-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu
Dec 06, 2017 14:35Ayatullah Ali Khamanei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezitaja Marekani na utawala haramu wa Israel kuwa Mafirauni wa zama na dunia ya leo.
-
Kiongozi Muadhamu: Sharti la mafanikio ni kuunganisha sayansi za jamii na misingi ya kidini
Nov 30, 2017 16:33Kongamano la Kimataifa la Qur'ani na Sayansi za Jamii (Humanities) limeanza leo katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran kwa kusomwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.
-
Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi
Nov 28, 2017 16:47Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran amesema tarehe 7 Azar (28 Novemba) ambayo ni siku ya Jeshi la Majini ni siku ya fahari na heshima, na siku ya kuenzi kujitolea mhanga kwa jeshi hilo.
-
Kiongozi asisitiza kupatiwa makazi walioathiriwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran
Nov 20, 2017 14:13Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ameshiriki katika kikao cha kuchunguza matatizo ya waliokumbwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran na kusema kipaumeble cha kwanza ni kuwajengea waathirika nyumba na kukarabati maeneo yaliyoharibiwa.
-
Kiongozi Muadhamu: Kuhitimishwa satwa ya Daesh ni pigo kwa Marekani na tawala tegemezi kwa Washington
Nov 22, 2017 08:07Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuhitimishwa satwa ya mti khabithi wa kundi la kigaidi la Daesh ni pigo kwa serikali za huko nyuma na za sasa za Marekani pamoja na tawala vibaraka na tegemezi kwa Washington katika Mashariki ya Kati ambazo zililianzisha kundi hili na kuliunga mkono kwa hali na mali ili zitanue satwa zao katika eneo hili na hivyo kuufanya utawala ghasibu wa Israel uwe na udhibiti wa eneo hili.
-
Ujumbe wa Jenerali Suleimani kwa Kiongozi Muadhamu, satwa ya ISIS imeangamizwa
Nov 21, 2017 07:58Kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, IRGC, amemtumia ujumbe Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akitangaza kuangamizwa satwa khabithi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
-
Kiongozi Muadhamu akagua maeneo yaliyoathiriwa na tetemeko la ardhi katika mkoa wa Kermanshah
Nov 20, 2017 08:16Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo ameelekea mkoani Kermanshah katika safari ya ghafla ya kukagua maeneo yaliyokumbwa na tetemeko la ardhi pamoja na kuonana na wananchi walioathirwa na janga hilo la kimaumbile.
-
Kiongozi Muadhamu atoa wito kwa viongozi kufanya hima ya kuwafikishia misaada waathirika wa tetemeko la ardhi
Nov 13, 2017 08:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea magharibi mwa Iran na kusababisha vifo vya mamia ya watu na wengine wengi kujerihiwa
-
Kiongozi Muadhamu: Masafa yaliyokatwa na Mapinduzi ya Kiislamu yanaleta matumaini mengi
Nov 09, 2017 17:21Husainia ya Imam Khomeini MA hapa mjini Tehran leo ilikuwa mwenyeji wa ujumbe mbalimbali wa wanachuo kutoka kona zote za Iran ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu za Arubaini ya Bwana wa Mashahidi, Aba Abdillahil Husain AS na wafuasi wake waaminifu, ambapo wanafunzi hao wa vyuo vikuu walikwenda kumtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kama sehemu ya maadhimisho hayo.
-
Kiongozi Muadhamu: Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni nembo ya hali ya juu
Nov 07, 2017 14:21Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia matembezi ya Arubiani ya Imam Hussein AS na kusema: "Wamebahatika wale ambao wako katika matembezi ya kuelekea katika Ziara ya Arubaini ambao wataisoma Ziara hiyo Siku ya Arubaini wakimhutubu Imam Hussein AS, Imamu wa tatu wa Mashia duniani."