Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza atembelea Iran asisitiza kuheshimu JCPOA

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza atembelea Iran asisitiza kuheshimu JCPOA

    Dec 09, 2017 11:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Boris Johnson leo amekutna na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif hapa mjini Tehran na kusisitiza kuwa London inasisitiza kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).

  • Mogherini asisitiza  tena EU inafungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran

    Mogherini asisitiza tena EU inafungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran

    Dec 01, 2017 12:14

    Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya kwa mara nyingine amesisitiza kuwa EU itaendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia baina ya Iran na kundi la 5+1.

  • Zarif: Iran iko Syria kwa

    Zarif: Iran iko Syria kwa "ombi rasmi" la serikali ya Damascus

    Dec 01, 2017 01:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwepo Iran nchini Syria kumetokana na ombi rasmi la serikali ya nchi hiyo.

  • Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kwamba Iran imefungamana na makubaliano ya JCPOA

    Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kwamba Iran imefungamana na makubaliano ya JCPOA

    Nov 25, 2017 00:52

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa Iran imefungamana na kutekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Ripoti mpya ya IAEA yathibitisha kufungamana Iran na makubaliano ya JCPOA

    Ripoti mpya ya IAEA yathibitisha kufungamana Iran na makubaliano ya JCPOA

    Nov 23, 2017 10:55

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) kwa mara nyingine tena umethibitisha katika ripoti yake mpya ya msimu kuwa Iran imetekeleza majukumu yake kuhusu makubaliano ya JCPOA.

  • EU: Hakuna uwezekano wa kujadiliwa upya makubaliano ya nyuklia ya Iran

    EU: Hakuna uwezekano wa kujadiliwa upya makubaliano ya nyuklia ya Iran

    Nov 21, 2017 10:48

    Afisa mwandamizi wa taasisi moja ya Umoja wa Ulaya amesema hakuna uwezekano wala mpango wowote wa kuyadili upya makubaliano ya nyuklia ya Iran.

  • Ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA na tabia ya Marekani ya kutotekeleza majukumu yake

    Ukiukaji wa makubaliano ya JCPOA na tabia ya Marekani ya kutotekeleza majukumu yake

    Nov 19, 2017 13:34

    Mwenendo wa Marekani wa kukiuka makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran JCPOA kwa kifupi umeingia katika awamu mpya baada ya matamshi yaliyotolewa na Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Iran: Ripoti mpya ya IAEA inakinzana na madai hewa ya Marekani kuhusu JCPOA

    Iran: Ripoti mpya ya IAEA inakinzana na madai hewa ya Marekani kuhusu JCPOA

    Nov 14, 2017 01:09

    Balozi wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amesema ripoti ya hivi punde ya wakala huo sanjari na kuthibitisha kuwa Tehran imefungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna, lakini pia imekinzana na tuhuma zisizo na msingi zilizotolewa na Washington kuhusu mapatano hayo ya kimataifa.

  • EU yapinga takwa la Marekani la kutaka mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    EU yapinga takwa la Marekani la kutaka mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Nov 09, 2017 00:19

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesisitiza kuwa haiwezekani kufanya mazungumzo mpya kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji JCPOA.

  • Salehi: Marekani inafanya njama za kufuta makubaliano ya JCPOA

    Salehi: Marekani inafanya njama za kufuta makubaliano ya JCPOA

    Nov 04, 2017 23:40

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Marekani inataka kuyasambaratisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa gharama za Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS