Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Japan yataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya JCPOA

    Japan yataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya JCPOA

    Oct 24, 2019 16:41

    Waziri Mkuu wa Japan ametoa mwito kwa nchi zote husika kutekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA.

  • Kimbunga Hagibis chaua watu 36 nchini Japan

    Kimbunga Hagibis chaua watu 36 nchini Japan

    Oct 14, 2019 07:52

    Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kimbunga Hagibis mashariki na katikati mwa Japan imeongezeka na kufikia 36.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wakutana Japan pembizoni mwa kikao cha TICAD

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wakutana Japan pembizoni mwa kikao cha TICAD

    Aug 28, 2019 07:17

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wamekutana nchini Japan na kujadili matukio ya hivi karibuni nchini Libya na eneo zima la Afrika Kaskazini.

  • Hitilafu za Marekani na wanachama wa G20 zagubika mkutano wa kundi hilo, Japan

    Hitilafu za Marekani na wanachama wa G20 zagubika mkutano wa kundi hilo, Japan

    Jun 28, 2019 06:31

    Viongozi wa nchi 20 zenye uchumi mkubwa zaidi duniani wanakutana leo katika mji wa Osaka nchini Japan huku wingu kubwa la hitilafu na mivutano kati ya Marekani na baadhi ya wanachama wa kundi hilo likigubika ajenda ya mkutano huo.

  • Japan: Mazungumzo ya Abe Shinzō na Rais Hassan Rouhani, yalikuwa chanya

    Japan: Mazungumzo ya Abe Shinzō na Rais Hassan Rouhani, yalikuwa chanya

    Jun 13, 2019 07:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan ameyataja mazungumzo ya Rais Hassan Rouhani wa Iran na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abe Shinzō kuwa yalikuwa chanya na yenye faida.

  • Rouhani: Iran inakaribisha suala la kuimarisha uhusiano na Japan

    Rouhani: Iran inakaribisha suala la kuimarisha uhusiano na Japan

    Jun 13, 2019 04:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hamu iliyodhihirishwa na Japan ya kutaka kuwekeza katika maeneo ya kusini mwa Iran inadhamini suala la kustawisha uhusiano kati ya nchi mbili.

  • Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi

    Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi

    Jun 10, 2019 11:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kufanya mazungumzo na kila moja ya nchi za Kiarabu za ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuhusu masuala ya pande mbili na kieneo."

  • Iran yamshangaa Netanyahu kwa kutiwa kiwewe na safari ya Shinzo Abe nchini

    Iran yamshangaa Netanyahu kwa kutiwa kiwewe na safari ya Shinzo Abe nchini

    Jun 10, 2019 08:00

    Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkejeli na kumshangaa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu kwa kuingiwa na kiwewe kutokana na safari tarajiwa ya Shinzo Abe, Waziri Mkuu wa Japan hapa mjini Tehran.

  • Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini

    Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini

    May 27, 2019 02:21

    Rais Donald Trump wa Marekani anafanya safari ya siku tatu nchini Japan.

  • Mgogoro wa kibiashara washtadi kati ya Marekani na Japan licha ya Trump kuwepo mjini Tokyo

    Mgogoro wa kibiashara washtadi kati ya Marekani na Japan licha ya Trump kuwepo mjini Tokyo

    May 26, 2019 13:55

    Mgogoro wa kibiashara umeshtadi kati ya Marekani na Japan, licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwepo mjini Tokyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS