-
Zarif: Nchi za Ulaya ziache kukiuka JCPOA na zisitishe sera haribifu katika eneo
Dec 05, 2020 04:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Jawad Zarif amemjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Heiko Maas ambaye ametaka mapatano ya nyuklia ya JCPOA yajadiliwe upya.
-
Hotuba ya Zarif kwa mnasaba wa miaka 75 ya kuasisiwa UN; kubainisha wasiwasi na matumaini
Oct 28, 2020 04:21Umoja wa Mataifa uliasisiwa miaka 75 iliyopita ukiwa na malengo mawili. Mosi kulinda na kuimarisha amani duniani.
-
Zarif: Njama za Marekani za kuwaua Wairani kwa njaa ni jinai dhidi ya binadamu
Oct 09, 2020 07:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuiwekea Jamhuri ya Kiislamu vikwazo vipya vya kibenki na kusisitiza kuwa, taifa hili bila shaka litavuka salama udhalimu na ukatili huu mpya wa Washington.
-
Zarif: Trump anawatumia watawala vibaraka wa Kiarabu kama chombo cha kampeni
Sep 15, 2020 08:12Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jitihada zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani za kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya utawala haramu wa Israel na nchi kadhaa za Kiarabu zinaashiria wazi kuwa mwanasiasa huyo wa chama cha Republican anataka kutumia hatua hiyo kama wenzo wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Novemba mwaka huu.
-
Zarif amhutubu Trump: Hakuna vita vibaya na vita vizuri
Sep 11, 2020 08:12Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemhutubu Rais Donald Trump wa Marekani na kumwambia kwamba, hakuna kitu kinachofahamika kama vita vizuri, na kusisitiza kuwa vita vyote ni vibaya.
-
Zarif aipa Marekani somo la sheria baaada ya kubwagwa mara 3 katika UNSC
Aug 29, 2020 07:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza kushangazwa kwake na kitendo cha Marekani cha kutishia tena kumwekea vikwazo mtu au taasisi yoyote inayoshirikiana na Iran, licha ya kupigwa mweleka mara tatu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Zarif aushangaa uchu wa Pompeo wa kurundika silaha za US Asia Magharibi
Aug 25, 2020 08:06Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkosoa vikali Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani kwa kuvunja sheria za nchi hiyo ili kukidhi uchu wake wa kutaka kuuza silaha za kijeshi kwa wingi katika nchi za eneo la Asia Magharibi.
-
Zarif: Safari ya Mkuu wa IAEA Iran haina uhusiano na 'Snapback Mechanism'
Aug 24, 2020 11:59Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema safari ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi hapa nchini haina mfungamano wowote na utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran unaofahamika kama 'Snapback Mechanism'.
-
Zarif: Iran na Iraq zinapaswa kuwa macho na tayari kukabiliana na ugaidi
Jul 19, 2020 11:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Iraq daima zinapaswa kuwa macho na tayari kwa ajili ya kukabiliana na njama za magenge ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) katika eneo hili la Asia Magharibi.
-
Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake
Jul 17, 2020 08:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria juu ya makubaliano ya miaka 25 ya ushirikiano kati ya Iran na China na kusisitiza kuwa, katu Jamhuri ya Kiislamu haitapeana hata shibri moja ya ardhi yake au kuipa nchi yoyote ile ikiwemo China, haki maalumu ya kutumia maeneo yake.