Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Kiongozi: Moyo ya kishujaa, kujitolea na imani ni kinga mbele ya uadui wa maadui

    Kiongozi: Moyo ya kishujaa, kujitolea na imani ni kinga mbele ya uadui wa maadui

    Jan 02, 2018 11:51

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matukio ya hivi karibuni na njama za maadui wanaotaka kutoa pigo kwa Mfumo wa Kiislamu wa Iran na kusema: "kile ambacho kimemzuia adui kutekelelza uadui wake ni kuwepo moyo wa kishujaa, kujitolea na imani katika taifa."

  • Utambulisho Halisi wa Marekani kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Utambulisho Halisi wa Marekani kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Dec 28, 2017 01:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei Jumatano asubuhi katika mkutano na maafisa na wanachama wa Baraza la Kuhubiri Uislamu kutoka kote Iran aliashiria njama zisizo na kikomo za Marekani za kuvuruga na kuondoa matumaini katika taifa la Iran.

  • Kiongozi Muadhamu: Marekani ndio utawala fisadi na dhalimu zaidi ulimwenguni

    Kiongozi Muadhamu: Marekani ndio utawala fisadi na dhalimu zaidi ulimwenguni

    Dec 27, 2017 12:23

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ndio utawala fisadi na dhalimu zaidi ulimwenguni.

  • Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Rais wa Iran asisitiza juu ya Waislamu kuwa macho na Ubeberu na Uzayuni

    Dec 06, 2017 22:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya udharura wa Waiskamu kuwa macho na njama za maadui.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Dec 06, 2017 11:05

    Ayatullah Ali Khamanei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezitaja Marekani na utawala haramu wa Israel kuwa Mafirauni wa zama na dunia ya leo.

  • Kiongozi Muadhamu: Sharti la mafanikio ni kuunganisha sayansi za jamii na misingi ya kidini

    Kiongozi Muadhamu: Sharti la mafanikio ni kuunganisha sayansi za jamii na misingi ya kidini

    Nov 30, 2017 13:03

    Kongamano la Kimataifa la Qur'ani na Sayansi za Jamii (Humanities) limeanza leo katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran kwa kusomwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.

  • Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi

    Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi

    Nov 28, 2017 13:17

    Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran amesema tarehe 7 Azar (28 Novemba) ambayo ni siku ya Jeshi la Majini ni siku ya fahari na heshima, na siku ya kuenzi kujitolea mhanga kwa jeshi hilo.

  • Kiongozi asisitiza kupatiwa makazi walioathiriwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran

    Kiongozi asisitiza kupatiwa makazi walioathiriwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran

    Nov 20, 2017 10:43

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ameshiriki katika kikao cha kuchunguza matatizo ya waliokumbwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran na kusema kipaumeble cha kwanza ni kuwajengea waathirika nyumba na kukarabati maeneo yaliyoharibiwa.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuhitimishwa satwa ya Daesh ni pigo kwa Marekani na tawala tegemezi kwa Washington

    Kiongozi Muadhamu: Kuhitimishwa satwa ya Daesh ni pigo kwa Marekani na tawala tegemezi kwa Washington

    Nov 22, 2017 04:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuhitimishwa satwa ya mti khabithi wa kundi la kigaidi la Daesh ni pigo kwa serikali za huko nyuma na za sasa za Marekani pamoja na tawala vibaraka na tegemezi kwa Washington katika Mashariki ya Kati ambazo zililianzisha kundi hili na kuliunga mkono kwa hali na mali ili zitanue satwa zao katika eneo hili na hivyo kuufanya utawala ghasibu wa Israel uwe na udhibiti wa eneo hili.

  • Ujumbe wa Jenerali Suleimani kwa Kiongozi Muadhamu, satwa ya ISIS imeangamizwa

    Ujumbe wa Jenerali Suleimani kwa Kiongozi Muadhamu, satwa ya ISIS imeangamizwa

    Nov 21, 2017 04:28

    Kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, IRGC, amemtumia ujumbe Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akitangaza kuangamizwa satwa khabithi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS