Balozi wa Iran nchini Uholanzi amesisitiza juu ya udharura wa kushtakiwa na kuadhibiwa waungaji mkono wa kigeni wa mpango wa silaha za kemikali wa utawala wa Baath wa Iraq uliokuuwa ukiongozwa na Saddam Hussein.
Jeshi la Marekani linachoma kwa siri mada moja ya kemikali ya sumu hatari kwa mwanadamu karibu na jamii za watu maskini zaidi nchini humo kwa lengo la kuziangamiza jamii hizo.
Afisa mmoja wa ngazi ya juu katika serikali ya Syria amesema kuwa, utawala wa Aal-Saud unalituhumu jeshi la Syria kwamba limetumia silaha za kemikali nchini humo kwa lengo la kuwaokoa magaidi wa Kiwahabi wa Jaishul-Islami.
Kundi moja kwa jina la "Kofia Nyeupe" limetoa mkanda bandia wa video kuhusu shambulio la kemikali lililotekelezwa hivi karibuni katika mji wa Khan Sheikhoun nchini Syria.
Jeshi la Syria limekadhibisha madai ya wapinzani kwamba limehusika na shambulio la silaha za kemikali katika mji wa Khan Sheikhoun, mkoani Idlib.
Mtafiti Muirani ameshinda Tuzo ya Kimataifa ya Mwanakemia Bora wa Kijani mwaka 2016.