Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Zarif aziasa nchi za Ulaya kusimama kidete mkabala wa vitisho vya Trump

    Zarif aziasa nchi za Ulaya kusimama kidete mkabala wa vitisho vya Trump

    Jan 22, 2020 09:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Marekani ya kutoa vitisho vipya vya kuziwekea nchi za Ulaya ushuru mpya wa kibishara inadhihirisha kuwa, kutumbukia nchi za EU kwenye mtego wa Rais Donald Trump kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kumekuwa na maslahi zaidi kwa kiongozi huyo wa Marekani na sio kwa nchi hizo za Ulaya.

  • Russia yatoa indhari kwa Troika ya Ulaya kwa kuamua kutekeleza utaratibu wa kutatua mzozano katika JCPOA

    Russia yatoa indhari kwa Troika ya Ulaya kwa kuamua kutekeleza utaratibu wa kutatua mzozano katika JCPOA

    Jan 18, 2020 11:40

    Mwakilishi wa Russia katika mashirika ya kimataifa yaliyoko Vienna na katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki amesema, nchi yake imetoa indhari kwa Troika ya Ulaya kuhusu matokeo hasi ya hatua yake ya kutekeleza utaratibu wa kutatua mzozano katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Pendekezo la mazungumzo mapya ya nyuklia linaonesha udhaifu wa Ulaya

    Pendekezo la mazungumzo mapya ya nyuklia linaonesha udhaifu wa Ulaya

    Jan 18, 2020 04:07

    Balozi wa Iran mjini Paris amesema pendekezo la kutaka kufanyika mazungumzo mapya kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran linaonesha udhaifu wa Ulaya na ni dhihirisho wazi kuwa nchi hizo zina uepesi wa kuvunja mapatano.

  • Kufichuka siri ya Trump alivyoishinikiza Troika ya Ulaya itekeleze 'Utaratibu wa Kifyatuo' katika JCPOA

    Kufichuka siri ya Trump alivyoishinikiza Troika ya Ulaya itekeleze 'Utaratibu wa Kifyatuo' katika JCPOA

    Jan 16, 2020 23:18

    Licha ya madai zinayotoa nchi za Ulaya kuhusu ulazima wa kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Troika ya nchi hizo inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza, siku ya Jumanne ya tarehe 14 Januari iliamua kutekeleza utaratibu wa kusuluhisha mzozano katika JCPOA, ambao kimsingi unatoa kitisho kwa Iran cha kuwekewa tena vikwazo vya nyuklia vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Kutekelezwa utaratibu wa kutatua hitilafu katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Kutekelezwa utaratibu wa kutatua hitilafu katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 15, 2020 09:22

    Nchi tatu za Ulaya zimeamua kutekeleza utaratibu wa kutatua hitilafu katika mapatano ya nyuklia ya Iran ambayo yanajulikana rasmi kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).

  • Umoja wa Mataifa wasisitiza kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Umoja wa Mataifa wasisitiza kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 15, 2020 09:10

    Umoja wa Mataifa umezitaka pande zote husika katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) kufanya kila ziwezalo kuhakikisha kwamba, zinayadumisha makubaliano hayo muhimu ya kimataifa.

  • Umoja wa Ulaya: Hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Umoja wa Ulaya: Hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 14, 2020 23:20

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya ametangaza kuwa hakuna mbadala wowote wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Madai ya Umoja wa Ulaya kwamba eti umefungamana na mapatano ya JCPOA

    Madai ya Umoja wa Ulaya kwamba eti umefungamana na mapatano ya JCPOA

    Jan 12, 2020 08:21

    Umoja wa Ulaya, ambao Mkuu wake wa Siasa zake za Nje wakati yalipofikiwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA alikuwa ni Federica Mogherini, aliyeongoza timu ya umoja huo katika mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi kufikiwa mwafaka kati ya Tehran na kundi la 5+1, unajulikana kama moja ya waungaji mkono wa JCPOA.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera za mashinikizo ya juu kabisa

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; muendelezo wa sera za mashinikizo ya juu kabisa

    Jan 11, 2020 04:43

    Katika zama za utawala wa Rais Donald Trump, serikali ya Marekani imekuwa ikifuatilia sera za mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Iran na katika fremu hiyo mnamo Mei 8 2018, Washington ilitangaza kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na baada ya hapo ikaweka vikwazo shadidi zaidi dhidi ya Iran. Pamoja na kuwa vikwazo hivyo havijafikia malengo yaliyokusudiwa, Marekani inasisitiza kuendeleza sera yake ya kushadidisha vikwazo.

  • UK: Umoja wa Ulaya utaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    UK: Umoja wa Ulaya utaendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jan 11, 2020 04:32

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza alisema jana Ijumaa baada ya kikao cha dharura cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji kwamba, nchi yake pamoja na Umoja wa Ulaya wataendelea kuheshimu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS