-
AEOI: Iran ipo tayari kuimarisha urutubishaji urani JCPOA ikifeli
Jul 18, 2018 02:56Behrouz Kamalvandi, Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) amesema Tehran iko tayari kuimarisha urutubishaji urani kwa kiwango cha juu iwapo jitihada za Umoja wa Ulaya za kuyanasuru makubaliano ya nyuklia ya Iran zitagonga mwamba.
-
Kamal Kharrazi: Ulimwengu usimame na kukabiliana na ubeberu wa Marekani
Jul 15, 2018 23:08Mkuu wa Baraza la Kistratijia la Uhusiano wa Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya taifa hili ni vya kidhulma na kuongeza kwamba, jamii ya kimataifa inapaswa kusimama kidete na kukabiliana na vikwazo hivyo.
-
Zarif: JCPOA imethibitisha Marekani haiaminiki hata kidogo
Jul 14, 2018 23:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akizungumza kwa munasaba wa kufikiwa mapatano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, baina ya Iran madola sita makubwa ya kundi la 5+1 amesema: 'JCPOA imethibitisha kuwa serikali ya Marekani haiwezi kuaminika hata kidogo."
-
Rais Rouhani amtumia ujumbe mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni
Jul 12, 2018 10:31Mjumbe maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkabidhi Rais Yoweri Museveni wa Uganda ujumbe wa maandishi kutoka kwa mwenzake wa Iran.
-
Wizara ya Fedha ya Marekani imegeuka kuwa kitovu cha vita vya kiuchumi dhidi ya Iran
Jul 10, 2018 09:12Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Wizara ya Fedha ya Marekani imegeuka na kuwa kitovu cha vita vya kiuchumi dhidi ya Iran."
-
Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA
Jul 09, 2018 08:01Akizungumza hivi karibuni na gazeti la Ujerumani la Der Spiegel Madeleine Albright, Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ya kujiondoka katika mapatano muhimu ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa hatua hiyo inakinzana moja kwa moja na malengo aliyoyatangaza mwenyewe.
-
Zarif: Kikao cha Vienna kimesisitiza kuhusu kudhaminiwa maslahi ya taifa la Iran
Jul 06, 2018 09:52Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maslahi ya taifa la Iran lazima yadhaminiwe kwa mujibu wa mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA, na hilo ni jambo ambalo pia madola matano yaliyosalia katika JCPOA yanasisitiza.
-
Kifurushi 'cha kukatisha tamaa' cha Ulaya; kuendelea JCPOA kutategemea kikao cha Vienna
Jul 06, 2018 09:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa njia ya simu na Angela Merkel, Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa na kuwafahamisha kwamba kifurushi cha kiuchumi cha Umoja wa Ulaya kilichowasilishwa kwa Iran ni cha 'kukatisha tamaa'.
-
Rais Rouhani: JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu
Jul 04, 2018 09:21Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni makubaliano muhimu mno kwa Iran, Umoja wa Ulaya na ulimwengu kwa ujumla.
-
Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Jul 04, 2018 02:53Maya Kuchiánchik, Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitizia azma ya Brussels kwa ajili ya kutekeleza kikamilifu na kwa namna chanya, makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).