-
Japan yataka kutekelezwa kikamilifu makubaliano ya JCPOA
Oct 24, 2019 16:41Waziri Mkuu wa Japan ametoa mwito kwa nchi zote husika kutekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA.
-
Kimbunga Hagibis chaua watu 36 nchini Japan
Oct 14, 2019 07:52Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na kimbunga Hagibis mashariki na katikati mwa Japan imeongezeka na kufikia 36.
-
Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wakutana Japan pembizoni mwa kikao cha TICAD
Aug 28, 2019 07:17Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Libya wamekutana nchini Japan na kujadili matukio ya hivi karibuni nchini Libya na eneo zima la Afrika Kaskazini.
-
Hitilafu za Marekani na wanachama wa G20 zagubika mkutano wa kundi hilo, Japan
Jun 28, 2019 06:31Viongozi wa nchi 20 zenye uchumi mkubwa zaidi duniani wanakutana leo katika mji wa Osaka nchini Japan huku wingu kubwa la hitilafu na mivutano kati ya Marekani na baadhi ya wanachama wa kundi hilo likigubika ajenda ya mkutano huo.
-
Japan: Mazungumzo ya Abe Shinzō na Rais Hassan Rouhani, yalikuwa chanya
Jun 13, 2019 07:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan ameyataja mazungumzo ya Rais Hassan Rouhani wa Iran na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abe Shinzō kuwa yalikuwa chanya na yenye faida.
-
Rouhani: Iran inakaribisha suala la kuimarisha uhusiano na Japan
Jun 13, 2019 04:08Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hamu iliyodhihirishwa na Japan ya kutaka kuwekeza katika maeneo ya kusini mwa Iran inadhamini suala la kustawisha uhusiano kati ya nchi mbili.
-
Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi
Jun 10, 2019 11:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kufanya mazungumzo na kila moja ya nchi za Kiarabu za ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuhusu masuala ya pande mbili na kieneo."
-
Iran yamshangaa Netanyahu kwa kutiwa kiwewe na safari ya Shinzo Abe nchini
Jun 10, 2019 08:00Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkejeli na kumshangaa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu kwa kuingiwa na kiwewe kutokana na safari tarajiwa ya Shinzo Abe, Waziri Mkuu wa Japan hapa mjini Tehran.
-
Safari ya Trump Japan, Washington kuitumia Tokyo kuanzisha tena mazungumzo na Korea Kaskazini
May 27, 2019 02:21Rais Donald Trump wa Marekani anafanya safari ya siku tatu nchini Japan.
-
Mgogoro wa kibiashara washtadi kati ya Marekani na Japan licha ya Trump kuwepo mjini Tokyo
May 26, 2019 13:55Mgogoro wa kibiashara umeshtadi kati ya Marekani na Japan, licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kuwepo mjini Tokyo.