Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Marais wa Iran na Uswisi wataka kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Marais wa Iran na Uswisi wataka kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Jul 03, 2018 11:13

    Marais wa Iran an Uswisi wametilia mkazo udharura wa kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama matunda makubwa ya kisiasa na kusema, kulindwa kwa makubaliano hayo kuna manufaa kwa usalama na amani ya kimataifa.

  • Safari ya Rais Rouhani Uswisi na Austria kwa malengo muhimu ya uhusiano wa pande mbili na kimatiafa

    Safari ya Rais Rouhani Uswisi na Austria kwa malengo muhimu ya uhusiano wa pande mbili na kimatiafa

    Jul 03, 2018 02:49

    Rais Hassan Rouani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu alianza safari ya kuzitembelea Uswisi na Austria kufuatia mwaliko wa viongozi wa wa nchi hizo mbili za Ulaya. Rais Rouhani anaongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi katika safari hiyo

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran

    Umoja wa Ulaya wasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran

    Jul 03, 2018 00:08

    Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amesisitzia kuwa umoja huo unataka mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana rasmi kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji,JCPOA, yatekelezwe kikamilifu.

  • Onyo la Trump kwa mashirika ya Ulaya; hatua mpya ya kuvuruga mapatano ya JCPOA

    Onyo la Trump kwa mashirika ya Ulaya; hatua mpya ya kuvuruga mapatano ya JCPOA

    Jul 02, 2018 22:39

    Rais Donald Trump wa Marekani ameonya kwamba atayawekea vikwazo mashirika yote ya Ulaya ambayo yataamua kufanya biashara na Iran.

  • Qassemi: Iran haijapokea pendekezo la JCPOA kutoka Umoja wa Ulaya

    Qassemi: Iran haijapokea pendekezo la JCPOA kutoka Umoja wa Ulaya

    Jun 30, 2018 11:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria habari kuwa Umoja wa Ulaya umewasilisha pendekezo la kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana rasmi kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, (JCPOA), na kusema, "hadi sasa Iran haijapokea kifurushi cha mapendekezo kutoka Umoja wa Ulaya."

  • Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Mogherini: EU imekipigia kura ya ndio kifurushi cha kuiunga mkono Iran kuhusiana na JCPOA

    Jun 29, 2018 23:55

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini amesema kuwa umoja huo umekipigia kura 28 za ndio kifurushi cha kuiunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika fremu ya makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Russia: Pande zote ndani ya JCPOA zijawajibike kuyalinda makubaliano hayo

    Russia: Pande zote ndani ya JCPOA zijawajibike kuyalinda makubaliano hayo

    Jun 29, 2018 11:00

    Mwakilishi wa Russia katika Taasisi za Kimataifa mjini Vienna Austria amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni muhimu sana na kwamba nchi zilizosalia katika makubaliano hayo zinapasa kuyalinda.

  • Russia yasisitiza kwa mara nyingine kuwa hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA

    Russia yasisitiza kwa mara nyingine kuwa hakuna mbadala wa mapatano ya nyuklia ya Iran, JCPOA

    Jun 29, 2018 00:16

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia kwa mara nyingine imesisitiza kuwa nchi hiyo inaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imevuka njama za adui

    Rouhani: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imevuka njama za adui

    Jun 26, 2018 10:16

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia njama zinazofanywa na Marekani dhidi ya Iran tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini na kkusema kuwa, taifa na mfumo wa Iran umevuka njama za adui katika vipindi mbalimbali kutokana na kuwa macho na makini.

  • Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Iran: Mapatano ya nyuklia ya JCPOA bado yako hai

    Jun 25, 2018 10:25

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, licha ya kwamba Marekani imejitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA lakini makubaliano hayo ya kimataifa bado yako hai na mazungumzo juu ya namna ya kuendeleza ushirikiano kupitia mapatano hayo yangali yanaendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS