Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kiongozi Muadhamu

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Bila shaka Palestina itakombolewa tu

    Dec 06, 2017 14:35

    Ayatullah Ali Khamanei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezitaja Marekani na utawala haramu wa Israel kuwa Mafirauni wa zama na dunia ya leo.

  • Kiongozi Muadhamu: Sharti la mafanikio ni kuunganisha sayansi za jamii na misingi ya kidini

    Kiongozi Muadhamu: Sharti la mafanikio ni kuunganisha sayansi za jamii na misingi ya kidini

    Nov 30, 2017 16:33

    Kongamano la Kimataifa la Qur'ani na Sayansi za Jamii (Humanities) limeanza leo katika mji mtakatifu wa Qum nchini Iran kwa kusomwa hotuba ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei.

  • Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi

    Amiri Jeshi Mkuu: Vikosi vya Majini viendeleze harakati yake ya mwendo wa kasi

    Nov 28, 2017 16:47

    Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran amesema tarehe 7 Azar (28 Novemba) ambayo ni siku ya Jeshi la Majini ni siku ya fahari na heshima, na siku ya kuenzi kujitolea mhanga kwa jeshi hilo.

  • Kiongozi asisitiza kupatiwa makazi walioathiriwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran

    Kiongozi asisitiza kupatiwa makazi walioathiriwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran

    Nov 20, 2017 14:13

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ameshiriki katika kikao cha kuchunguza matatizo ya waliokumbwa na tetemeko la ardhi magharibi mwa Iran na kusema kipaumeble cha kwanza ni kuwajengea waathirika nyumba na kukarabati maeneo yaliyoharibiwa.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuhitimishwa satwa ya Daesh ni pigo kwa Marekani na tawala tegemezi kwa Washington

    Kiongozi Muadhamu: Kuhitimishwa satwa ya Daesh ni pigo kwa Marekani na tawala tegemezi kwa Washington

    Nov 22, 2017 08:07

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kuhitimishwa satwa ya mti khabithi wa kundi la kigaidi la Daesh ni pigo kwa serikali za huko nyuma na za sasa za Marekani pamoja na tawala vibaraka na tegemezi kwa Washington katika Mashariki ya Kati ambazo zililianzisha kundi hili na kuliunga mkono kwa hali na mali ili zitanue satwa zao katika eneo hili na hivyo kuufanya utawala ghasibu wa Israel uwe na udhibiti wa eneo hili.

  • Ujumbe wa Jenerali Suleimani kwa Kiongozi Muadhamu, satwa ya ISIS imeangamizwa

    Ujumbe wa Jenerali Suleimani kwa Kiongozi Muadhamu, satwa ya ISIS imeangamizwa

    Nov 21, 2017 07:58

    Kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, IRGC, amemtumia ujumbe Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akitangaza kuangamizwa satwa khabithi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Kiongozi Muadhamu akagua maeneo yaliyoathiriwa na tetemeko la ardhi katika mkoa wa Kermanshah

    Kiongozi Muadhamu akagua maeneo yaliyoathiriwa na tetemeko la ardhi katika mkoa wa Kermanshah

    Nov 20, 2017 08:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo ameelekea mkoani Kermanshah katika safari ya ghafla ya kukagua maeneo yaliyokumbwa na tetemeko la ardhi pamoja na kuonana na wananchi walioathirwa na janga hilo la kimaumbile.

  • Kiongozi Muadhamu atoa wito kwa viongozi kufanya hima ya kuwafikishia misaada waathirika wa tetemeko la ardhi

    Kiongozi Muadhamu atoa wito kwa viongozi kufanya hima ya kuwafikishia misaada waathirika wa tetemeko la ardhi

    Nov 13, 2017 08:24

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea magharibi mwa Iran na kusababisha vifo vya mamia ya watu na wengine wengi kujerihiwa

  • Kiongozi Muadhamu: Masafa yaliyokatwa na Mapinduzi ya Kiislamu yanaleta matumaini mengi

    Kiongozi Muadhamu: Masafa yaliyokatwa na Mapinduzi ya Kiislamu yanaleta matumaini mengi

    Nov 09, 2017 17:21

    Husainia ya Imam Khomeini MA hapa mjini Tehran leo ilikuwa mwenyeji wa ujumbe mbalimbali wa wanachuo kutoka kona zote za Iran ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu za Arubaini ya Bwana wa Mashahidi, Aba Abdillahil Husain AS na wafuasi wake waaminifu, ambapo wanafunzi hao wa vyuo vikuu walikwenda kumtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kama sehemu ya maadhimisho hayo.

  • Kiongozi Muadhamu: Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni nembo ya hali ya juu

    Kiongozi Muadhamu: Matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS ni nembo ya hali ya juu

    Nov 07, 2017 14:21

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia matembezi ya Arubiani ya Imam Hussein AS na kusema: "Wamebahatika wale ambao wako katika matembezi ya kuelekea katika Ziara ya Arubaini ambao wataisoma Ziara hiyo Siku ya Arubaini wakimhutubu Imam Hussein AS, Imamu wa tatu wa Mashia duniani."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS