-
Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi
Feb 17, 2021 02:26Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la mazoezi mseto ya usalama wa baharini katika eneo la kaskazini mwa Bahari ya Hindi ni kufikia usalama jumla kieneo. Aidha ameongeza kuwa, Jeshi la Majini la India sasa litajiunga na majeshi ya majini ya Iran na Russia katika mazoezi hayo.
-
Meli kubwa zaidi ya kivita iliyoundwa Iran yazinduliwa rasmi
Jan 13, 2021 08:08Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limepokea meli yake kubwa zaidi ya kivita ambayo imeundwa nchini Iran. Meli hiyo kubwa ya kivita ambayo imeundwa kikamlifu na wataalamu wa Iran ina uwezo wa kusheheni helikopta kadhaa kwa ajili ya oparehseni muhimu za baharini.
-
Majeshi ya Yemen: Tutaendelea kupambana na wavamizi hadi ushindi wa mwisho
Jan 11, 2021 00:41Msemaji wa Majeshi ya Yemen amesisitiza kuwa wapiganaji wa nchi hiyo wataendelea kupambana na wavamizi hadi ushindi wa mwisho utakapopatikana.
-
Misafara mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani yashambuliwa nchini Iraq
Dec 26, 2020 02:41Duru za kiusalama nchini Iraq zimeripoti kuwa misafara mingine mitatu ya jeshi la kigaidi la Marekani imeshambuliwa katika maeneo ya Dhi Qar, Diwaniya na Babil.
-
Harakati ya Polisario yashambulia ngome za jeshi la Morocco
Nov 28, 2020 04:40Harakati ya Polisario imezishambulia ngome za Morocco katika eneo la Karkarat kusini mwa Sahaha Magharibi.
-
Baada ya kuzingirwa kila upande, wanajeshi wa Uturuki waondoka kwenye kambi nyingine nchini Syria
Nov 08, 2020 11:28Duru mbalimbali za habari zimetangaza kuwa, wanajeshi wa Uturuki wameondoka katika kambi nyingine ya viunga vya kusini mwa mji wa Idlib wa magharibi mwa Syria na kukimbilia katika maeneo mengine yanayodhibitiwa na waasi wa nchi hiyo.
-
Iran yatuma zana za kivita katika mpaka wa magharibi mwa nchi
Nov 06, 2020 10:39Jeshi la nchi kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetuma zana za kivita na wanajeshi katika ukanda wa mpaka wa Iran na Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan.
-
Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq
Oct 20, 2020 12:11Askari jeshi wa Iraq wamewatia mbarono magaidi watano wa kundi la kitakfiri la Daesh katika oparesheni waliyoifanya katika mkoa wa Salahuddin nchini humo.
-
Umoja wa Afrika warejesha uanachama wa Mali baada ya ECOWAS kufuta vikwazo
Oct 09, 2020 12:39Umoja wa Afrika Ijumaa ya leo umetangaza kurejesha uanachama wa nchi ya magharibi mwa Afrika ya Mali uliosimamishwa baada ya wanajeshi wa nchi hiyo kuiondoa madarakani serikali halali ya nchi hiyo mwezi Agosti mwaka huu.
-
Marekani yaendelea kupora mafuta ya Syria, malori 30 yahamishiwa Iraq
Sep 20, 2020 07:47Shirika rasmi la habari la Syria SANA limeripoti kuwa, askari wa jeshi la kigaidi la Marekani wameiba malori 30 ya mafuta ya nchi hiyo na kuyahamishia nchi jirani ya Iraq.