-
Safari ya Jean-Yves Le Drian mjini Tehran: Mazungumzo ya wazi na kinagaubaga
Mar 05, 2018 03:54Leo Iran ni mwenyeji wa Jean-Yves Le Drian Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ambaye amewasili mapema leo alfajiri katika mji mkuu, Tehran kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa Iran.
-
Iran: Tutajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia iwapo hayatakuwa na maslahi kwetu
Feb 28, 2018 04:35Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itajiondoa mara moja kwenye makubaliano ya nyuklia iwapo itahisi mapatano hayo hayana maslahi kwa taifa hili.
-
Araqchi: Uwepo wa Iran nchini Syria ni kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Feb 22, 2018 11:06Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwepo wa kiushauri wa Iran huko Iraq na Syria na kupambana na ugaidi umeyakwaza makundi ya kigaidi na kuyafanya yashindwe kuwa na udhibiti katika Mashariki ya Kati ikiwemo Lebanon.
-
Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran
Feb 18, 2018 04:12Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Mshauri wa Usalama wa Taifa katika utawala wa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran.
-
Ban Ki-moon: JCPOA ni mfano mzuri wa kutatuliwa mgogoro wa Rasi ya Korea
Feb 11, 2018 01:01Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon, ameyaelezea mapatano ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi 6 kubwa za dunia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA kuwa ni mfano mzuri kwa ajili ya kutatuliwa mgogoro wa Rasi ya Korea.
-
Russia: Suala la kuangaliwa upya makubaliano ya JCPOA halipo
Feb 10, 2018 04:14Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, suala la kuangalia upya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA halipo.
-
IAEA na EU zatetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Feb 09, 2018 00:00Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na Umoja wa Ulaya (EU) zimetetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi za kundi la 5+1.
-
Russia yatoa indhari kuhusu matokeo yasiyotabirika endapo makubaliano ya nyuklia na Iran yatavunjika
Feb 08, 2018 00:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov ameonya kuwa kuvunjika makubaliano ya nyuklia na Iran kunaweza kuwa na matokeo yasiyoweza kutabirika.
-
Domokaya na makelele ya Trump hayawezi kubadilisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Feb 08, 2018 00:25Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha misimamo ya Tehran kuhusiana na matukio ya kieneo na kimataifa katika mkutano wake na waandishi wa habari wa ndani na wa nje na kusema kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwamba, katu hakutoongezwa au kupunguzwa chochote katika makubaliano hayo.
-
Onyo la Russia kuhusu juhudi za Marekani kutaka kubadili mapatano ya JCPOA
Feb 07, 2018 10:36Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameonya kwamba juhudi zinazofanywa na serikali ya Washington kwa madhumuni ya kuyafanyia mabadiliko ya kimsingi mapatano ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na nchi 6 kubwa za dunia yanayojulikana kwa ufupisho wa JCPOA hatimaye zitapelekea kusambaratika kwa mapatano hayo.