-
Korea Kaskazini: Vikwazo na mashinikizo dhidi Pyongyang havitakuwa na taathira yoyote
Mar 01, 2018 03:57Serikali ya Korea Kaskazini imesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa dhidi yake kamwe havitakuwa na taathira yoyote na kwa msingi huo jamii ya kimataifa inatakiwa kuhitimisha ndoto hizo za alinacha katika uwanja huo.
-
Korea Kaskazini yalaani majaribio ya makombora ya Marekani na Japan
Feb 23, 2018 21:19Serikali ya Korea Kaskazini imetoa taarifa ya kulaani vikali majaribio ya makombora yaliyofanywa na Marekani na Japan.
-
Korea Kusini yakataa ombi la Japan la kufanya maneva ya kijeshi na Marekani katika Rasi ya Korea
Feb 11, 2018 01:13Rais Moon Jae in wa Korea Kusini ameonyesha kutoridhishwa na takwa la Shinzo Abe, Waziri Mkuu wa Japan la kutaka kufanya maneva ya kijeshi na Marekani katika peninsula ya Korea.
-
TV ya Japan yaomba radhi kwa kuwatisha raia kuwa Pyongyang ingeshambulia jana usiku
Jan 17, 2018 04:35Televisheni ya taifa nchini Japan NHK imewaomba radhi wananchi baada ya kutoa habari potovu kwamba Korea Kaskazini ingeshambulia nchi hiyo usiku wa jana.
-
Korea Kaskazini yavurumisha kombora la balestiki kuelekea Japan
Nov 29, 2017 04:45Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine la balestiki lililopaa juu ya kisiwa cha Japan na linaloweza kulenga sehemu yoyote ya ardhi ya Marekani, huku ikisisitiza kuwa sasa ina uwezo kamili wa kinyuklia.
-
Trump: Nilikuwa sijui kwamba duniani kuna nchi nyingi kiasi chote hiki
Nov 08, 2017 04:22Rais wa Marekani, Donald Trump amedhihirisha kwa uwazi ujinga na upofu wake kuhusiana na elimu ya jiografia na siasa za kimataifa aliposema bila matani kwamba alikuwa hajui kuwa duniani kuna nchi nyingi kiasi chote hiki mpaka alipochaguliwa kuwa rais wa Marekani.
-
Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya
Oct 24, 2017 11:27Marekani imeendelea kufanya hali ya mambo katika eneo la Peninsula ya Korea kuwa mbaya na hivyo kuhatarisha usalama wa eneo hilo.
-
US yaanzisha tena chokochoko katika Peninsula ya Korea
Oct 11, 2017 04:49Kwa mara nyingine tena Marekani imefanya maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na Korea Kusini na Japan katika Peninsula Korea.
-
Korea Kaskazini: Japan inajitafutia matatizo kwa kushirikiana na Marekani
Aug 31, 2017 03:30Serikali ya Pyongyang imetoa tahadhari kwa Japan kwamba, nchi hiyo inajitafutia matatizo kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Marekani na lengo lake la kutaka kusimika ngao ya makombora ya AEGIS nchini humo.
-
Korea Kasazini yarusha kombora kuelekea Japan, UNSC kuitisha kikao cha dharura
Aug 29, 2017 03:08Waziri Mkuu wa Japan, Shinzo Abe amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC kuitisha mkutano wa dharura baada ya Korea Kaskazini kuvurumisha kombora lililoruka katika anga yake na kudondoka katika pwani ya kisiwa cha Hokkaido, mashariki mwa Japan.