-
Zarif: Mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Srebrenica yalitokana na Ulaya kufeli kutekeleza wajibu wake
Jul 12, 2020 03:37Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mauaji ya kimbari ya maelfu ya Waislamu wa Srebrenica yalifanyika kutokana na Ulaya kufeli kutekeleza majukumu yake ya msingi.
-
Zarif: Marekani haiheshimu haki yoyote ya binadamu
Jun 28, 2020 07:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani imeshindwa kuheshimu haki zozote za msingi za binadamu, na imefanya hivyo kuanzia kuupa utawala wa Iraq silaha za kemikali dhidi ya Iran hadi kuliwekea vikwazo na kulifanyia ugaidi wa kiuchumi taifa la Iran.
-
Waziri Zarif aelekea Russia baada ya kuitembelea Uturuki
Jun 16, 2020 08:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameelekea Moscow, mji mkuu wa Russia katika ziara rasmi ya kikazi baada ya kuitembelea Uturuki na kukutana na viongozi wa ngazi za juu wa nchi hiyo.
-
Zarif asema uhusiano wa Iran na Uturuki katika nyuga tofauti ni wa karibu sana
Jun 15, 2020 07:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu na Uturuki zina uhusiano mzuri wa na karibu sana katika nyuga mbali mbali.
-
"Iran ipo tayari kuzipa nchi za Afrika uzoefu wake wa kukabiliana na corona"
May 26, 2020 02:57Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyapa mataifa ya Afrika uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
-
Iran yalaani chokochoko za Marekani Ghuba ya Uajemi, yamuita balozi wa Uswisi
Apr 24, 2020 02:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya wanajeshi wa baharini wa Iran katika Ghuba ya Uajemi, sambamba na kukosoa bwabwaja na vitisho vya Rais Donald Trump dhidi ya askari hao wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH).
-
Zarif: Iran inashirikiana na UN kuhitimisha matatizo ya Wayemen
Apr 21, 2020 07:59Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii inashirikiana na Umoja wa Mataifa katika jitihada za kuhakikisha kuwa matatizo na changamoto zinazowakabili wananchi wa Yemen zinafikia tamati.
-
Waziri Zarif: Pompeo ni Waziri wa Chuki wa Marekani
Mar 26, 2020 11:08Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali mienendo ya mwenzake wa Marekani, Mike Pompeo ya kueneza chuki, uhasama na propaganda dhidi ya Iran na kumtaja waziri huyo wa utawala wa Donald Trump kama Waziri wa Chuki.
-
Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona
Mar 20, 2020 12:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa njia ya simu na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Kenya, Nigeria na Bulgaria juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona unaoendelea kuzisumbua nchi mbali mbali duniani.
-
Zarif aitaka EU ipuuze vikwazo haramu vya Marekani dhidi ya Iran
Mar 17, 2020 08:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaka Umoja wa Ulaya uache kuifuata kibubusa Marekani katika kuliwekea taifa hili vikwazo vya upande mmoja, haramu na visivyo vya kisheria.