zaidi kuliko wanaofariki kwa corona!

    Dec 03, 2020 07:24

    Takiwmu zilizotolewa na serikali ya Japan zinaonyesha kuwa, katika mwezi wa Oktoba pekee, watu 2,215 walijiua nchini humo, idadi ambayo ni kubwa zaidi kulinganisha na ya watu wote walioaga dunia hadi sasa nchini humo kwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

  • Mazoezi ya Kijeshi ya Japan, Marekani na Australia katika Bahari ya China Kusini

    Mazoezi ya Kijeshi ya Japan, Marekani na Australia katika Bahari ya China Kusini

    Oct 23, 2020 02:52

    Kikosi cha Tano cha Jeshi la Majini la Marekani kimetangaza habari ya kuanza mazoezi ya kijeshi ya nchi hiyo na majeshi ya Japan na Australia katika maji ya Bahari ya China Kusini. Haya ni mazoezi ya tano ya kijeshi ya pamoja ya nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini katika mwaka huu wa 2020.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani katika kudondosha bomu la atomiki Hiroshima

    Aug 09, 2020 07:14

    Mwezi Agosti mwaka 1945 Marekani ilishambulia mji wa Hiroshima kwa bomu la nyuklia na kuua watu zaidi ya laki moja; hii ndio hulka ya kibeberu ya jeshi la Marekani, kutokuwa na dini, kutomwamini Mwenyezi Mungu na utovu wa maadili wa Marekani.

  • Meli za kivita za Marekani, Australia na Japan zashiriki mazoezi ya kijeshi, China yaonya kuhusu taharuki

    Meli za kivita za Marekani, Australia na Japan zashiriki mazoezi ya kijeshi, China yaonya kuhusu taharuki

    Jul 23, 2020 07:00

    Meli tano za kivita za Australia zimejiunga na manowari za majeshi ya majini ya Japan na Marekani kwa ajili ya mazoezi ya pamoja katika Bahari ya Ufilipino eneo la Bahari ya Pasifiki.

  • Rais Rouhani: Iwapo Marekani ni mkweli kuhusu madai yake, isitishe vikwazo dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Iwapo Marekani ni mkweli kuhusu madai yake, isitishe vikwazo dhidi ya Iran

    May 06, 2020 04:15

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu madai ya Marekani kuwa iko tayari kuisadia Iran kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 (corona) na kusema: "Iwapo Wamarekani ni wakweli, njia pekee ni kuondoa vikwazo vilivyo kinyume cha sheria dhidi ya Iran."

  • Amir Hatami: Marekani inapaswa kuhitimisha haraka uvamizi wake Asia Magharibi

    Amir Hatami: Marekani inapaswa kuhitimisha haraka uvamizi wake Asia Magharibi

    Jan 11, 2020 04:50

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ili kukabiliana na mizozo na uzushaji wa migogoro na ukosefu wa amani katika eneo la Asia Magharibi, kuna ulazima wa uvamizi na uangiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya eneo hili kuhitimishwa haraka iwezekanavyo.

  • Wajapani waandamana kupinga ubeberu wa Marekani

    Wajapani waandamana kupinga ubeberu wa Marekani

    Jan 10, 2020 12:05

    Raia wa Japan wamefanya maandamano makubwa mjini Tokyo kupinga siasa za kutaka vita za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ombi la China, Japan na Korea Kusini kwa Korea Kaskazini

    Ombi la China, Japan na Korea Kusini kwa Korea Kaskazini

    Dec 26, 2019 01:10

    Viongozi wa China, Japan na Korea Kusini waliokutana kwa kikao maalumu cha pamoja kilichofanyika kusini mwa China, wametoa mwito mwishoni mwa kikao chao hicho wa kuitaka Korea Kaskazini iache kikamilifu kufanya majaribio ya makombora.

  • Rouhani: Kumefikiwa mapatano mazuri sana huko Malaysia na Japan

    Rouhani: Kumefikiwa mapatano mazuri sana huko Malaysia na Japan

    Dec 22, 2019 07:12

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye alielekea Malaysia na Japan kufuatia mwaliko rasmi wa Mawaziri Waku wa nchi hizo jana alasiri alirejea Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS