Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Javad Zarif

  • Zarif aitaka dunia izuie ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya Iran

    Zarif aitaka dunia izuie ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya Iran

    Mar 16, 2020 02:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewaandikia barua mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa nchi mbali mbali duniani, akiwaomba wazuie na kukomesha ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Zarif asisitiza udharura wa kuondolewa vikwazo vyote haramu vya Marekani dhidi ya Iran

    Zarif asisitiza udharura wa kuondolewa vikwazo vyote haramu vya Marekani dhidi ya Iran

    Mar 12, 2020 15:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif, amemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akisisitiza ulazima wa kuondolewa vikwazo haramu vya upande mmoja ilivyoekewa Iran na Marekani.

  • Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani umegeuka na kuwa ugaidi wa kimatibabu

    Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani umegeuka na kuwa ugaidi wa kimatibabu

    Mar 08, 2020 02:45

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Rais Donald Trump ameshadidisha vikwazo haramu vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya Iran kwa lengo la kufyonza rasilimali za taifa hili zinazohitajika kwa ajili ya kupambana na virusi hatari vya Corona.

  • "Njia sahihi ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo, ni Ulaya kufungamana na JCPOA"

    Feb 16, 2020 08:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inataraji kuwa nchi za Ulaya zitafungamana na ahadi zake kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama zilizovyoahidi, na kwamba hatua hiyo ndiyo njia pekee na sahihi ya kuyapatia ufumbuzi matatizo yaliyopo.

  • "Ni fedheha kwa Marekani kuwaunga mkono Wairani wanaofanya fujo"

    Nov 19, 2019 08:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni fedheha kwa Marekani kutangaza wazi wazi kuwa inawaunga mkono wanaofanya fujo na kuzusha ghasia kwa kisingizio cha kulalamikia ongezeko la bei ya petroli hapa nchini.

  • Zarif: EU haijachukua hatua yoyote ya maana ya kulinda JCPOA

    Zarif: EU haijachukua hatua yoyote ya maana ya kulinda JCPOA

    Nov 12, 2019 08:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezikosoa nchi za Ulaya kwa kuakhirisha ahadi zao na kufeli kufungamana na mapatano ya nyuklia ya JCPOA, huku zikiitaka Tehran ifungamane kikamilifu na makubaliano hayo.

  • Zarif: Nchi za Ulaya zifungamane na mapatano ya JCPOA

    Zarif: Nchi za Ulaya zifungamane na mapatano ya JCPOA

    Nov 06, 2019 03:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri wa Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Ulaya zifungamane na ahadi zao katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) .

  • Iran yakosoa ukatili wa Marekani wa kumzuia Zarif kumtembelea balozi hospitalini

    Iran yakosoa ukatili wa Marekani wa kumzuia Zarif kumtembelea balozi hospitalini

    Sep 28, 2019 11:11

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amekosoa vikali kitendo cha kikatili cha Marekani cha kumzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kumtembelea Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ambaye amelazwa hospitalini mjini New York.

  • Zarif: Vikwazo vya Marekani vinawalenga wananchi wa kawaida wa Iran

    Zarif: Vikwazo vya Marekani vinawalenga wananchi wa kawaida wa Iran

    Sep 19, 2019 13:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali hatua ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani ya kutangaza vikwazo vipya dhidi ya taifa hili na kusisitiza kuwa, kushadidishwa ugaidi huo wa kiuchumi kwa mara nyingine kumeonesha namna Washington inavyowalenga Wairani wa kawaida.

  • Zarif: Israel, mwana kilizi, ndiye mmiliki halisi wa silaha za nyuklia

    Zarif: Israel, mwana kilizi, ndiye mmiliki halisi wa silaha za nyuklia

    Sep 10, 2019 07:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu matamshi ya kijuba ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, aliyedai kuwa ana ushahidi mpya unaoonesha kuwa Tehran inaunda kwa siri silaha za nyuklia; ambapo amesema kauli hiyo ya kichochezi ya Benjamin Netanyahu inalenga kufanikisha ajenda ya vita ya utawala huo haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS