Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kombe la Dunia Qatar 2022

  • POLITICO: Saudia kutumia mabilioni ili iwe mwenyeji wa Kombe la Dunia

    POLITICO: Saudia kutumia mabilioni ili iwe mwenyeji wa Kombe la Dunia

    Feb 12, 2023 02:36

    Saudi Arabia imeripotiwa kutoa pendekezo kwa siri la kuwa tayari kugharamia ujenzi wa miundombinu yote kwa ajili ya michuano ya Kombe la Dunia inayotazamiwa kufanyika Ugiriki na Misri mwaka 2030.

  • Erdogan: Ronaldo alikalishwa benchi Kombe la Dunia kutokana na uungaji mkono kwa Palestina

    Erdogan: Ronaldo alikalishwa benchi Kombe la Dunia kutokana na uungaji mkono kwa Palestina

    Dec 26, 2022 11:48

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amedai kuwa nyota wa soka wa Ureno Cristiano Ronaldo alipigwa marufuku ya kisiasa wakati wa michuano ya Kombe la Dunia ya FIFA ya 2022 iliyomalizika hivi karibuni nchini Qatar kwa kuunga mkono Palestina.

  • Kufikia tamati mashindano ya soka ya Kombe la Dunia nchini Qatar na engo zake zisizo za kimichezo

    Kufikia tamati mashindano ya soka ya Kombe la Dunia nchini Qatar na engo zake zisizo za kimichezo

    Dec 20, 2022 07:39

    Pazia la mashindano ya soka ya Kombe la Dunia lilifungwa rasmi siku ya Jumapili kwa timu ya taifa ya soka ya Argentina kutwaa kombe hilo baada ya kumshinda bingwa mtetezi Ufaransa.

  • Iran: Kufanyika Kombe la Dunia kwa mafanikio ni fakhari kwa nchi za Kiislamu

    Iran: Kufanyika Kombe la Dunia kwa mafanikio ni fakhari kwa nchi za Kiislamu

    Dec 20, 2022 02:41

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kufanyika kwa mafanikio michuano ya Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar ni jambo la fakhari kwa nchi za Kiislamu.

  • Argentina bingwa wa soka Kombe la Dunia 2022

    Argentina bingwa wa soka Kombe la Dunia 2022

    Dec 18, 2022 18:53

    Timu ya taifa ya soka ya Argentina imetwaa Kombe la Dunia 2022 baada ya kuwasinda mabingwa watetezi Ufaransa kwa mikwaju ya penalti.

  • Morocco yawashtaki waamuzi wa mechi ya nusu fainali Kombe la Dunia, yasema waliipendelea Ufaransa

    Morocco yawashtaki waamuzi wa mechi ya nusu fainali Kombe la Dunia, yasema waliipendelea Ufaransa

    Dec 16, 2022 08:01

    Shirikisho la Soka la Morocco limewasilisha mashtaka dhidi ya mwamumuzi wa mechi ya nusu fainali kati ya timu ya taifa ya nchi hiyo na Ufaransa katika mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022.

  • Argentina yatinga fainali Kombe la Dunia; ndoto za Messi kutimia?

    Argentina yatinga fainali Kombe la Dunia; ndoto za Messi kutimia?

    Dec 14, 2022 04:26

    Timu ya taifa ya soka ya Argentina imetinga hatua ya fainali ya mashindano ya soka ya Kombe la Dunia yanayoendelea nchini Qatar baada ya kuibamiza timuu ngumu ya Crotia mabao 3 kwa nunge.

  • Morocco yapanga safari 30 za ndege kuwabeba mashabiki hadi Doha

    Morocco yapanga safari 30 za ndege kuwabeba mashabiki hadi Doha

    Dec 13, 2022 04:32

    Shirika la Ndege la Morocco, Royal Air Maroc linapanga safari 30 za ndege maalum kuwabeba mashabiki wa soka kutoka Casablanca hadi Doha kwa mchezo wa Jumatano wa nchi hiyo wa nusu fainali ya Kombe la Dunia dhidi ya Ufaransa.

  • Morocco na Ufaransa kupepetana nusu faina ya Kombe la Dunia

    Morocco na Ufaransa kupepetana nusu faina ya Kombe la Dunia

    Dec 11, 2022 15:06

    Timu za soka za taifa za Ufaransa na Morocco zitakutana katika hatua ya nuusu ya fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea huko nchini Qatar.

  • Kombe ya Dunia: Morocco yaandika historia; timu ya kwanza ya Afrika kutinga nusu fainali

    Kombe ya Dunia: Morocco yaandika historia; timu ya kwanza ya Afrika kutinga nusu fainali

    Dec 11, 2022 14:46

    Timu ya soka ya taifa ya Morocco imekuwa timu ya kwanza ya Afrika kusonga mbele katika nusu fainali ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ureno na kumuacha gwiji wa soka Cristiano Ronald na wenzake wakigaragara kwa vilio na majonzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS