-
Washukiwa wanne wa ugaidi wajisalimisha nchini Kenya + Sauti
Jan 21, 2019 14:46Washukiwa wanne kati ya wanane waliokuwa wakisakwa na mamlaka za usalama nchini Kenya wamejisalimisha huku polisi wakizidisha msako kote nchini humo.
-
Polisi Kenya yazima shambulio jingine la al Shabaab
Jan 21, 2019 13:04Polisi ya Kenya imezima shambulio la wanamgambo wanaoshukiwa kuwa ni wa kundi la kigaidi la al Shabaab katika kampuni moja ya ujenzi inayomilikiwa na Wachina magharibi mwa nchi hiyo. Hayo yamesemwa leo na afisa mmoja wa Kenya siku chache baada ya kundi hilo la kigaidi kuuwa watu 21 jijini Nairobi.
-
Viongozi wa Kiislamu Kenya: Ugaidi hauna dini wala kabila
Jan 16, 2019 23:47Viongozi wa Waislamu nchini Kenya wamelaani shambulizi la kigaidi la hivi karibuni katika mji mkuu Nairobi, lililopelekea kuuawa makumi ya watu, huku wakisisitiza kuwa ugaidi hauna dini wala kabila.
-
Magaidi wasambaratishwa Dusit Hotel, majeshi ya Kenya yapongezwa
Jan 16, 2019 12:47Baada ya Rais Uhuru Kenya wa Kenya kulihutubia Taifa na kutangaza kumalizika shambulizi la kigaidi na utekaji nyara uliodumu kwa muda wa masaa 19 katika Hoteli ya Dusit jijini Nairobi, viongozi mbalimbali wakiwemo wanasiasa wamejitokeza kuvipongeza vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo kwa kufanikiwa kuwasambaratisha magaidi hao.
-
Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Kenya
Jan 16, 2019 12:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi hiyo jana na kusababisha watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa.
-
Watu kadhaa wauawa katika shambulizi la kigaidi Nairobi, Kenya
Jan 15, 2019 12:00Kwa akali watu watatu wamethibitishwa kuuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika shambulizi la kigaidi, lililotokea katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi.
-
Chama cha Madaktari Kenya: Madaktari wa Cuba hawajafuzu
Jan 06, 2019 04:50Chama cha Madaktari nchini Kenya KMA kimetilia shaka uzoefu na uwezo wa kitaaluma wa madaktari wa Cuba walioenda nchini humo mwaka jana.
-
Balozi wa Iran Nairobi ataka kuboreshwa ushirikiano na nchi za Afrika Mashariki
Jan 04, 2019 04:16Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu nchini Kenya ametoa wito wa kutayarishwa mazingira mazuri zaidi ya kupelekwa huduma za kiufundi na kihandisi za Iran katika nchi za mashariki mwa Afrika.
-
Jeshi la Kenya laua magaidi 7 wa al-Shabaab Somalia
Jan 02, 2019 03:52Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limetangaza kufanikiwa kuwaangamiza magaidi saba wa kundi la al-Shabaab na kuwajeruhi wengine kadhaa katika operesheni ya kusini mwa Somalia.
-
Rais Uhuru Kenyatta aongoza Wakenya katika maadhimisho ya Jamhuri Day + Sauti
Dec 12, 2018 13:27Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Jumatano ya leo amewaongoza Wakenya kuadhimisha miaka 55 ya uhuru wa nchi hiyo (Jamhuri Day) huku maelfu ya raia wakijitokeza katika viwanja mbalimbali nchini humo kuadhimisha siku hii. Saifullah Murtadha mwandishi wetu wa Mombasa ametuandalia ripoti ifuatayo.