Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

John Kerry

  • Kerry aiomba Iran isaidie kuhatimisha vita Syria na Yemen

    Kerry aiomba Iran isaidie kuhatimisha vita Syria na Yemen

    Apr 07, 2016 16:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry, ameomba msaada wa Iran ili kuhatimisha vita katika nchi za Syria na Yemen.

  • 'Kampeni za urais zinaiaibisha Marekani'

    'Kampeni za urais zinaiaibisha Marekani'

    Mar 28, 2016 07:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry amekiri kuwepo utovu wa nidhamu katika kampeni za uchaguzi wa rais nchini humo na kusema jambo hilo limepelekea Marekani kuaibika kimataifa.

  • John Kerry: Ni kweli Daesh wanafuata mafundisho yaliyo kinyume na Uislamu

    John Kerry: Ni kweli Daesh wanafuata mafundisho yaliyo kinyume na Uislamu

    Mar 18, 2016 03:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema kuwa, ni jambo lisilo na shaka kuwa, kundi la kigaidi la Daesh limetenda jinai kubwa dhidi ya binaadamu.

  • Kerry: US, Russia zitalenga Daesh na al-Nusra nchini Syria

    Kerry: US, Russia zitalenga Daesh na al-Nusra nchini Syria

    Mar 01, 2016 07:55

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amesema kuwa Washington na Moscow zimekubaliana kutojadili madai ya kukiuka makubaliano ya usitishaji vita nchini Syria ambayo yalianza kutekelezwa hivi karibuni na kuongeza kuwa vikosi vya nchi mbili hizo vitalenga tu kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na al-Nusra katika mashambulizi yao.

  • Lavrov amjibu Kerry kuhusu mustakabali wa Syria

    Lavrov amjibu Kerry kuhusu mustakabali wa Syria

    Feb 25, 2016 16:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema nchi yake na Marekani hazitofuatilia chaguo jengine kwa ajili ya Syria.

  • Kerry aisihi Seneti ya US kutopitisha vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Kerry aisihi Seneti ya US kutopitisha vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Feb 25, 2016 08:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amelishauri Bunge la Seneti la nchi hiyo lisipitisha vikwazo vipya dhidi ya Iran na badala yake kutoa fursa kwa utekelezwaji wa makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya Tehran na kundi la 5+1 mwaka uliopita.

  • Zarif: Wasyria wenyewe waamue mustakabali wao

    Zarif: Wasyria wenyewe waamue mustakabali wao

    Feb 14, 2016 01:54

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa uamuzi juu ya serikali ijayo ya Syria uko mikononi mwa wananchi wa nchi hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS