Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

jeshi

  • Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Feb 17, 2021 02:26

    Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la mazoezi mseto ya usalama wa baharini katika eneo la kaskazini mwa Bahari ya Hindi ni kufikia usalama jumla kieneo. Aidha ameongeza kuwa, Jeshi la Majini la India sasa litajiunga na majeshi ya majini ya Iran na Russia katika mazoezi hayo.

  • Meli kubwa zaidi ya kivita iliyoundwa Iran yazinduliwa rasmi

    Meli kubwa zaidi ya kivita iliyoundwa Iran yazinduliwa rasmi

    Jan 13, 2021 08:08

    Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limepokea meli yake kubwa zaidi ya kivita ambayo imeundwa nchini Iran. Meli hiyo kubwa ya kivita ambayo imeundwa kikamlifu na wataalamu wa Iran ina uwezo wa kusheheni helikopta kadhaa kwa ajili ya oparehseni muhimu za baharini.

  • Majeshi ya Yemen: Tutaendelea kupambana na wavamizi hadi ushindi wa mwisho

    Majeshi ya Yemen: Tutaendelea kupambana na wavamizi hadi ushindi wa mwisho

    Jan 11, 2021 00:41

    Msemaji wa Majeshi ya Yemen amesisitiza kuwa wapiganaji wa nchi hiyo wataendelea kupambana na wavamizi hadi ushindi wa mwisho utakapopatikana.

  • Misafara mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Misafara mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Dec 26, 2020 02:41

    Duru za kiusalama nchini Iraq zimeripoti kuwa misafara mingine mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani imeshambuliwa katika maeneo ya Dhi Qar, Diwaniya na Babil.

  • Harakati ya Polisario yashambulia ngome za jeshi la Morocco

    Harakati ya Polisario yashambulia ngome za jeshi la Morocco

    Nov 28, 2020 04:40

    Harakati ya Polisario imezishambulia ngome za Morocco katika eneo la Karkarat kusini mwa Sahaha Magharibi.

  • Baada ya kuzingirwa kila upande, wanajeshi wa Uturuki waondoka kwenye kambi nyingine nchini Syria

    Baada ya kuzingirwa kila upande, wanajeshi wa Uturuki waondoka kwenye kambi nyingine nchini Syria

    Nov 08, 2020 11:28

    Duru mbalimbali za habari zimetangaza kuwa, wanajeshi wa Uturuki wameondoka katika kambi nyingine ya viunga vya kusini mwa mji wa Idlib wa magharibi mwa Syria na kukimbilia katika maeneo mengine yanayodhibitiwa na waasi wa nchi hiyo.

  • Iran yatuma zana za kivita  katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Iran yatuma zana za kivita katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Nov 06, 2020 10:39

    Jeshi la nchi kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetuma zana za kivita na wanajeshi katika ukanda wa mpaka wa Iran na Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan.

  • Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Oct 20, 2020 12:11

    Askari jeshi wa Iraq wamewatia mbarono magaidi watano wa kundi la kitakfiri la Daesh katika oparesheni waliyoifanya katika mkoa wa Salahuddin nchini humo.

  • Umoja wa Afrika warejesha uanachama wa Mali baada ya ECOWAS kufuta vikwazo

    Umoja wa Afrika warejesha uanachama wa Mali baada ya ECOWAS kufuta vikwazo

    Oct 09, 2020 12:39

    Umoja wa Afrika Ijumaa ya leo umetangaza kurejesha uanachama wa nchi ya magharibi mwa Afrika ya Mali uliosimamishwa baada ya wanajeshi wa nchi hiyo kuiondoa madarakani serikali halali ya nchi hiyo mwezi Agosti mwaka huu.

  • Marekani yaendelea kupora mafuta ya Syria, malori 30 yahamishiwa Iraq

    Marekani yaendelea kupora mafuta ya Syria, malori 30 yahamishiwa Iraq

    Sep 20, 2020 07:47

    Shirika rasmi la habari la Syria SANA limeripoti kuwa, askari wa jeshi la kigaidi la Marekani wameiba malori 30 ya mafuta ya nchi hiyo na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS