Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Odinga: Uchaguzi wa 2022 utakuwa huru na wa haki, vijana watapewa nafasi zaidi

    Odinga: Uchaguzi wa 2022 utakuwa huru na wa haki, vijana watapewa nafasi zaidi

    Oct 12, 2021 10:20

    Kiongozi wa chama cha upinzani cha ODM, Raila Odinga amewahakikishia Wakenya kuwa uchaguzi wa urais wa 2022 utakuwa huru na wa haki.

  • Kenya yapinga mamlaka ya Mahakama ya UN kabla ya kutoa uamuzi kuhusu mpaka wa Somalia

    Kenya yapinga mamlaka ya Mahakama ya UN kabla ya kutoa uamuzi kuhusu mpaka wa Somalia

    Oct 08, 2021 23:59

    Kenya jana Ijumaa ilisema kuwa inapinga mamlaka rasmi ya utoaji maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kabla ya kutoa uamuzi wiki ijayo kuhusu mzozo wa muda mrefu wa eneo la bahari kati yake na Somalia.

  • Wabunge wa Kenya wataka Waziri wa Mambo ya Ndani atimuliwe

    Wabunge wa Kenya wataka Waziri wa Mambo ya Ndani atimuliwe

    Oct 08, 2021 13:11

    Baadhi ya Wabunge wa Kenya wanajianda kumuondoa mamlakani Waziri wa Masuala ya Ndani wa nchi hiyo, Fred Matiang'i.

  • Wakenya wapewa matumaini ya kupungua bei ya mafuta na ughali wa maisha

    Wakenya wapewa matumaini ya kupungua bei ya mafuta na ughali wa maisha

    Oct 03, 2021 11:22

    Wananchi wa Kenya wamepata matumaini ya kupungua bei ya mafuta nchini humo ambayo imekuwa mzigo kwa raia baada ya Mamlaka ya Kusimamia Kawi na Petroli Nchini (EPRA) kupandisha bei ya bidhaa hiyo.

  • Kenya yachukua urais wa UNSC, yatoa msimamo wake kuhusu hatima ya wakimbizi Wasomali

    Kenya yachukua urais wa UNSC, yatoa msimamo wake kuhusu hatima ya wakimbizi Wasomali

    Oct 02, 2021 00:05

    Balozi wa Kenya katika Umoja wa Mataifa amesema, katika kipindi cha urais wa mwezi mmoja wa nchi hiyo kwenye Baraza la Usalama la umoja huo mnamo mwezi huu wa Oktoba, itaitishwa mikutano minne ya ngazi ya juu ambapo miwili itahutubiwa na Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo na mingine miwili itakuwa ni ya ngazi ya mawaziri itakayohutubiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa taifa hilo la Afrika Mashariki Balozi Raychelle Omamo.

  • Rais Kenyatta anawataka Wakenya kutekeleza jukumu lao katika kulinda usalama wa nchi

    Rais Kenyatta anawataka Wakenya kutekeleza jukumu lao katika kulinda usalama wa nchi

    Sep 23, 2021 11:24

    Rais Uhuru Kenyatta amekumbusha Wakenya kutekeleza jukumu lao la kiraia la kuilinda nchi akisema usalama wa Kenya, uhuru wake na ustawi sio suala makhsusi kwa taasisi za usalama za serikali.

  • HRW yaikosoa Kenya kwa kushindwa kukabiliana na ongezeko la unyanyasaji wa kijinsia

    HRW yaikosoa Kenya kwa kushindwa kukabiliana na ongezeko la unyanyasaji wa kijinsia

    Sep 21, 2021 23:52

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeilaumu serikali ya Kenya kwa kushindwa kuchukua hatua za kukabiliana na ongezeko la vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vilivyojiri wakati wa maambukizi ya corona hususan wakati wa utekelezaji wa zuio la kusalia majumbani ili kuzuia maambukizi ya COVID-19.

  • Waziri wa zamani wa michezo Kenya ahepa kifungo cha miaka 6 jela kwa hatia ya ufisadi

    Waziri wa zamani wa michezo Kenya ahepa kifungo cha miaka 6 jela kwa hatia ya ufisadi

    Sep 16, 2021 09:05

    Habari za karibuni zinasema kuwa, aliyekuwa Waziri wa Michezo wa Kenya Hassan Wario sasa yuko huru baada ya kulipa faini ya shilingi milioni 3 saa chache baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kuhusiana na sakata ya Rio 2016.

  • Viongozi wa Kiislamu Kenya: Visa vya kupotezwa washukiwa vimeongezeka

    Viongozi wa Kiislamu Kenya: Visa vya kupotezwa washukiwa vimeongezeka

    Sep 13, 2021 06:39

    Viongozi wa Kiislamu nchini Kenya wameishutumu serikali kwa kuongezeka kwa visa vya kupotezwa washukiwa wa ugaidi nchini humo.

  • Maelfu ya Wakenya wataka kuelekea Saudia kutafuta kibarua licha ya manyanyaso wanayokumbana nayo

    Maelfu ya Wakenya wataka kuelekea Saudia kutafuta kibarua licha ya manyanyaso wanayokumbana nayo

    Sep 09, 2021 08:11

    Licha ya simulizi za kuatua moyo kuhusu madhila wanayopitia wakiwa huko Saudi Arabia, maelfu ya Wakenya wamekwama Nairobi wakilalamikia kuchelewa kupata tiketi ya ndege kwenda kufanyia kazi Uarabuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS